Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
unaandikwa kiswahili au lugha inayofanana na kiswahili?
Jibu hoja wewew acha machejo yasiyo na maana: Hizo pesa ulizopewa si za bure ati!!!
unaandikwa kiswahili au lugha inayofanana na kiswahili?
CHADEMA siku za karibuni kimekuwa kikijinadi kwa nguvu sana juu ya kupambana na ufisadi,kinajaribu kuwaonyesha watanzania kuwa wao ndio pekee wanaopigania dhidi ya ufisadi na wengine hawana mamlaka kabisa ya kupinga ufisadi,hata pale ccm walipotangaza kupambana na ufisadi wao walibeza hatua hiyo,sasa tuwaeleweje?? wengine wasishiriki katika kupinga ufisadi?
kwanini historia ya nchi inapotoshwa?? kujinadi kwa CDM kwamba wao ndio walioanzisha hoja za ufisadi na kutamka hadharani majina hadharani ni kukana au kudharau juhudi za mwl NYERERE ambaye alipinga ufisadi kwa vitendo na ninaweza kusema ndio muasisi wa vita vya ufisadi hapa nchini kwahiyo hakuna anaeweza kujitapa zaidi yake,Nyerere alipinga matendo yote ya kifisadi bila kuogopa mtu,ndugu zangu cdm ufisadi si tuu kudokoa mali za umma na hata kujilimbikizia mali,angalia miradi na mabiashara makubwa yanayomilikwa na viongozi wenu,angalia mavazi wanayovaa,angalia maisha yao kiujumla,watoto wao wanakosoma,nini tofauti iliyoko kati yao na maisha ya kifisadi? wengi wao tunajua maisha yao yalikuwaje kabla hawajawa wanasiasa,lakini sasa ni kula starehe na kuwajaza wananchi hofu kuwa nchi yao inaliwa wakati na wao wamo kwenye kula hiyo national cake(ref to 90 million) wala hawakuzikataa!hii inanikumbusha novel moja inaitwa"beautyfull ones are not yet born" kuna ndege anaitwa chichidodo,huyu ndege alikuwa hapendi kinyesi lakini alikuwa anakula wale wadudu wanaotoka/ishi katika kile kinyesi. Cha msingi CDM waache unafiki kama wana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko,basi yaanzie kwao kwanza,KAMA KWELI WANAPINGA UFISADI BASI MAISHA YAO YADHIHIRISHE HIVYO
watetezi wa ccm naona leo mmeingia kwa miguu yote.chadema siku za karibuni kimekuwa kikijinadi kwa nguvu sana juu ya kupambana na ufisadi,kinajaribu kuwaonyesha watanzania kuwa wao ndio pekee wanaopigania dhidi ya ufisadi na wengine hawana mamlaka kabisa ya kupinga ufisadi,hata pale ccm walipotangaza kupambana na ufisadi wao walibeza hatua hiyo,sasa tuwaeleweje?? Wengine wasishiriki katika kupinga ufisadi?
Kwanini historia ya nchi inapotoshwa?? Kujinadi kwa cdm kwamba wao ndio walioanzisha hoja za ufisadi na kutamka hadharani majina hadharani ni kukana au kudharau juhudi za mwl nyerere ambaye alipinga ufisadi kwa vitendo na ninaweza kusema ndio muasisi wa vita vya ufisadi hapa nchini kwahiyo hakuna anaeweza kujitapa zaidi yake,nyerere alipinga matendo yote ya kifisadi bila kuogopa mtu,ndugu zangu cdm ufisadi si tuu kudokoa mali za umma na hata kujilimbikizia mali,angalia miradi na mabiashara makubwa yanayomilikwa na viongozi wenu,angalia mavazi wanayovaa,angalia maisha yao kiujumla,watoto wao wanakosoma,nini tofauti iliyoko kati yao na maisha ya kifisadi? Wengi wao tunajua maisha yao yalikuwaje kabla hawajawa wanasiasa,lakini sasa ni kula starehe na kuwajaza wananchi hofu kuwa nchi yao inaliwa wakati na wao wamo kwenye kula hiyo national cake(ref to 90 million) wala hawakuzikataa!hii inanikumbusha novel moja inaitwa"beautyfull ones are not yet born" kuna ndege anaitwa chichidodo,huyu ndege alikuwa hapendi kinyesi lakini alikuwa anakula wale wadudu wanaotoka/ishi katika kile kinyesi. Cha msingi cdm waache unafiki kama wana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko,basi yaanzie kwao kwanza,kama kweli wanapinga ufisadi basi maisha yao yadhihirishe hivyo
CHADEMA siku za karibuni kimekuwa kikijinadi kwa nguvu sana juu ya kupambana na ufisadi,kinajaribu kuwaonyesha watanzania kuwa wao ndio pekee wanaopigania dhidi ya ufisadi na wengine hawana mamlaka kabisa ya kupinga ufisadi,hata pale ccm walipotangaza kupambana na ufisadi wao walibeza hatua hiyo,sasa tuwaeleweje?? wengine wasishiriki katika kupinga ufisadi?
