Shetemba JF-Expert Member Jan 20, 2018 883 889 May 15, 2021 Thread starter #22 Mmawia said: Hivi rais hana uwezo kisheria wa kumuondoa huyo subwoofer Click to expand... Hawezi labda avunje bunge lote
Mmawia said: Hivi rais hana uwezo kisheria wa kumuondoa huyo subwoofer Click to expand... Hawezi labda avunje bunge lote
Mmawia JF-Expert Member Aug 20, 2013 121,947 95,237 May 15, 2021 #23 Shetemba said: Hawezi labda avunje bunge lote Click to expand... Shukrani kwa kunipatia mwanga
C Chige JF-Expert Member Dec 20, 2008 13,497 29,832 May 16, 2021 #24 guwe_la_manga said: Chige The Boss Pohamba hivi ni ipi namna bora ya kumtoa spika katika kiti chake. Click to expand... Yaani hilo ni shipa... hatumbuliki labda kwa umafia! Hata ukimfukuza chama, Speaker sio lazima awe mwanachama wa chama cha kisiasa!! Watu kama hao unawapelekea TISS, unamtajia maovu yake yote halafu unamlazimisha atangaze kujihudhuru within 24 hours, or else....
guwe_la_manga said: Chige The Boss Pohamba hivi ni ipi namna bora ya kumtoa spika katika kiti chake. Click to expand... Yaani hilo ni shipa... hatumbuliki labda kwa umafia! Hata ukimfukuza chama, Speaker sio lazima awe mwanachama wa chama cha kisiasa!! Watu kama hao unawapelekea TISS, unamtajia maovu yake yote halafu unamlazimisha atangaze kujihudhuru within 24 hours, or else....
guwe_la_manga JF-Expert Member Oct 20, 2019 2,820 2,755 May 16, 2021 #25 Chige shukrani mkuu kwa ufafanuzi.