Katuni ya Rais Magufuli by Gado

Katuni ya Rais Magufuli by Gado

Kwa hiyo unataka kusema katumwa na Kenyatta mkuu?
Sijajua, ila mara nyingi propaganda kama hizo hawezi kuwafanyia watu kama wakenya.
Gado ni mtanzania lakini hajielewi alikuwa anafanya nation media ya kenya baadae akahamia DW ya ujerumani na nikawaida kueneza propaganda kama hizo kwa JPM na kuna katuni nyingi zingine zinaonesha kashfa kubwa kwa JPM alizochora gado akiwa DW, siwezi kuzipost hizo katuni kwani nitazidi kuusambaza ujinga wake.
 
Jambo la kumfunga yule kijana limekaa kisheria sio kosa la JPM kwani alifanya kosa la mtandao kinyume na sheria imechukua mkondo wake.
Kuna wale watu waliokuwa wanaandika taarifa za uongo kuhusu mkuu wa majeshi Davis Mwamunyange kipindi cha kampeni za uchaguzi mwaka jana walipatikana na wakafungwa kuna matukio mengi ya namna hiyo watu wanafanya badae wanakamatwa ikithibika wanafungwa.
Ni jambo la sheria, ila kwa kuwa ni Rais watu wanaleta mambo ya siasa.
Ishu ya Masoud Kipanya sina tatizo nae zimekaa kiuhalisia ingawa mda mwingine nae huwa ina mgharim mfano ile aliyoonesha JPM na lowasa wako ulingoni kisha JPM akaangushwa na Dkt Slaa akawa anaingia na kisu ulingoni.
Gado ni mjinga sana sababu amekaa kueneza propaganda chafu kwa JPM na ameanza tangu JPM amekuwa Rais.
Fatilia katuni zako kule DW utaona

Katuni za Gado nazifuatilia muda mrefu sana....ziko hapa......ni aina ya uchoraji wake....ukiweza cheki anavyomchora Kagame, Mugabe na Museveni! Hata anavyomchora Uhuru...kama anatumwa basi ni kwa maraisi wengi tu waafrika.....

Mifano michache....
NA.May_.2016.African.Leaders.and_.China_.jpg


April-27-Riek-Machar-returns-to-Juba-C-1024x724.jpg


Feb-27-14-Museven-on-Gays-and-Lesbians-1024x753.jpg
 
Hana lolote huyo gado njaa ndio inayomsumbua kwa kutaka umaarufu kwa kupitia JPM, mbona sijawahi muona aki mchora uhuru kenyata hivyo?

Gado amekuwa maarufu kabla ya hata Magu hajaotewa uraisi.. Ukishakuwa na inferior complex katika suala lolote utaishia kumshambulia mleta ujumbe, badala ya kuuangalia ujumbe wenyewe..
 
Gado ni mjinga sana., ni mtanzania ila baada ya kufanya nation media ya kenya na DW ya ujerumani anajiona kamaliza kila kitu.
Hiyo sio mara ya kwanza kumchora JPM hivyo na hicho sio kitu cha kushangilia watanzania.
Watanzania ni watu wa ajabu hawaeleweki nini wanataka na ndio mana hawaendelei na wanakuwa vile vile kila siku.
Wenzetu Rwanda walivyompata Kagame wanampa sapoti ya kutosha hata Nigeria walivyompata Buhari wanampa sapoti ya kutosha sababu ni maraisi wazuri pia ikiwemi yule wa sudani kusini.
Ila wengi ya walio toa comment lengo lao sio kukosoa ila nikuona JPM anashindwa mipango yake ili waongee zaidi.
Hayo mambo aliyochora gado, JPM hawezi kuyamaliza yote kwa siku moja kwa kuwa hata mwaka hajamaliza madarakani na yanahitaji uchunguzi na utafiti wa kutosha ili kumfanya afanye uamuzi wa uhakika.
Mitindo ya (ki dikteta) ...,

Sioni sababu yoyote ya kumuita mchora katuni..., MJINGA... Na hata ktk post yako sijaona uchambuzi wowote unaoelezea ujinga wake... Na jee..., ujinga wake uko ktk jambo lipi hasa...?! Fafanua..., ni mjinga ktk maswala ya kisiasa..,? Kiuchumi...? Au ktk kuchora katuni...?!
Mimi naona amefikisha ujumbe kwako na ndio maana umetoa hoja ya HASIRA kwake..., na huku ukionyesha MAHABA kwa Raisi wetu.. Sio vibaya kumpenda Raisi wako..., ila usiwe kipofu sasa..., usizuie maoni ya wengine kwa jinsi wanavyomwona Raisi wetu.. Wewe na wenzako wenye MAHABA kama wewe.., muwe wavumilivu. Rais ktk UTENDAJI wake anaumiza watu wake na anawafurahisha wengine, wanaoumia wana namna nyingi ya kulia, kulalamika, au hata kushtaki kwa Mungu...
WAACHENI WATU WALIOWAPA UONGOZI WAWAKOSOE..., NI HAKI YA KIRAIA NA KIKATIBA...
Gado hajazuia Raisi kufanya wajibu wake....
 
