Katuni ya Rais Magufuli by Gado

Katuni ya Rais Magufuli by Gado

ed8c31ea13eedca91489ec4bbf6e6e33.jpg
Mfano mim nachunga maneno now days nimekuwa kunguru Wa Zanzibar more than I was
 
haliwezi kufungiwa. ni ulimwenguni kote a kina vipanya wapo!! cartoons zipo. duhh ameshondwa majama ya sukari!! naoina kimyaaaa- bei elekezi 2,200. mwisho itafikia 3,000. tulieni muone!!


Daily Nation la Kenya 'ilikatisha' mkataba wake....
 
Kuna ukweli katika hii katuni. Nchi yetu ina matukio mengi na very serious ya cybercrime-kuanzia utapeli wa kwenye simu na wizi wa pesa katka simu had wizi mkubwa katika mabenki. Lakin vyombo vyetu vimeamua kushadadadia 'matusi' ya kwenye mtandao wakati ukipeleka kesi yako kuhusiana na wizi wa pesa (M-PESA,TIGO-PESA,AIRTEL-MONEY) unaofanya kwa kushirikiana na wafanyakazi wa makampuni ya simu hupati msaada wowote.

Ndo maana wengne wanaipinga sheria hii ya mtandao maana malengo 'halisi' ya kuanzishwa kwake yana maumivu makubwa kwa demokrasia na uhuru wa kujieleza.
 
Hili gazeti lijiandae kufungiwa, haiwezekani Gado amdhalilishe Rais wa JMTZ
 
hata mi ni mtaalam wa katuni, lakini sipendi kutumiwa kama huyu GADO. sipendi matatizo kwa nisiyoyajua pia na kumdhiaki mkuu wa nchi. gado uhuru wa habar bila sheria ni uwenda wazimu. poor gado
 
haliwezi kufungiwa. ni ulimwenguni kote a kina vipanya wapo!! cartoons zipo. duhh ameshondwa majama ya sukari!! naoina kimyaaaa- bei elekezi 2,200. mwisho itafikia 3,000. tulieni muone!!
nimeikubali signature yako...be blessed, nimeicopy na nitaitumia sana tu.
 
hata mi ni mtaalam wa katuni, lakini sipendi kutumiwa kama huyu GADO. sipendi matatizo kwa nisiyoyajua pia na kumdhiaki mkuu wa nchi. gado uhuru wa habar bila sheria ni uwenda wazimu. poor gado
Anatumiwa na nani? Kama Obama anachorwa huyu wakwetu ni nani asichorwe?
 
Ujumbe wa Gado Magu anafatilia issue ndogo na kuwaacha mafisadi papa na mabegi yao ya pesa haramu! Is it?
 
hata mi ni mtaalam wa katuni, lakini sipendi kutumiwa kama huyu GADO. sipendi matatizo kwa nisiyoyajua pia na kumdhiaki mkuu wa nchi. gado uhuru wa habar bila sheria ni uwenda wazimu. poor gado
Anasema ukweli ndio hali halisi ilivyo wala hatumiwi ni kipaji
 
tuheshimuni katiba ya nchi inatoa mwongoZo .katika Uhuru wa habari Na Uhuru wa kupata habari
 
hata mi ni mtaalam wa katuni, lakini sipendi kutumiwa kama huyu GADO. sipendi matatizo kwa nisiyoyajua pia na kumdhiaki mkuu wa nchi. gado uhuru wa habar bila sheria ni uwenda wazimu. poor gado
Hiyo sio dhihaka,jaribu kutafuta Oxford dictionary ya Kiswahili ujifunze maana ya neno dhihaka.
 
Back
Top Bottom