Neva eva😀😀😀😀Maalim Seif and Edward Lowassa will never become Presidents!!
Ajabu hao unaowaita wanyonge ndio wanampigia kura lukukiMkuu mtu kama Trump anayetukana kulia na kushoto, ana kiburi, tajiri wa kupindukia, hivi umemsikia akitetea wanyonge?
Hata Marekani wanyonge ni wengi sana kuliko unavyodhani.
Kwa misingi hiyo Trump is a security threat!
wewe ndo nadhani urudi shule kwakua katajwa lowassa povu limekutokamfano wako wa kusema kk angesema lowassa ni fisadi.kwani obama amemuita trump fisadi?kumbuka marekani kuna freedom of speech.go back to school.
swissme
Trump atakuwa mtumbua majipu wa US...!
Hao ndiyo walimu wa demokrasia Duniani, Rais Obama amerudia ule usemi wake kwamba Mgombea Uraisi Donald Trump kamwe hatokuwa Rais wa Marekani!
Sasa swali linakuja yeye nani mpaka awasemee Wamarekani na kwanini atumie neno never. Huu usemi wa Rais Obama unazidi kunidhihirishia kile ninachokiamini siku zote kwamba Rais huwa hachaguliwi na wananchi kama wengi wanavyodhania bali huteuliwa na mfumo wa nchi, hivyo Trump mfumo umeshamkataa na hakuna kitu atafanya na haijalishi watu wanampenda vipi.
Mfumo wa Marekani sasa hivi unataka Myahudi Sanders ndiyo awe Rais, kama kwa Obama mfumo uliamua ni wakati wa Mtu mweusi au anayeitwa mweusi kulingana na defination ya Wazungu kwani kwangu mimi Obama siyo mweusi kama mimi !
Kwa maana haingii akilini mgombea anayeongoza kwenye kura zote za maoni tena kwa tofauti mpaka wa zaidi ya asilimia 10% wakati mwingine halafu Rais wa nchi aseme kwamba hawezi KAMWE kuwa Rais, swali ni kwamba kwanini?
Najua kuna watu watakuja hapa na blah blah zao kama kawaida yao kuteteta Marekani na kuanza kutoa maana ya Obama alichomaanisha lkn ametumia neno NEVER kama Rais wa Marekani na wala siyo mstaafu bali Rais aliye madarakani!
Fikiria tu hapa Tanzania wakati wa uchaguzi halafu Rais Kikwete angesema fisadi Lowassa hawezi kuwa Rais wa Tanzania, hiyo ingepokelewaje? Kuna watu wangeenda mpaka ICC hapa!
Poleni wapiga kura wa Dunia hii, mimi sijawahi kupiga na kamwe sitokuja kupiga kura labda kama mimi ndiyo nagombea, kwa maana mshindi hupangwa na maelite siku zote, na hii ni Dunia nzima!
Obama: 'Trump will not be president'
Nyie vigeu geu kweli hata kinyonga haoni ndani kikwete angesema hivyo UKAWA wangekuwa ICC na hata kumwandikia papa Francis barua ya kumsemea KikweteHivi mwanaume mzima umeona mfano wa kutoa ni huu "................. Fikiria tu hapa Tanzania wakati wa uchaguzi halafu Rais Kikwete angesema fisadi Lowassa hawezi kuwa Rais wa Tanzania, hiyo ingepokelewaje? Kuna watu wangeenda mpaka ICC hapa!................."
Kwa akili zako hizi ndogo hivi waache wamarekani wafanye yao.
Hao ndiyo walimu wa demokrasia Duniani, Rais Obama amerudia ule usemi wake kwamba Mgombea Uraisi Donald Trump kamwe hatokuwa Rais wa Marekani!
Sasa swali linakuja yeye nani mpaka awasemee Wamarekani na kwanini atumie neno never. Huu usemi wa Rais Obama unazidi kunidhihirishia kile ninachokiamini siku zote kwamba Rais huwa hachaguliwi na wananchi kama wengi wanavyodhania bali huteuliwa na mfumo wa nchi, hivyo Trump mfumo umeshamkataa na hakuna kitu atafanya na haijalishi watu wanampenda vipi.
Mfumo wa Marekani sasa hivi unataka Myahudi Sanders ndiyo awe Rais, kama kwa Obama mfumo uliamua ni wakati wa Mtu mweusi au anayeitwa mweusi kulingana na defination ya Wazungu kwani kwangu mimi Obama siyo mweusi kama mimi !
Kwa maana haingii akilini mgombea anayeongoza kwenye kura zote za maoni tena kwa tofauti mpaka wa zaidi ya asilimia 10% wakati mwingine halafu Rais wa nchi aseme kwamba hawezi KAMWE kuwa Rais, swali ni kwamba kwanini?
Najua kuna watu watakuja hapa na blah blah zao kama kawaida yao kuteteta Marekani na kuanza kutoa maana ya Obama alichomaanisha lkn ametumia neno NEVER kama Rais wa Marekani na wala siyo mstaafu bali Rais aliye madarakani!
Fikiria tu hapa Tanzania wakati wa uchaguzi halafu Rais Kikwete angesema fisadi Lowassa hawezi kuwa Rais wa Tanzania, hiyo ingepokelewaje? Kuna watu wangeenda mpaka ICC hapa!
Poleni wapiga kura wa Dunia hii, mimi sijawahi kupiga na kamwe sitokuja kupiga kura labda kama mimi ndiyo nagombea, kwa maana mshindi hupangwa na maelite siku zote, na hii ni Dunia nzima!
Obama: 'Trump will not be president'
Ajabu hao unaowaita wanyonge ndio wanampigia kura lukuki
Hilo neno NEVER umelisikia wapi?Haijalishi Trump anasema nini au anafanya nini bali wapiga kura wa Marekani wanataka nini, na mpaka sasa hivi kura za maoni zote zinaonyesha kwamba Trump ndiye anayetakiwa na Wamarekani hivyo kwa Raisi nchi kusema kwamba hawezi KAMWE kuwa Raisi wa Marekani wakati ndiye anayeongoza kwa kupendwa na watu hilo kwangu linaacha maswali mengi klk majibu kuhusu hii inayoitwa demokrasia ya Marekani!
anajitambulisha yeye ni wa matajiri tu na maskini na weusi ni wajinga na waislaam ni magaidi. obama anajua wamarekani hawahitaji kabisa mtu kama trump kua rais waoMkuu mtu kama Trump anayetukana kulia na kushoto, ana kiburi, tajiri wa kupindukia, hivi umemsikia akitetea wanyonge?
Hata Marekani wanyonge ni wengi sana kuliko unavyodhani.
Kwa misingi hiyo Trump is a security threat!
Ana haki ya kusema ni Democratic Na Trump ni Republican. Keshaona tishio la chama cha Republican kushika dola via Trump. Ni mambo ya upinzani angekuwa Republican anamshambulia mwenzie ingeshangaza.Republican lazima ishike inji. Mlengo wa Obama mabwanyenye wengi hawautaki. Kwanza system ya Us ilitaka kujisafisha kwa kumuingiza Black President, lakini raia hawataki hata kidogo watu weusi.
Mkuu mtu kama Trump anayetukana kulia na kushoto, ana kiburi, tajiri wa kupindukia, hivi umemsikia akitetea wanyonge?
Hata Marekani wanyonge ni wengi sana kuliko unavyodhani.
Kwa misingi hiyo Trump is a security threat!