Katuga: Shahidi, shule si ulikuwa unafundishwa multiple choice?

Katuga: Shahidi, shule si ulikuwa unafundishwa multiple choice?

Mhe. Lissu: Mimi sijafundishwa multiple choice.

Mimi nimefundishwa critical thinking.

Sheria unafundishwaje multipe choice?

Ndio maana unakuwa mjinga.
Kama kweli amejibu hivi ni makosa. Majibu kama haya yatafurahisha wafuasi wake lakini sidhani kama yanamsaidia katika utetezi wake.

Mimi nadhani Kibatala ange handle better utetezi wake maana angekuwa laser focused kwenye kuonyesha mapungufu ya mashtaka.

Kibatala aliweza kuonyesha mapungufu ya mashtaka dhidi ya Mbowe bila kutumia mno lugha ya kebehi. Ujumbe anaotaka kupeleka ungeeleweka vizuri kama angeongozwa na wakili kama Kibatala.

I hope Mahakama itampa ushindi au DPP ataghairi kuendelea na kesi.

Amandla...
 
Mhe. Lissu: Mimi sijafundishwa multiple choice.

Mimi nimefundishwa critical thinking.

Sheria unafundishwaje multipe choice?

Ndio maana unakuwa mjinga.
Shule aliyoanza na kumaliza lissu ni ya Sheria tu,ndiko alikojifunza kusoma,kuandika,kuhesabu na 'siasa/uraia'?
Mbona kajibu kijinga!
 
Kama kweli amejibu hivi ni makosa. Majibu kama haya yatafurahisha wafuasi wake lakini sidhani kama yanamsaidia katika utetezi wake.

Mimi nadhani Kibatala ange handle better utetezi wake maana angekuwa laser focused kwenye kuonyesha mapungufu ya mashtaka.

Kibatala aliweza kuonyesha mapungufu ya mashtaka dhidi ya Mbowe bila kutumia mno lugha ya kebehi. Ujumbe anaotaka kupeleka ungeeleweka vizuri kama angeongozwa na wakili kama Kibatala.

I hope Mahakama itampa ushindi au DPP ataghairi kuendelea na kesi.

Amandla...
Swali lenyewe lilikuwa nje ya mada, wanasheria Wanajua uliuliza swali nje unajibiwa nje
 
Swali lenyewe lilikuwa nje ya mada, wanasheria Wanajua uliuliza swali nje unajibiwa nje
Sio hivyo Mahakamani. Ukijibu hivyo mtaani ni sawa lakini Mahakamani sivyo. Mahakamani unahitaji kuwa convince kuwa hoja zako ni bora kuliko aliyekushtaki. Na kuwa wewe ni more rational. Haustuki kwa nini anaachiwa kuongea kwa kirefu with minimal interruptions?

Amandla...
 
Back
Top Bottom