Kauli mbiu mpya ya CHADEMA

Kauli mbiu mpya ya CHADEMA

Habari wana jf,napendekeza kauli mpya hii waitumie chadema,ninaimani itavuta sana watu kutoka pande zote za nchi.napendekeza chadema watembee nchi nzima kueneza kauli hii mpaka vijijini huku wakifungua matawi kwa fujo ninaamini tutapata wanachama wengi sana.badala ya hamia airtel napendekeza iwe hamia chadema,mnaonaje wana jf wenzangu? Weka mchango wako hapa.

Siyo nzuri kwani hata watu wasipohamia bado wanamwanya wakuipigia kura na ikashinda vizuri sana
 
Kwangu mimi haina ladha mdomoni, imekaa kipashkuna, hiyo labda itumike kwenye ujumbe mfupi SMS kwenye cm kuhamasishana. Act wewe labda Mbowe, Lema au Mnyika. Mbele yako kuna watu elfu 5. Unasemaje/unawaambiaje?...hamiaaaaaah na wao waitike chademaaaah! Hapo ladha hamna.! Then jifanye wewe ndo hao niliotaja hapo juu, then useme peopleeeeezzz! Utasikia pooowerrrh! Hiyo ndo kauli mbiu yetu cc cdm. M4C PEOPLE'S POWER
 
Peoples power imetulia, mengine yanaweaa kuwa swaga za kawaida sana.

Nimekusoma mkuu,lakini kwa kipind hiki ningependa waitumie hiyo sabab peoples power ni kauli ambayo itadumu daima.kwa kipind hik cha m4c watumie 'hamia CHADEMA.
 
Kwangu mimi haina ladha mdomoni, imekaa kipashkuna, hiyo labda itumike kwenye ujumbe mfupi SMS kwenye cm kuhamasishana. Act wewe labda Mbowe, Lema au Mnyika. Mbele yako kuna watu elfu 5. Unasemaje/unawaambiaje?...hamiaaaaaah na wao waitike chademaaaah! Hapo ladha hamna.! Then jifanye wewe ndo hao niliotaja hapo juu, then useme peopleeeeezzz! Utasikia pooowerrrh! Hiyo ndo kauli mbiu yetu cc cdm. M4C PEOPLE'S POWER

nimekusoma mkuu mawazo yako ninaimani yatafanyiwa kazi,ni katika suala la uboreshaji tu wa kauli ili ilete mvuto kwa wahusika.
 
Kwani Mkuu Ritz wewe unawashwa nini, si ungoje huko huko usiamie CDM wakati huu uone cha moto its a WIND OF CHANGE NO BODY EVEN RITZ CAN STOP IT!!!!!


ritz! Anaweweseka na movement of change, naona imewachanganya sana lazma mtakiona chamoto 2015,
 
Habari wana jf,napendekeza kauli mpya hii waitumie chadema,ninaimani itavuta sana watu kutoka pande zote za nchi.napendekeza chadema watembee nchi nzima kueneza kauli hii mpaka vijijini huku wakifungua matawi kwa fujo ninaamini tutapata wanachama wengi sana.badala ya hamia airtel napendekeza iwe hamia chadema,mnaonaje wana jf wenzangu? Weka mchango wako hapa.
Hapana, mie napendekeza hivi; Wito; PEOPLES POWER! kiitikio; POWER TO THE PEOPLE!
 
Dr.%20%20Slaa%20-%20Moshi.jpg
CHADEMA1.jpg
Peoples+Power.JPG

kaka umenifurahisha sana kwa hizo picha,na hiyo ndo hali halisi,peoples! Power!"
 
Hoja imeungwa mkono,ila peopls power bado ina hiti.

peoplez power haita pitwa na wakati,napendekeza kipind hiki itumike hamia CHADEMA sbb mpaka mwez wa 9 mwaka huu tutashuhudia wengi sana wakihamia chadema.
 
pipoooooooz! powerrrrrrrrrrrrrrrrrr.. hii hata mtoto wangu mdogo 2yrs Angel anaijua, hiyo mpya ita-disturb her mind, she is built up 4 cdm.

duh! Mwambie ahamasishe watoto wenzake wawahamasishe wazazi wao kwa kauli ya peoplez power then hamia chadema.
 
Back
Top Bottom