kwanini historia ya nchi inapotoshwa?? kujinadi kwa CDM kwamba wao ndio walioanzisha hoja za ufisadi na kutamka hadharani majina hadharani ni kukana au kudharau juhudi za mwl NYERERE ambaye alipinga ufisadi kwa vitendo na ninaweza kusema ndio muasisi wa vita vya ufisadi hapa nchini kwahiyo hakuna anaeweza kujitapa zaidi yake,Nyerere alipinga matendo yote ya kifisadi bila kuogopa mtu,ndugu zangu cdm ufisadi si tuu kudokoa mali za umma na hata kujilimbikizia mali,angalia miradi na mabiashara makubwa yanayomilikwa na viongozi wenu,angalia mavazi wanayovaa,angalia maisha yao kiujumla,watoto wao wanakosoma,nini tofauti iliyoko kati yao na maisha ya kifisadi? wengi wao tunajua maisha yao yalikuwaje kabla hawajawa wanasiasa,lakini sasa ni kula starehe na kuwajaza wananchi hofu kuwa nchi yao inaliwa wakati na wao wamo kwenye kula hiyo national cake(ref to 90 million) wala hawakuzikataa!hii inanikumbusha novel moja inaitwa"beautyfull ones are not yet born" kuna ndege anaitwa chichidodo,huyu ndege alikuwa hapendi kinyesi lakini alikuwa anakula wale wadudu wanaotoka/ishi katika kile kinyesi. Cha msingi CDM waache unafiki kama wana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko,basi yaanzie kwao kwanza,KAMA KWELI WANAPINGA UFISADI BASI MAISHA YAO YADHIHIRISHE HIVYO
CHADEMA siku za karibuni kimekuwa kikijinadi kwa nguvu sana juu ya kupambana na ufisadi,kinajaribu kuwaonyesha watanzania kuwa wao ndio pekee wanaopigania dhidi ya ufisadi na wengine hawana mamlaka kabisa ya kupinga ufisadi,hata pale ccm walipotangaza kupambana na ufisadi wao walibeza hatua hiyo,sasa tuwaeleweje?? wengine wasishiriki katika kupinga ufisadi?
kwanini historia ya nchi inapotoshwa?? kujinadi kwa CDM kwamba wao ndio walioanzisha hoja za ufisadi na kutamka hadharani majina hadharani ni kukana au kudharau juhudi za mwl NYERERE ambaye alipinga ufisadi kwa vitendo na ninaweza kusema ndio muasisi wa vita vya ufisadi hapa nchini kwahiyo hakuna anaeweza kujitapa zaidi yake,Nyerere alipinga matendo yote ya kifisadi bila kuogopa mtu,ndugu zangu cdm ufisadi si tuu kudokoa mali za umma na hata kujilimbikizia mali,angalia miradi na mabiashara makubwa yanayomilikwa na viongozi wenu,angalia mavazi wanayovaa,angalia maisha yao kiujumla,watoto wao wanakosoma,nini tofauti iliyoko kati yao na maisha ya kifisadi? wengi wao tunajua maisha yao yalikuwaje kabla hawajawa wanasiasa,lakini sasa ni kula starehe na kuwajaza wananchi hofu kuwa nchi yao inaliwa wakati na wao wamo kwenye kula hiyo national cake(ref to 90 million) wala hawakuzikataa!hii inanikumbusha novel moja inaitwa"beautyfull ones are not yet born" kuna ndege anaitwa chichidodo,huyu ndege alikuwa hapendi kinyesi lakini alikuwa anakula wale wadudu wanaotoka/ishi katika kile kinyesi. Cha msingi CDM waache unafiki kama wana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko,basi yaanzie kwao kwanza,KAMA KWELI WANAPINGA UFISADI BASI MAISHA YAO YADHIHIRISHE HIVYO
Ngoja nikasali
kumbe na burundi wapo wana ccm,mana kwa lafidh yakiswahili chako utakua umetoka jana buyenzi au makamba,au bujumbura.sidhani kama nizambi kuishi maisha yakifahali malinyingi tunacho jaji jee? Hizomali umezipatakwanjia halali kamaviongoziwa cdm wanbiashala zao halali wanalipa kodi kunaubayagani? ningekuona unaona mbali kamaungetowa vielelezo vyaupatikanaji wamali zao ili tuwajadili mafisadi wanao anikwa kusemwa kirasiku wanatajwa fulani kaiba mf kagoda epa dowans mikataba madini rada nk jee? Cdm wapi wanaiba? nikukumbushe huwezi ukawa upo jararani ujiite musafi niunafiki ccm ndowanashikilia silikali ufisadi wote unawofanyika silikalini wao ndowakuwajibika kuiwajibisha silikali hawasubutu kufanyahayo kwasababu waondowanao husika mimi niwwanachama hai wa ccm ninachowasihi siasa nimaisha halisia ya watu cdm wanachopigania nihaki yakiramutanzania rafikiyangu inawezekana hujuwi maana ya ccm viongozi tulionao kwasasa kujiita wana ccm nizambi hawana hizosifa kuitwa wana ccm wamejaa ubinafis wameishiwa utuu wapo tayali kuuza utu wamutu iliwapate mali nahiyo simaadili ya ccm tulio wengi tunapotea kwaushabiki hatutafuti ukweli
unaandikwa kiswahili au lugha inayofanana na kiswahili?