Katibu Mwenezi Polepole, malipo ya 'Lumumba Buku 7' yameathiriwaje na Corona?

Sio najipromofi najua njaa imewazidia. Labda msubiri fedha za corona zije , wakubwa wenu wazimege ndio mpata posho . Sasa wakati mnaendelea kusubiri ukiona njaa imekuzidia unakuja kugongwa unapewa hela ya kula wiki moja. Yaani 49,000. Kila siku 7000. Nyie mabwabwa mtaliwa kweli kweli safari hii.
Umeona wapi ccm akapiga kelele za hovyo hovyo kuhusu corona? Ufipa ndio mnataka lockdown mpewe na chakula au uongo misukule mingi ya chadema haina kazi Ina shinda mitandaoni kutukana tu na ndio maana mmeomba corona ije mungu si athumani imekuja na imempata mwenyekiti wa Sacco's yenu DJ makengeza Sasa mnalilia chakula Cha bure mnataka lockdown kinguvu mpewe chakula hakuna chakula Cha bure fanya kazi unataka lockdown jiweke mwenyewe HAPA KAZI TU
 
Umeona wapi ccm akapiga kelele za hovyo hovyo kuhusu corona? Ufipa ndio mnataka lockdown mpewe na chakula au uongo misukule mingi ya chadema haina kazi Ina shinda mitandaoni kutukana tu na ndio maana mmeomba corona ije mungu si athumani imekuja na imempata mwenyekiti wa Sacco's yenu DJ makengeza Sasa mnalilia chakula Cha bure mnataka lockdown kinguvu mpewe chakula hakuna chakula Cha bure fanya kazi unataka lockdown jiweke mwenyewe HAPA KAZI TU
Umepanic,usituletee stress zako hapa za kukwama kimaisha!
 
Ila hicho kitengo karibu na hapo CRDB na gazeti la MZALENDO inabidi wawaonee huruma hawa jamaa, tuache ushabiki. Kwa jinsi maisha yalivyopanda bei buku7 haitosi kitu.
Nakumbuka kipindi kile walikuwepo makamanda malaria sugu, lizaboni, chabruma, kimeta cha ufisadi, tandaleone aka wa mtama nk... walikuwa wanajituma sana. Ilikuwa ukiitaja ccm tu! dk 2 nyingi hawa hapa! mpaka unahisi huyu ni mtu au roboti?!
Enzi hizo alikuwepo moderator mmoja akiitwa Buchanan tukawa tunamtania kuwa kaiba kitufe cha "dislike"
 
Umeona wapi ccm akapiga kelele za hovyo hovyo kuhusu corona? Ufipa ndio mnataka lockdown mpewe na chakula au uongo misukule mingi ya chadema haina kazi Ina shinda mitandaoni kutukana tu na ndio maana mmeomba corona ije mungu si athumani imekuja na imempata mwenyekiti wa Sacco's yenu DJ makengeza Sasa mnalilia chakula Cha bure mnataka lockdown kinguvu mpewe chakula hakuna chakula Cha bure fanya kazi unataka lockdown jiweke mwenyewe HAPA KAZI TU
Wasukuma bana
 
Umeona wapi ccm akapiga kelele za hovyo hovyo kuhusu corona? Ufipa ndio mnataka lockdown mpewe na chakula au uongo misukule mingi ya chadema haina kazi Ina shinda mitandaoni kutukana tu na ndio maana mmeomba corona ije mungu si athumani imekuja na imempata mwenyekiti wa Sacco's yenu DJ makengeza Sasa mnalilia chakula Cha bure mnataka lockdown kinguvu mpewe chakula hakuna chakula Cha bure fanya kazi unataka lockdown jiweke mwenyewe HAPA KAZI TU
Yule Mbita alikufa kwa corona guess ni chama gani? Kenge wewe!
 
Back
Top Bottom