kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
Nakumbuka ilikuwa 1997. Ilikuwa ndio mwaka wangu wa kwanza kuajiriwa. Nilipo panga Jirani yangu kulikuwa na familia moja hivi ambaye Mume alikuwa mfanyakazi wizara fulani hapa town, inasemekana kichwani alikuwa very well. Ila mama form four kisha akawa mama wa nyumbani. Walikuwa wamebahatika kupata mtoto 2. Wakike wa kwanza na wakiume akiwa mdogo sana. Huyu wa Kike alikuwa amenizoea sana, nikipita anko, ananikimbilia nambeba na mda mwingine weekend namchukuwa tunazunguka zunguka kwa ujumla familia yake ilinipenda hasa kwa kupenda watoto wao.
Ilipo fika katikati ya mwaka 1998 niliama kama unavyojua jiji la Bongo, kuhama kitu cha kawaida.
Sasa tare 05/01/13 nikiwa pale pande za quality center napata moja moto moja baridi. Punde nikamuona mtoto mkari kinoma. Nikaona isiwe tabu. Nikamcall, mtoto bila ajizi kasogea. Nikapiga mistari yangu mwisho wa siku kikaeleweka.
Punde nikaanza pata tabu, hii sura very familia kwangu.
Ilipo fika mida ya kati tukala kona kwenda kwa hotel moja hivi katikati ya jiji. Wakati na drive nikawa na mdadisi. Lahaula ndiye yule Anko wangu. Nilimuuliza anafanya nini, akaniambia yupo chuo katikati ya jiji. Nilicho fanya, moja kwa moja nikampeleka hostel, nikamwachia matumizi.
Kisha nikafanya utafiti kidogo wa familia yake, nikaambiwa wapo njema sana sasa hivi, wanaishi pande za mbezi beach.
Kichwani najiuliza why anko amekuwa mrahisi namna hii wakati kwao wako njema.
Nitakuja punde kwa muendelezo, usibanduke
Ilipo fika katikati ya mwaka 1998 niliama kama unavyojua jiji la Bongo, kuhama kitu cha kawaida.
Sasa tare 05/01/13 nikiwa pale pande za quality center napata moja moto moja baridi. Punde nikamuona mtoto mkari kinoma. Nikaona isiwe tabu. Nikamcall, mtoto bila ajizi kasogea. Nikapiga mistari yangu mwisho wa siku kikaeleweka.
Punde nikaanza pata tabu, hii sura very familia kwangu.
Ilipo fika mida ya kati tukala kona kwenda kwa hotel moja hivi katikati ya jiji. Wakati na drive nikawa na mdadisi. Lahaula ndiye yule Anko wangu. Nilimuuliza anafanya nini, akaniambia yupo chuo katikati ya jiji. Nilicho fanya, moja kwa moja nikampeleka hostel, nikamwachia matumizi.
Kisha nikafanya utafiti kidogo wa familia yake, nikaambiwa wapo njema sana sasa hivi, wanaishi pande za mbezi beach.
Kichwani najiuliza why anko amekuwa mrahisi namna hii wakati kwao wako njema.
Nitakuja punde kwa muendelezo, usibanduke