eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Niliwahi kuhisi slaa anaweza kuisambaratisha chadema kutokana na kuhisi ni mmoja ya watu wenye heshima sana ndani ya chadema lakini nilichokishuhudia juzi niliamini kabisa anaiua kabisa chadema.
Lakini baada ya saa kadhaa toka amalize kuzungumza nilitegemea kila mtu atamuunga mkono lakini mpaka sasa naona maajabu heshima ya slaa imeshuka kama theluji na hatimae anaelekea kudharaulika kabisa niliwahi kuambiwa na MTU chadema sio ya mbowe wala slaa nikambishia lakini sasa naelekea kumwamini
Sijawahi kuamini kama watu wanaweza kumpuuza kirahisi hivyo Dr slaa ama kwa hakika ccm tujiandae kuondoka madarakani kama wanachi wakiamua kumpa kura lowasa nasema tena siamini kama slaa amepuuzwa kwa kasi kiasi hicho ccm ya bibi yangu babu yangu ama kweli inaelekea kupotea tuwe wapole tu/ haya ndio mawazo ya wana ccm kwa sasa na nimeitoa kwa mmoja wao
Lakini baada ya saa kadhaa toka amalize kuzungumza nilitegemea kila mtu atamuunga mkono lakini mpaka sasa naona maajabu heshima ya slaa imeshuka kama theluji na hatimae anaelekea kudharaulika kabisa niliwahi kuambiwa na MTU chadema sio ya mbowe wala slaa nikambishia lakini sasa naelekea kumwamini
Sijawahi kuamini kama watu wanaweza kumpuuza kirahisi hivyo Dr slaa ama kwa hakika ccm tujiandae kuondoka madarakani kama wanachi wakiamua kumpa kura lowasa nasema tena siamini kama slaa amepuuzwa kwa kasi kiasi hicho ccm ya bibi yangu babu yangu ama kweli inaelekea kupotea tuwe wapole tu/ haya ndio mawazo ya wana ccm kwa sasa na nimeitoa kwa mmoja wao