hahahaha u said it allWazee wa mikoba minene wao wanachekelea hapo nyuma mhe. akihangaika na panya ila wanene ahhah wanabeba kwa sandarusi na mikoba yenye heshima! Kuja kulewa ujumbe hapo lazima uvuke ile kiwango cha Ukilaza !
Gado.huyu jamaa ni anaitwa Gao (jina la kazi) alikuwa anafanya kazi standard group kuna wakati alichora katuni kwenye gazeti la east Africa likimuonyesha mh raisi wa awamu ya nne akiwa amezungukwa na mabinti ambao hawakuvaa kimaadili gazeti hilo lilifungiwa hapa Tanzania na mwaka huu jamaa alifukuzwa kazi katika ofisi ya standard media kule Kenya kwa sasa anafanya kazi dw...habari ndiyo hiyo
Huyo anachorea DWGazeti linaweza kufungiwa. ....
Hilo ni kweli kabisa.Hahahaaaa! Muda si mrefu Katuni zitakua hazichapishwi kwenye Magazeti.
huyu jamaa ni anaitwa Gao (jina la kazi) alikuwa anafanya kazi standard group kuna wakati alichora katuni kwenye gazeti la east Africa likimuonyesha mh raisi wa awamu ya nne akiwa amezungukwa na mabinti ambao hawakuvaa kimaadili gazeti hilo lilifungiwa hapa Tanzania na mwaka huu jamaa alifukuzwa kazi katika ofisi ya standard media kule Kenya kwa sasa anafanya kazi dw...habari ndiyo hiyo
Huyo anachorea DW
Ndo huyohuyo na alifukuzwa kenya kisa kumchora kenyattaNilifikiria ni yule aliyesababisha kipindi fulani Mwananchi kufungiwa kisa katuni ya JK.....
Mbona umecomment na wewe ni chadema?Mbona wanao Comment ni CHADEMA