Taifa la Tanzania limekosa viongozi kama hayati Julius Nyerere na hayati John P Magufuli. Wananchi wanyonge watakandamizwa mpaka wakione cha moto

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,086
6,568
Hivi mbona ni aibu kubwa sana kwa taifa kubwa lenye rasimali nyingi na utajili wa maliasili kama Tanzania kufikiria juu ya kukamua tozo toka kwa wananchi wanyonge badala ya kufikiria kutumia rasimali kama madini, uvuvi na kilimo kupata mapatoa ya kuendesha nchi.

Hayati Mwalimu na hayati Julius Magufuli walikuwa makini juu ya hili na hawakupenda kuona raia wa chini na wanyonge wakisumbuliwa kwa sababu taifa lao lina rasilimali za kutosha kujiendesha.

Ni kweli wakati wa hayati Mwalimu wananchi walikuwa wachache. Lakini alimudu kusomesha wananchi bure na matibabu bure hakukuwa na wawekezaji wakubwa wa uchimbaji madini hapa nchini. Leo hii kila kona madini yanachimbwa na raia wanapigwa tozo za kila namna.

Leo hii kuna vyanzo kibao vya mapato vya taifa letu lakini raia wanyonge ndio wananyanyaswa kwa tozo za kila namna .

Akumbumbwe hayati JK Nyerere na hayati JPM
 
Usingemtaja huyu mtekaji, muuaji na mporaji wa mali za wanyonge ningekuona uko serious na mada yako na ningechangia hoja. Lkn hauko serious unafurahisha genge tu.
If you hate someone hate them alone don't go around recruiting people to hate that person with you that's witchcraft...Huo ni uchawi...bila shaka ulipitiwa na fagio la chumaaaaa....
 
Hivi mbona ni aibu kubwa sana kwa taifa kubwa lenye rasimali nyingi na utajili wa maliasili kama Tanzania kufikiria juu ya kukamua tozo toka kwa wananchi wanyonge badala ya kufikiria kutumia rasimali kama madini, uvuvi na kilimo kupata mapatoa ya kuendesha nchi.

Hayati Mwalimu na hayati Julius Magufuli walikuwa makini juu ya hili na hawakupenda kuona raia wa chini na wanyonge wakisumbuliwa kwa sababu taifa lao lina rasilimali za kutosha kujiendesha.

Ni kweli wakati wa hayati Mwalimu wananchi walikuwa wachache. Lakini alimudu kusomesha wananchi bure na matibabu bure hakukuwa na wawekezaji wakubwa wa uchimbaji madini hapa nchini. Leo hii kila kona madini yanachimbwa na raia wanapigwa tozo za kila namna.

Leo hii kuna vyanzo kibao vya mapato vya taifa letu lakini raia wanyonge ndio wananyanyaswa kwa tozo za kila namna .

Akumbumbwe hayati JK Nyerere na hayati JPM
Rubbish..

Kipindi cha hao viongozi wa wanyonge waliwasaidia kwa mambo yepi hao wanyonge wako?
 
Watu kama ninyi mnahitaji viongozi wakatili kama kina Adolf Hitler ili akili zenu zifunguke... mtanzania sio mtu wa kubembeleza wajinga ni wengi mno...
Mimi mwenyewe siwezi entertain upumbavu wa hao uliowataja kwa kigezo cha wanyonge..

Dunia haihitaji watu wajinga dizaini ya Mwendazake,Usimuweke Nyerere maana at least alikuwa na akili sio sawa na yule wa mihemko anayenunua ndege kwa cash afu anawaimbia wanyonge kwamba amewanunulia ndege 😜😜.
 
Hivi mbona ni aibu kubwa sana kwa taifa kubwa lenye rasimali nyingi na utajili wa maliasili kama Tanzania kufikiria juu ya kukamua tozo toka kwa wananchi wanyonge badala ya kufikiria kutumia rasimali kama madini, uvuvi na kilimo kupata mapatoa ya kuendesha nchi.

Hayati Mwalimu na hayati Julius Magufuli walikuwa makini juu ya hili na hawakupenda kuona raia wa chini na wanyonge wakisumbuliwa kwa sababu taifa lao lina rasilimali za kutosha kujiendesha.

Ni kweli wakati wa hayati Mwalimu wananchi walikuwa wachache. Lakini alimudu kusomesha wananchi bure na matibabu bure hakukuwa na wawekezaji wakubwa wa uchimbaji madini hapa nchini. Leo hii kila kona madini yanachimbwa na raia wanapigwa tozo za kila namna.

Leo hii kuna vyanzo kibao vya mapato vya taifa letu lakini raia wanyonge ndio wananyanyaswa kwa tozo za kila namna .

Akumbumbwe hayati JK Nyerere na hayati JPM
Fashisti KAYAFA alass Magu ndiye Rais aliyemkandamiza mtanzania kuliko wote...

Next time acha kumweka Nyerere kundi moja na takataka!! Nyerere kaondoka ikulu hakuweza hata kukarabati nyumba yake pale msasani hadi wadenish kumsaidia, usilinganishe na fisadi aliyetoweka ghafla yakakutwa naboksi kwa maboksi ya pesa vyumbani.
 
Back
Top Bottom