Katuga: Shahidi, shule si ulikuwa unafundishwa multiple choice?

Katuga: Shahidi, shule si ulikuwa unafundishwa multiple choice?

Sio hivyo Mahakamani. Ukijibu hivyo mtaani ni sawa lakini Mahakamani sivyo. Mahakamani unahitaji kuwa convince kuwa hoja zako ni bora kuliko aliyekushtaki. Na kuwa wewe ni more rational. Haustuki kwa nini anaachiwa kuongea kwa kirefu with minimal interruptions?

Amandla...
Kutetea uongo ni kazi ngumu mno....Yaani kwamba nawewe unajifanya mtaalamu eti "haustuki kwanini anaachiwa kuongea kwa kirefuu...." 🤣🤣🤣🤣
 
Kutetea uongo ni kazi ngumu mno....Yaani kwamba nawewe unajifanya mtaalamu eti "haustuki kwanini anaachiwa kuongea kwa kirefuu...." 🤣🤣🤣🤣
Uongo upi? Fundi Mchundo nitakuwaje mtaalam wa sheria? Yale ni mawazo yangu na unakaribishwa kuyasahihisha.

Amandla...
 
Kwahyo ukujibu hivi ndo unakua bingwa wa Sheria? Au mm ndo kilaza
Unaonesha wewe ni kilaza mkubwa kwa masuala ya mahakamani.
Jitahidi uwe unahudhuria upate mwanga wa namna wanasheria wanavyotumia maneno ya kuudhi lengo likiwa kumwondoa mpinzani wake kwenye 'reli'.
 
Kama kweli amejibu hivi ni makosa. Majibu kama haya yatafurahisha wafuasi wake lakini sidhani kama yanamsaidia katika utetezi wake.

Mimi nadhani Kibatala ange handle better utetezi wake maana angekuwa laser focused kwenye kuonyesha mapungufu ya mashtaka.

Kibatala aliweza kuonyesha mapungufu ya mashtaka dhidi ya Mbowe bila kutumia mno lugha ya kebehi. Ujumbe anaotaka kupeleka ungeeleweka vizuri kama angeongozwa na wakili kama Kibatala.

I hope Mahakama itampa ushindi au DPP ataghairi kuendelea na kesi.

Amandla...
Labda wewe ndio umesoma mambo ya mahakamani kwa mara ya kwanza.
Mahakamani ni kama boxing, ukija vibaya unagongwa na kutolewa kwenye mstari.
Hivi Katuga kumuuluza Lissu kama ana akili timamu ni busara ya wapi? Kumwambia ni maarufu kwa wazungu tu Ina busara gani? Yote yalikuwa na Lengo Lissu audhike. Hivyo hivyo Lissu ni bingwa wa kuwaudhi hao mawakili wa serikali .
 
Sio hivyo Mahakamani. Ukijibu hivyo mtaani ni sawa lakini Mahakamani sivyo. Mahakamani unahitaji kuwa convince kuwa hoja zako ni bora kuliko aliyekushtaki. Na kuwa wewe ni more rational. Haustuki kwa nini anaachiwa kuongea kwa kirefu with minimal interruptions?

Amandla...
Kwa hiyo wewe unazidi hizo kanuni Mh Lissu? Unaumwa wewe
 
Ukweli utabaki
Waendesha Mashtaka wa Jamhuri wametumia Wema kwenye kumdodosa✅️

Lkn ile jana maeneo mengi Lissu anakwepa kujibu kwa
kuzunguka zunguka
Wkt jibu
ni ndio ✅️
Au sio❌️
Wkt wa Katuga Lissu
ndio kachemka sana

MAJAJI wamevumilia faulo nyingi za Lissu
Kumuokoa Lissu kwa Katuga ikabid Jaji
Kumkumbusha Katuga kuwapa nafasi na wenzie 🤣🤣

Lkn bado Lissu kwenye kujibu anazunguka M'buyu mwisho Jaji wakampa mwongozo
Lissu jibu swali ‼️

Lissu kufikia sasa kaonesha udhaifu mwingi kwenye kesi yake!!

Tofauti na vile tulikuwa tunajua kumuusu kumbe mwepesi vile
Watoto wadogo wanakupelekea MOTO ujibu mpaka Majaji wanakuwakia🤣

Mwisho tumewai kusema mh Lissu alitakiwa kupokea msaada kutoka kwa wenzie
Lkn Lissu ni Mbishi Mbishi sana
kama Masai

Kesi yoyote madhali ipo Kwa Majaji iyo kesi sio ndogo
Tena unatokea Lupango kiakili uwezi kuwa sawa kwa %100

Mbaya zaidi Marafiki zake Wabobevu wa Sheria wanalazimika kwenda Mahakamani kutoa lawama lkn wanabaki kutoa
macho tu 😥

Baada yeye Lissu kudai kujitetea mwenyewe

Lissu Nimegundua kupitia kesi hii ni Mshamba kama Washamba wengine wa ovyo tu.

Ikiwa Madaktari wanapanga foleni kumuona Daktari mwenzie hospitalini wkt wanaumwa
Kujipigqnia kiafya

Kisheria pia sio dhambi sio udhaifu kumwamini mwenzio kukupigania
Sasa tupo bado kwenye Dodoso Mnyika Heche nk watatakiwa kufanyiwa Dososo 🤣

Kwasasa wapo Mahakamani kucheka cheka wengine 🤠

Sasa zamu yao yaja ya kuchekesha wengine
Kucheka kwa zamu

Yote kayataka Mwenyekiti wao mpya
Kuanza kudharau Mto na ujavuka pande ya pili.

Sasa Mahakamani kumekuwa kama ule mchezo wa
Mduara Bolingo bayoyo bolingo bayoyo 🤣🤣

Mnyika Heche nk ingia kati tukuone
Tumefika uko chini ya Mwenyekiti mpyaa✍️
 
Unaonesha wewe ni kilaza mkubwa kwa masuala ya mahakamani.
Jitahidi uwe unahudhuria upate mwanga wa namna wanasheria wanavyotumia maneno ya kuudhi lengo likiwa kumwondoa mpinzani wake kwenye 'reli'.
Kwahyo mwanasheria Bora ni lazma awe mchambaj mzur naswahil mswahil
 
Unamuuliza Lissu swali la kipuuzi halafu akuache? Atakubabua kibakubaku hata kama upo mbele ya shetani nyambafu!!! Mfuuuu!!
 
Back
Top Bottom