"KAMA NINGEKUWA NA UWEZO NINGEVISUKUMIA MBALI(maili 300) VISIWA VYA ZANZIBAR" Ni kauli ya Mwl Nyerere. Kwa anayeweza asome kitabu cha Towards democratization process in Zanzibar cha Dr Mohamed Bakari. Pia nukuu hiyo inapatikana katika kitabu cha I SAW THE FUTURE AND HOW IT WORKS cha Prof Abdulrahaman Babu.
TUJADILI KWA PAMOJA, ALIKUWA ANA MAANA GANI?
TUJADILI KWA PAMOJA, ALIKUWA ANA MAANA GANI?