Katibu Mkuu wa CCM, Kinana na Nape watua Butiama,Wazuru kaburi la Baba wa Taifa

Bregedia amekwenda kaburini na kihoro kwakulea PAKASHUME asiewake kisa mwenge,

Na amekufa akiulaani mwenge kwakuwa ndio uliomletea huo msukule unaotumiwa na ccm,

Familia ya marehemu afande hawakutaki, Familia ya Mack hawakutambui, umekuwa kama dodoki la bafuni tu tena bafu la kizaramo!
Yeriko wewe ni muhuni tu huna uhusiano wowote na Nyerere, Mama yako anaitwa nani? anatoka nyumba gani? Jibu la hasha uache ujinga, na kujisifu bure hapa.
 
Wamekwenda kunajisi kaburi la Mwasisi wa CCM!


Nakubaliana na wewe kuwa hawa magamba kwa kwenda kugusa kaburi la mwalimu wamekwenda kupata laana kwani Mwalimu alikuwa ni mlinzi mkuu wa maliasili za nchi na ndio maana hata kizazi cha leo kimeweza kuzikuta mbuga za wanyama zikiwa bado na Twiga ,Tembo na vifaru; lakini hawa waliokwenda kwenye kaburi lake ni majangili wa kimataifa ambao wanataka kuangamiza mbuga zetu za wanyama!! Sio hivyo tu ,wengine katika msafara huo wanajifanya ni wanachama wa ccm kumbe ni wanachama wa ccj!!! Watapata laana kubwa.
 
Bregedia amekwenda kaburini na kihoro kwakulea PAKASHUME asiewake kisa mwenge,

Na amekufa akiulaani mwenge kwakuwa ndio uliomletea huo msukule unaotumiwa na ccm,

Familia ya marehemu afande hawakutaki, Familia ya Mack hawakutambui, umekuwa kama dodoki la bafuni tu tena bafu la kizaramo!

Acha kuweweseka wewe tapeli Yericko Yohanes Msambila.

Unataka kuendeleza utapeli wako hata kwenye majina ya watu wengine. Unataka kuwatapeli wanaJf kuwa Mwanadiwani ni Nape.

Nimesema ukishakuwa tapeli huwezi kuacha utapeli. Don't use my Jf ID kutapeli wanaJf

Utapeli una gharama pamoja na kwamba umeokota watu wengi sana hapa JF na mitaani kwa kujifanya wewe ni mtoto wa Mwl. Nyerere.

Siku za mwizi huwa ni arobaini na tutaendelea kukumbusha kila mara kuhusu utapeli wako.
 
Andrew Nyerere hata wewe unaingizwa mkenge na huyu porcher? Hiyo mifurana na mikofia waliyokuvalisha hata Baba yako mpaka anakufa hakuthubutu kuivaa, bonye hilo waachie wenyewe kina Billionaire Ridhiwani JK. This is too low for you wenzio hapo wanapiga pesa za safari tu na kama ungejuwa mioyoni mwao walicjokuwa wanakisema wakati wa kuweka mashada........


.
 
Last edited by a moderator:
Acha kuweweseka wewe tapeli Yericko Yohanes Msambila.

Unataka kuendeleza utapeli wako hata kwenye majina ya watu wengine. Unataka kuwatapeli wanaJf kuwa Mwanadiwani ni Nape.

Nimesema ukishakuwa tapeli huwezi kuacha utapeli. Don't use my Jf ID kutapeli wanaJf

Utapeli una gharama pamoja na kwamba umeokota watu wengi sana hapa JF na mitaani kwa kujifanya wewe ni mtoto wa Mwl. Nyerere.

Siku za mwizi huwa ni arobaini na tutaendelea kukumbusha kila mara kuhusu utapeli wako.

Kuna kipindi nilibisha sana rafiki yangu mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm aliponiambia kuwa wewe sio riziki, lakini kanipigia simu leo saa moja iliyopita nakunikejeli kuwa vipi jamaa anahitaji tiba?

Sasa nimeamini kumbe kweli mzaliwa wa mbio za mwenge SIO RIZIKI,

Nitafuatilia nijue yule Waziri kama kweli anakukamu, kisha nitakuja na mrejesho!
 
Nisaidieni. Nimekamua macho sijamwona mama Maria Nyerere hapo. Kama aliwasubiri viongizi wa CHADEMA na akafanya nao sala kwenye kaburi la baba wa taifa imekuwaje sasa akawakacha viongozi wa CCM?
ikumbukwe kwamba katika familia ya marehemu Mwl. Nyerere ni mama peke yake anayeongoza sala mbele ya kaburi la Mwalimu.
katika sala hiyo husikika akimwombea Mwl raha ya milele na kumwomba awaongoze vema waliotembelea kaburi saa ile, ili watekeleze vema wajibu wao kwa taifa la Tanzania.
 
Kuna kipindi nilibisha sana rafiki yangu mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm aliponiambia kuwa wewe sio riziki, lakini kanipigia simu leo saa moja iliyopita nakunikejeli kuwa vipi jamaa anahitaji tiba?

Sasa nimeamini kumbe kweli mzaliwa wa mbio za mwenge SIO RIZIKI,

Nitafuatilia nijue yule Waziri kama kweli anakukamu, kisha nitakuja na mrejesho!
Ondoa story zako za kufikirika. Mwanadiwani hawezi kuwa Nape na kikubwa zaidi, Mwanadiwani hawezi kuwa taperi wa kujinasibisha na wazazi wa wengine kama ufanyavyo kwa kujiita Yericko Nyerere wakati jina lako unaitwa Yericko Yohanes Msambila.

Usitake kubadilisha mjadala hapa kwa kuleta story za kijiweni kuhusu Nape. Kawadanganye member wa jukwaa la chitchat.

