Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,626
- 18,227
Nilimsikia kwa masikio yangu, akimjibu mwandishi wa habari wa kiafrika alipo ulizwa swali kuhusu Zimbabwe.Lete credible source ya habari kwamba Trump alisema hivyo kuhusu viongozi wa Afrika. Usiquote tu uzushi huu. Hakusema hayo mambo.