Anatutahadharisha tusije kufikia kama kwao tatizo ni kuwa wewe ni mmoja kati ya wale wakuda mnaotumwa na serikali mnaojifanya kuja kutuharibia mada zetu humu.Huyu GADO ameshindwa kuchora katuni za nchi yao wakiuana sababu ya ukabila anaingilia mambo ya Tz yasiyo muhusu,hakika huyu ni wakula naye sahani moja labda asikanyage ardhi ya Tz.
hata mi ni mtaalam wa katuni, lakini sipendi kutumiwa kama huyu GADO. sipendi matatizo kwa nisiyoyajua pia na kumdhiaki mkuu wa nchi. gado uhuru wa habar bila sheria ni uwenda wazimu. poor gado
Anahangaika na panya alomtusi huku anawaacha wanyama wakubwa wanaomwibia hela zakeHuyo katuni mwenye kichwa cha nguruwe inamaanisha nini ??
Kwamba ana hangaika na panya ila kuna nguruwe wamenona na suti juu
LoL nashangaa kwa nini wamemchora kiatu kimechomoka....hahahhaaa!
Hana lolote huyo gado njaa ndio inayomsumbua kwa kutaka umaarufu kwa kupitia JPM, mbona sijawahi muona aki mchora uhuru kenyata hivyo?
Hilo lenye suti nyeusi litakuwa Lugumi bila shaka.
Napita tu mimi raia wa rwandwa
Rwanda baeRwandwa ni nchi mpya?