Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,371
- 3,146
Tell them.Dunia si duara kamili kama inavyooneshwa ktk picha zao, bali ni nusu duara ambalo linaning'inia juu ya kuta za barafu(atrantic), pia kuhusu mzunguko wa dunia hilo sahau maana dunia haizunguki, bali jua ndilo huizunguka dunia na kusababisha usiku na mchana,
Jua si kubwa kama wanavyoelezea ktk sayans za uongo, mwezi nao nadhani wajua kuwa unaizunguka dunia ili kukamilisha matukio muhim ya kidunia, endapo mwez utasimama basi maisha ya dunia yatasimama pia kifo kitasimama maana kazi mojawapo ya mwezi ni kucontrol muda, kama mtu yeyote atafanikiwa kukanyaga ardhi ya mwezi basi kamwe hatokufa maana atavuka mipaka ya muda.
Jinsi unavyoukalibia mwezi ndivyo life span yako inaongezeka, yaan namaanisha jinsi unavyokwenda karibu na mwezi ndivyo miaka yako huenda kasi na kujikuta unazeeka haraka so utafika mwezini ukiwa maiti, that's why nimesema ukifika ktk uso wa mwez bas hutokufa tena.
Kuna mengi lakn sitoeleza sana wapingaji ni wengi na wew unaweza usielewe
Huu ndio UKWELIII.
Lakini manyumbu waliolishwa sayansi za uongo za secondary school hawawezi kuelewa hili.
Ni rahisi sana kulaghai watu kuliko kuwaamsha na kuwaeleza kuwa mnadanganywa.
Hebu fikiri, miaka yote ile umesoma sekondari na vyuo vikuu kumbe ulikuwa unalishwa udanganyifu. INAUMAJEE!!!
Unaweza kuamua kuendelea kuamini uongo ili uepuke maumivu ya kuambiwa UKWELI.