Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 11,269
- 14,093
Ndoa zote zinaidhinishwa na Serikali.Hata mm kuliko nioe kanisani bora niende bomani yan
Maana yake anayefungisha ndoa ni Serikali.
Ndio maana ukitaka kuvunja ndoa ni lazima uende katika vyombo vya serikali kama Mahakama.
Na Serikali ikijiridhisha kuwa ndoa flani ilifungwa kwa kukiuka kanuni za ndoa, inaivunja hiyo ndoa bila kujali ilifungwa Kanisani au Hekaluni.
Huko Kanisani na Misikitini viongozi wake wanaiwakilisha tu kazi ya serikali.
Hata kiongozi wa Mila anaruhusiwa kwenda Serikarini na kuchukua vyeti vya ndoa na kuwafungisha watu wake, ili mradi tu aaminike na jamii yake na Serikali.
Kuhusu kuoa wake wengi au mmoja
hii inategemea na uwezo wa Mwanaume.
Taraka haipaswi kutolewa kwa urahisi kwakuwa Wanaume wasio na busara wanatumia fimbo ya Taraka kuwaumiza wanawake.
Wengi wetu uwezo wetu ni wakuoa mke mmoja tu.
Kama ilivyoandikwa kwenye Biblia Takatifu.