Gado amekuwa maarufu kabla ya hata Magu hajaotewa uraisi.. Ukishakuwa na inferior complex katika suala lolote utaishia kumshambulia mleta ujumbe, badala ya kuuangalia ujumbe wenyewe..
Haujaelewa mada unaishia kuongea usichokijua.
Lengo ni kujadili katuni za gado na maudhui yake kwenye hiyo katuni na sio mleta mada.
Siku nyingine jifunze kutulia sio una kurupuka kama umefumaniwa.
 
Mitindo ya (ki dikteta) ...,

Sioni sababu yoyote ya kumuita mchora katuni..., MJINGA... Na hata ktk post yako sijaona uchambuzi wowote unaoelezea ujinga wake... Na jee..., ujinga wake uko ktk jambo lipi hasa...?! Fafanua..., ni mjinga ktk maswala ya kisiasa..,? Kiuchumi...? Au ktk kuchora katuni...?!
Mimi naona amefikisha ujumbe kwako na ndio maana umetoa hoja ya HASIRA kwake..., na huku ukionyesha MAHABA kwa Raisi wetu.. Sio vibaya kumpenda Raisi wako..., ila usiwe kipofu sasa..., usizuie maoni ya wengine kwa jinsi wanavyomwona Raisi wetu.. Wewe na wenzako wenye MAHABA kama wewe.., muwe wavumilivu. Rais ktk UTENDAJI wake anaumiza watu wake na anawafurahisha wengine, wanaoumia wana namna nyingi ya kulia, kulalamika, au hata kushtaki kwa Mungu...
WAACHENI WATU WALIOWAPA UONGOZI WAWAKOSOE..., NI HAKI YA KIRAIA NA KIKATIBA...
Gado hajazuia Raisi kufanya wajibu wake....
Maneno mengi ila point less, lengo langu si kuchambua bali kuelezea maudhui ya katuni za gado anapomuelezea JPM
 
Haujaelewa mada unaishia kuongea usichokijua.
Lengo ni kujadili katuni za gado na maudhui yake kwenye hiyo katuni na sio mleta mada.
Siku nyingine jifunze kutulia sio una kurupuka kama umefumaniwa.
Inawezekana wewe ni kaka yake jei.. Ngoja nikuache..
 
Gado wachore tena Sanaa..Sioni chochote cha maana kutoka kwenye serikali hii isiyotofautiana na Kaole Arts Group
 
Nani aliyekwambia duniani kuna demokrasia?
Ni uingereza yenye utawala wa kifalme au marekani inayobadilisha vyama viwili?
Au unataka demokrasia walioitaka Libya kwa kumuita Gadafi Dikteta.!
Hizi nchi changa huwa zina vibaraka wengi sana wanaofanya mambo yao kwa maslah ya mataifa kama U.S.A, U.K n.k kiongozi usipokuwa na msimamo hauwezi fika malengo ya nchi.
Angalia maraisi kama Kagame, Buhari huwa wanamsimamo kwenye jambo lenye maslah na nchi zao na unaona hizo nchi zinavyopiga hatua kiuchumi.
Gado ni mjinga sababu yeye ni mtanzania ila anatumiwa na mataifa mengine kupotosha uongozi wa JPM duniani.
Yule kijana ajafungwa na JPM, ali alikiuka sheria za mtandao na sheria ikamhukumu, hivi hali itakuaje kila mtu akiamka asubuh anaanza kutukana mtu bila sababu za msingi?
Issue hapa siyo sheria ya mtandao tu. Gado anahoji kulikoni mafisadi hawa shugulikiwa.
 
Katuni za Gado nazifuatilia muda mrefu sana....ziko hapa......ni aina ya uchoraji wake....ukiweza cheki anavyomchora Kagame, Mugabe na Museveni! Hata anavyomchora Uhuru...kama anatumwa basi ni kwa maraisi wengi tu waafrika.....

Mifano michache....
NA.May_.2016.African.Leaders.and_.China_.jpg


April-27-Riek-Machar-returns-to-Juba-C-1024x724.jpg


Feb-27-14-Museven-on-Gays-and-Lesbians-1024x753.jpg
aisee Gado mkali!
 
Sijajua, ila mara nyingi propaganda kama hizo hawezi kuwafanyia watu kama wakenya.
Gado ni mjinga sana ni mtanzania lakini hajielewi alikuwa anafanya nation media ya kenya badae akahamia DW ya ujerumani na nikawaida kueneza propaganda kama hizo kwa JPM na kuna katuni nyingi zingine zinaonesha kashfa kubwa kwa JPM alizochora gado akiwa DW, siwezi kuzipost hizo katuni kwani nitazidi kuusambaza ujinga wake.
Hii ni Sanaa tu hata viongozi wakubwa duniani wanachorwa sana. Ni kitu cha kawaida kwa nchi huru.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
hata mi ni mtaalam wa katuni, lakini sipendi kutumiwa kama huyu GADO. sipendi matatizo kwa nisiyoyajua pia na kumdhiaki mkuu wa nchi. gado uhuru wa habar bila sheria ni uwenda wazimu. poor gado
Mjini mtamu kwa nguruwe ...
 
Maneno mengi ila point less, lengo langu si kuchambua bali kuelezea maudhui ya katuni za gado anapomuelezea JPM
Ishii! sasa wewe apo unaona umeongea point gani..!? jipu ulicho ulizwa sio unatoka povu kama umefumaniwa na baba mkwe
 
Back
Top Bottom