Acha Imani potofu lini utakua!!katibu mkuu wa BAKWATA arusha ajeruhiwa kwa kulipuliwa na bomu na watu wasiojulikana usiku wa saa saba,walivunja kioo cha nyumba yake na kumrushia bomu akiwa amelala nyumbani kwake.
source:Wapo Radio FM.
dhambi ya ubaguzi inawatafuna sasa."religion of peace"
Mbona rahisi sana mkuu! Chukua chupa weka Petroli na utambi halafu liwashe tupa ndani uone nini kitafuata!
Serikali imemchekea sana Ponda kwa muda mrefu sasa ndiyo watamsoma namba, atawasumbua sana huyu mrundi.
Acha Imani potofu lini utakua!!
Aaaa...sio Matokeo ya magazeti yenu ya Nyakati na Msemakweli, Radio Maria,Radio Tumaini, Tv ATN, Tv Tumani na Tv TrenitHayo ndo Matokeo ya gazeti la AL-NUUR na Radio Imaan.
Katibu wa BAKWATA mkoani Arusha bwana AbdulKarim Jonjo usiku wa kuamkia leo amelipuliwa kwa bomu nyumbani kwake eneo la Esso jijini Arusha hivi sasa yuko hoi katika hospitali ya Mount Meru.
Chanzo: Wapo Radio