Ni tarehe 01/11/2021
Basi tusisahau kumwomba Mwenye Heri Nyerere na wateule wengine wa Mungu yaani Mkapa na Magufuli waendelee kuliombea taifa la Tanzania liweze kupata kibali machoni pake Mungu.
Raha ya milele uwajalie ee Bwana na Nuru ya daima iwaangazie wastarehe katika amani wao ne wote waliofariki katika imani ya Yesu Kristo, amen!
Jiwe Yuko Motoni huko ,Labda awaombee Kwa Shetani Muende MotoniNi tarehe 01/11/2021
Basi tusisahau kumwomba Mwenye Heri Nyerere na wateule wengine wa Mungu yaani Mkapa na Magufuli waendelee kuliombea taifa la Tanzania liweze kupata kibali machoni pake Mungu.
Raha ya milele uwajalie ee Bwana na Nuru ya daima iwaangazie wastarehe katika amani wao ne wote waliofariki katika imani ya Yesu Kristo, amen!
Kwa hiyo unataka tuuchukue Mtazamo wakoAtutazamavyo Mungu si kama sisi tunavyotazamana!
Labda wanatuombea Kwa ShetaniWao ndio wanatuombea!
Jiwe atakuombea Kwa Shetani upate Ma Balaa DunianiNyerere, Mkapa & Magufuli waendelee kupumzika kwa amani Mbinguni na wawe waombezi wetu. Amina.
dini ya kwanza? dini haimfikishi mbinguni mtu wewe, hata sisi tulikuwa wakatoliki kama wewe hadi tulipofunguka macho.Huwa nashangaa sana walokole wanapowashambulia wakatoliki kwa kipi hasa? Katoliki ndo Dini ya Kwanza iliyoanzishwa kwa mfumo wa ukiristo, hizo dhehebu zingine zilifata kwa kupunguza vipengele kwenye biblia ya katoliki nakuanza kutumia masomo machache kwa kutumia nguvu ya kujitangaza mpaka Sasa tulipofikia manabii na mitume badala ya zamani wachungaji ndo waliongoza kundi na huko mbele sijui wapi watafuata ila hao katoliki wamejijenga kwenye misingi yao hiyo hiyo, hata mleta mada yupo sawa maana mtu aliyetoka kwenye mwili nakuwa katika roho ananguvu sana za kuwasiliana na roho kuu kwa vile ni Roho na wanaomwabudu wanatakiwa kuwa katika roho ila tu wafe katika utakatifu.
Tuwaombe watuombee nini? Kwani nani ajuae wao wako wapi?
Tujiombee sisi tuweze kuondoka katika hali ya utakatifu
Anayestahili kuombwa ni Mungu pekee “Ninyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ila Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu nitalifanya.”
Yohana 14:13-14,
Jiwe ndiyo nani?Jiwe atakuombea Kwa Shetani upate Ma Balaa Duniani
Ajabu Sana hizi akili za kuomba wafu sijui zitaisha liniMnawaomba wafu?
Hakuna wa kumuombea hapo kwa sababu maisha yao ya mauti walisha jiandalia wenyewe wakiwa wazima wa afyaNi tarehe 01/11/2021
Basi tusisahau kumwomba Mwenye Heri Nyerere na wateule wengine wa Mungu yaani Mkapa na Magufuli waendelee kuliombea taifa la Tanzania liweze kupata kibali machoni pake Mungu.
Raha ya milele uwajalie ee Bwana na Nuru ya daima iwaangazie wastarehe katika amani wao ne wote waliofariki katika imani ya Yesu Kristo, amen!
Ni tarehe 01/11/2021
Basi tusisahau kumwomba Mwenye Heri Nyerere na wateule wengine wa Mungu yaani Mkapa na Magufuli waendelee kuliombea taifa la Tanzania liweze kupata kibali machoni pake Mungu.
Raha ya milele uwajalie ee Bwana na Nuru ya daima iwaangazie wastarehe katika amani wao ne wote waliofariki katika imani ya Yesu Kristo, amen!
Kwa mara ya kwanza leo umenena kwa point . Na nakupa like ya maneno
Marehemu Dikteta MwendakuzimuJiwe ndiyo nani?
Vigezo vilikosekana ndugu yangu vya kumtangaza mwenye heri.Nyerere ni mwenye heri!
?Marehemu Dikteta Mwendakuzimu
Huelewi mambo
Ukimuomba Babu yako unaweza ukawa tajiri sana, Humuabudu bali unamuomba akusaidie
Tofautisha kuomba na kuabudu
Hapa anaongelea wasaidie kuombea sio wao kuwaabudu
Vitu viwili tofauti