prototypeman
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 288
- 108
Huyu jamaa kiboko yaani mzee wa kaya kaacha kuwashughulikia watu wazito na mikoba minene imejaa pesa, ana deal na kidagaa aliemtusi jamaa anatisha sana.
Huyu GADO ameshindwa kuchora katuni za nchi yao wakiuana sababu ya ukabila anaingilia mambo ya Tz yasiyo muhusu,hakika huyu ni wakula naye sahani moja labda asikanyage ardhi ya Tz.
Gado ni mtanzania sema nation media group ya Kenya ndo ilimulika kipaji chake na kumpaisha. Saiv yuko DW.Huyu GADO ameshindwa kuchora katuni za nchi yao wakiuana sababu ya ukabila anaingilia mambo ya Tz yasiyo muhusu,hakika huyu ni wakula naye sahani moja labda asikanyage ardhi ya Tz.
ni mnyakyusa baba..Huyu GADO ameshindwa kuchora katuni za nchi yao wakiuana sababu ya ukabila anaingilia mambo ya Tz yasiyo muhusu,hakika huyu ni wakula naye sahani moja labda asikanyage ardhi ya Tz.
Ha ha haaaaaa. Huyo jamaa ana akili sana. Natamani wanaume wote wa JF wangekuwa na akili kama yeye.
Ha ha haaaaaa. Huyo jamaa ana akili sana. Natamani wanaume wote wa JF wangekuwa na akili kama yeye.
Hana lolote huyo gado njaa ndio inayomsumbua kwa kutaka umaarufu kwa kupitia JPM, mbona sijawahi muona aki mchora uhuru kenyata hivyo?


ni sawa na kuua inzi kwa kutumia nyundoGado ni mjinga sana., ni mtanzania ila baada ya kufanya nation media ya kenya na DW ya ujerumani anajiona kamaliza kila kitu.
Hiyo sio mara ya kwanza kumchora JPM hivyo na hicho sio kitu cha kushangilia watanzania.
Watanzania ni watu wa ajabu hawaeleweki nini wanataka na ndio mana hawaendelei na wanakuwa vile vile kila siku.
Wenzetu Rwanda walivyompata Kagame wanampa sapoti ya kutosha hata Nigeria walivyompata Buhari wanampa sapoti ya kutosha sababu ni maraisi wazuri pia ikiwemi yule wa sudani kusini.
Ila wengi ya walio toa comment lengo lao sio kukosoa ila nikuona JPM anashindwa mipango yake ili waongee zaidi.
Hayo mambo aliyochora gado, JPM hawezi kuyamaliza yote kwa siku moja kwa kuwa hata mwaka hajamaliza madarakani na yanahitaji uchunguzi na utafiti wa kutosha ili kumfanya afanye uamuzi wa uhakika.
kwani wewe unajuaje km hawana akili?Ha ha haaaaaa. Huyo jamaa ana akili sana. Natamani wanaume wote wa JF wangekuwa na akili kama yeye.
hata mi ni mtaalam wa katuni, lakini sipendi kutumiwa kama huyu GADO. sipendi matatizo kwa nisiyoyajua pia na kumdhiaki mkuu wa nchi. gado uhuru wa habar bila sheria ni uwenda wazimu. poor gado
Lowassa Ngoyai wa Monduli?Ha ha haaaaaa. Huyo jamaa ana akili sana. Natamani wanaume wote wa JF wangekuwa na akili kama yeye.
safi sana.hii pia inachochewa na mwigulu na bashite ila kabudi naona amekaa pembeni wala hatoi ushirikiano wowote ameacha mkubwa aadhirike siku moja
Gado ni MTANZANIAHuyu GADO ameshindwa kuchora katuni za nchi yao wakiuana sababu ya ukabila anaingilia mambo ya Tz yasiyo muhusu,hakika huyu ni wakula naye sahani moja labda asikanyage ardhi ya Tz.