mwenyeKitu
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 946
- 771
Weka jambo ambalo ukikumbuka tafakari yake inakurusisha nyuma sana Leo ukikumbuka unabaki na tabasamu /furaha /huzuni.
Mimi nakumbuka wakati im Coming from the cold (sina kitu) ilikuwa inaweza pita siku simu isilie. ..hamna mtu anayepiga.
Nikikumbuka natabasam. ..get money get honey.
Mimi nakumbuka wakati im Coming from the cold (sina kitu) ilikuwa inaweza pita siku simu isilie. ..hamna mtu anayepiga.
Nikikumbuka natabasam. ..get money get honey.