Ni tarehe 01/11/2021
Basi tusisahau kumwomba Mwenye Heri Nyerere na wateule wengine wa Mungu yaani Mkapa na Magufuli waendelee kuliombea taifa la Tanzania liweze kupata kibali machoni pake Mungu.
Raha ya milele uwajalie ee Bwana na Nuru ya daima iwaangazie wastarehe katika amani wao ne wote waliofariki katika imani ya Yesu Kristo, amen!
Hatujui wako upande gani kule walipo! Wengine kwa waliyoyafanya wanaweza kuwa upande wa motto. Hivyo tueaombee kwanza waondoke huo upande