SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,766
Ajuza Faiza Foxy chukua kitoweo hicho.Ushajitangaza kwenye ID yako, si ingewekwa wazi tu kuwa "mliberali" maana yake ni kuwa kama Tito.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajuza Faiza Foxy chukua kitoweo hicho.Ushajitangaza kwenye ID yako, si ingewekwa wazi tu kuwa "mliberali" maana yake ni kuwa kama Tito.
Tulia.Moderator
Mnafurahi watu wanatajana IDs na kuanza matusi namna hii.
Hii nchi ni zaidi ya CCM na CHADEMA wanaolumbana hapa.
Funga mjadala huu hauna tija tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe buku 7 unaziona ndogo?!!
Nyie magasho spidi ya kuliwa itaongezeka, vile vijisenti mlivyovitarajia vimeziuwa na.mnaowaita mabeberu ( mnawakataa lakini visenti vyao mnavitaka) . Kazi mnayo.Sisi mabasher tunawajua nyie chakla chetu hamjifichi
Ile picha mwenye nayo aweke hapa!Kuna mtu alishawahi kuleta na picha yao kabisa wamejazana na laptop zao wakiwa mtandaoni
Hiyo ni Tafsri yako mi mambo yenu na Tito siyajuiUshajitangaza kwenye ID yako, si ingewekwa wazi tu kuwa "mliberali" maana yake ni kuwa kama Tito.
Kumbe wanapewa pakti ya korosho, ili kumtukana Mbowe na ChafemaKuna mtu alishawahi kuleta na picha yao kabisa wamejazana na laptop zao wakiwa mtandaoni
ChaklaNyie magasho spidi ya kuliwa itaongezeka, vile vijisenti mlivyovitarajia vimeziuwa na.mnaowaita mabeberu ( mnawakataa lakini visenti vyao mnavitaka) . Kazi mnayo.
Bwabwa kazi mnayoChakla
Corona bado anacheza Ufipa, Lumumba haujafika bado.
Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.
Vipi hali yake?
Wachagga hamchelewi!
Corona ina koo imemeza Posho za wakina UCD na Magonjwa Mtambuka
Tito anakula nguruwe na ni mwanaccm mwenzio , mnashirikiana wali wa chamaUshajitangaza kwenye ID yako, si ingewekwa wazi tu kuwa "mliberali" maana yake ni kuwa kama Tito.
Wewe si mliberali mwenzako huyo?
Alumni karudi leo kwa spidi ya hatari!Kawe Alumni amesharudi kijijini kwao Hali imekuwa mbaya...
Hawa wajinga tunawaambia kilasiku wajitahidi kujitetea Kwa kufanya biashara lkn akili zao zimeegemea Kwenye kuwepa uteuzi.wengi wa vijana hawa wameshaolewa huku mtaani
Kajitutumua tu baada ya kuona jana tumewasakama sanaAlumni karudi leo kwa spidi ya hatari!
Sijui amelipwa madai yake, au ameamua kujitutumua tu!.
Sent using Jamii Forums mobile app