Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Kama umevaa viatu vyako vya ushabiki wa chama chako vivue!!
"Hivyo kinachopewa umuhimu ni utumishi kwa umma, kwa ajili ya maendeleo ya watu na si mbio za kusaka vyeo. Ni vyema hii dhana ya mtu kufuatwa na kuombwa, mara anapoonekana kuwa anafaa kuongoza, kulingana na mahitaji ya watu na sifa za nafasi hiyo, kama ambavyo imekuwa ikifanyika ndani ya CHADEMA, ikaenziwa na kufanywa kuwa ni namna bora ya kupata viongozi".
Hivi katiba ya CHADEMA inasemaje kuhusu jinsi ya kupata wagombea kwenye nafasi mbalimbali za uongozi? Hivi ni kina nani wanaochagua wa kumpendekeza, na wao ni kina nani kawapa madaraka ya "kumtambua" anayefaa na kufaa huko kunachukuliwaje kama ndiyo mahitaji ya wakati na ni vipi wanachama wa kawaida wanahusishwa kwenye "kumtambua" anayefaa'
Mwaka 2010 ilikuwa Slaa tuliambiwa maneno meengi kuhalalisha Kamati kuu Kumchagua Slaa. Hapa sizungumzii kufaa au kutokufaa kwa mgombea, nazungumzia upana wa Demokrasia kwa maana halisi ya kushirikisha watu kwenye kufanya maamuzi yanayowahusu wao. CHADEMA inapinga "kuteuana teuana" lakini kwa maelezo yao haya inayoonyesha kwamba na wao pia wanaamini kuna watu ndani ya CHADEMA "wanajua" mahitaji ya wanachama na wananchi kwa ujumla!
Tofauti yao na CCM ni nini?
"Hivyo kinachopewa umuhimu ni utumishi kwa umma, kwa ajili ya maendeleo ya watu na si mbio za kusaka vyeo. Ni vyema hii dhana ya mtu kufuatwa na kuombwa, mara anapoonekana kuwa anafaa kuongoza, kulingana na mahitaji ya watu na sifa za nafasi hiyo, kama ambavyo imekuwa ikifanyika ndani ya CHADEMA, ikaenziwa na kufanywa kuwa ni namna bora ya kupata viongozi".
Hivi katiba ya CHADEMA inasemaje kuhusu jinsi ya kupata wagombea kwenye nafasi mbalimbali za uongozi? Hivi ni kina nani wanaochagua wa kumpendekeza, na wao ni kina nani kawapa madaraka ya "kumtambua" anayefaa na kufaa huko kunachukuliwaje kama ndiyo mahitaji ya wakati na ni vipi wanachama wa kawaida wanahusishwa kwenye "kumtambua" anayefaa'
Mwaka 2010 ilikuwa Slaa tuliambiwa maneno meengi kuhalalisha Kamati kuu Kumchagua Slaa. Hapa sizungumzii kufaa au kutokufaa kwa mgombea, nazungumzia upana wa Demokrasia kwa maana halisi ya kushirikisha watu kwenye kufanya maamuzi yanayowahusu wao. CHADEMA inapinga "kuteuana teuana" lakini kwa maelezo yao haya inayoonyesha kwamba na wao pia wanaamini kuna watu ndani ya CHADEMA "wanajua" mahitaji ya wanachama na wananchi kwa ujumla!
Tofauti yao na CCM ni nini?