Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Nikiwa naelekea ofisini asubuhi hii Radio Clouds wakiwa wanapitia habari za kwenye magazeti ya leo wamesoma gazeti moja likisema JWTZ limemkanya Edward Lowassa kwa kauli yake aliyotoa hivi karibuni kwamba amethibitishiwa kwamba Jeshi letu liko imara na Tayari kwa vita.
JWTZ wanadai kauli ya namna hiyo ilipaswa kutolewa na Amiri Jeshi Mkuu peke yake.
SOMO LA LEO
1. Lowassa bado anamahaba na Urais,
2. Jeshi linatumika kumpunguza speed ya uroho wake wa madaraka
3. Kikwete ni dhaifu kweli kwa kushindwa kuzuia watu kuingilia madaraka yake
4. Jeshi letu linaendeshwa kiprofessional
5. Jeshi letu linaelewa madhara ya vita, na lisingependelea kulazimishwa kuingia vitani bila sababu za msingi kama kwenye ka issue ka ziwa nyasa.
6. Intelligencia za Jeshi letu hazijaona likelyhood ya vita dhidi ya Malawi so far. NO POINT FOR WAR.
7. Ujumbe huu uwafikia SITTA NA MEMBE AS WELL.
8. Ni fundisho kwa wanasiasa wote wa CCM wanaoropoka bila kufikiria na kuthibitisha uwezo mdogo sana wa uongozi, na kwamba wananchi tuendelee kusimamia imani yetu kwamba CHAMA hiki hakifai, sababu baada ya kutusukumiza kwenye umasikini wa kututosha sasa ni wazi wako tayari kumwaga na damu zetu.
Asante JWTZ kwa kuweka mambo sawa.
JWTZ wanadai kauli ya namna hiyo ilipaswa kutolewa na Amiri Jeshi Mkuu peke yake.
SOMO LA LEO
1. Lowassa bado anamahaba na Urais,
2. Jeshi linatumika kumpunguza speed ya uroho wake wa madaraka
3. Kikwete ni dhaifu kweli kwa kushindwa kuzuia watu kuingilia madaraka yake
4. Jeshi letu linaendeshwa kiprofessional
5. Jeshi letu linaelewa madhara ya vita, na lisingependelea kulazimishwa kuingia vitani bila sababu za msingi kama kwenye ka issue ka ziwa nyasa.
6. Intelligencia za Jeshi letu hazijaona likelyhood ya vita dhidi ya Malawi so far. NO POINT FOR WAR.
7. Ujumbe huu uwafikia SITTA NA MEMBE AS WELL.
8. Ni fundisho kwa wanasiasa wote wa CCM wanaoropoka bila kufikiria na kuthibitisha uwezo mdogo sana wa uongozi, na kwamba wananchi tuendelee kusimamia imani yetu kwamba CHAMA hiki hakifai, sababu baada ya kutusukumiza kwenye umasikini wa kututosha sasa ni wazi wako tayari kumwaga na damu zetu.
Asante JWTZ kwa kuweka mambo sawa.