Acha kuweweseka Yericko Yohanes Msambila. Umetafuta reputation hapa jamiiforums kwa story za kutunga mpaka hata baba yako mzazi Marehemu Mzee Yohanes Msambila unamkana kwa vile tu hakuwa public figure. Baba ni Baba na muhimu kabisa, binadamu hachagui wazazi na sehemu ya kuzaliwa. Kama unataka kuwa mtoto wa Mwl. Nyerere legally, kaiombe familia ya Mwl. Nyerere iku-adopt ili utapeli wako utimie.

Marehemu Mzee Yohanes Msambila ni baba yako na usione aibu kulitumia jina lake. Kama unataka kuwa public figure, fanya kazi kwa bidii na siyo kutumia utapeli ambao umekuumbua na ushukuru ubinadamu wa Andrew Nyerere kwa kukusamehe, otherwise kwa sasa ungekuwa unanyea debe magereza kwa kosa la impersonation and stalking.
 
Ondoa story zako za kufikirika. Mwanadiwani hawezi kuwa Nape na kikubwa zaidi, Mwanadiwani hawezi kuwa taperi wa kujinasibisha na wazazi wa wengine kama ufanyavyo kwa kujiita Yericko Nyerere wakati jina lako unaitwa Yericko Yohanes Msambila.

Usitake kubadilisha mjadala hapa kwa kuleta story za kijiweni kuhusu Nape. Kawadanganye member wa jukwaa la chitchat.

Acha kuweweseka Yericko Yohanes Msambila. Umetafuta reputation hapa jamiiforums kwa story za kutunga mpaka hata baba yako mzazi Marehemu Mzee Yohanes Msambila unamkana kwa vile tu hakuwa public figure. Baba ni Baba na muhimu kabisa, binadamu hachagui wazazi na sehemu ya kuzaliwa. Kama unataka kuwa mtoto wa Mwl. Nyerere legally, kaiombe familia ya Mwl. Nyerere iku-adopt ili utapeli wako utimie.

Marehemu Mzee Yohanes Msambila ni baba yako na usione aibu kulitumia jina lake. Kama unataka kuwa public figure, fanya kazi kwa bidii na siyo kutumia utapeli ambao umekuumbua na ushukuru ubinadamu wa Andrew Nyerere otherwise kwa sasa ungekuwa unanyea debe magereza kwa kosa la impersonation and stalking.

mmeenda kuchota laana kwny makaburi ya mwl?hii ya kuwaambia kina mzee Warioba wanasubiri kufa haiwatoshi?
 
Hivi Kinana ni mwenyeji wa mkoa gani? Ni kabila gani maana hilo jina halimo katika kabila lolote Tanzania. Operesheni "kimbunga"!!

Huyu Kinana ameishavuruga uhusiano WA Tanzania na Kenya, Al Shabaab walioshambulia mall Kenya wengi Ni vijana wake na inasemekana sehem kubwa ya fedha za pembe za ndovu na madawa ya kulevya zinafadhili Al Shabaab. Huyu msomali mwisho wake 2015
 
Ondoa story zako za kufikirika. Mwanadiwani hawezi kuwa Nape na kikubwa zaidi, Mwanadiwani hawezi kuwa taperi wa kujinasibisha na wazazi wa wengine kama ufanyavyo kwa kujiita Yericko Nyerere wakati jina lako unaitwa Yericko Yohanes Msambila.

Usitake kubadilisha mjadala hapa kwa kuleta story za kijiweni kuhusu Nape. Kawadanganye member wa jukwaa la chitchat.

Acha kuweweseka Yericko Yohanes Msambila. Umetafuta reputation hapa jamiiforums kwa story za kutunga mpaka hata baba yako mzazi Marehemu Mzee Yohanes Msambila unamkana kwa vile tu hakuwa public figure. Baba ni Baba na muhimu kabisa, binadamu hachagui wazazi na sehemu ya kuzaliwa. Kama unataka kuwa mtoto wa Mwl. Nyerere legally, kaiombe familia ya Mwl. Nyerere iku-adopt ili utapeli wako utimie.

Marehemu Mzee Yohanes Msambila ni baba yako na usione aibu kulitumia jina lake. Kama unataka kuwa public figure, fanya kazi kwa bidii na siyo kutumia utapeli ambao umekuumbua na ushukuru ubinadamu wa Andrew Nyerere otherwise kwa sasa ungekuwa unanyea debe magereza kwa kosa la impersonation and stalking.

Kwa haya Maneno tulio wengi sasa tumemwelewa vyema huyu Yericko Nyerere, ahsante sana Mwanadiwani kwa taarifa hizi maana siku hizi Matapeli ni wengi.
1. Alikuwepo trafic fake-akashikwa
2.Alipatikana Askari mwingine fake-akaumbuka
3.Alikamatwa Mwana -TISS fake -sasa yuko segerea
4.Ameshikwa Daktari fake tena wawili, 1 kule KCMC mwingine juzi Muhimbili.

Sasa YERICKO NYERERE amejulikana kuwa ni "Nyerere fake" asionewe huruma akamatwe akajibu haya Mashtaka au aombe ridhaa kutumia jina hilo 'Takatifu'(According to Catholics) toka familia ya Mwalimu.
YERICKO umeumbuka sasa.
 
Kwa haya Maneno tulio wengi sasa tumemwelewa vyema huyu Yericko Nyerere, ahsante sana Mwanadiwani kwa taarifa hizi maana siku hizi Matapeli ni wengi.
1. Alikuwepo trafic fake-akashikwa
2.Alipatikana Askari mwingine fake-akaumbuka
3.Alikamatwa Mwana -TISS fake -sasa yuko segerea
4.Ameshikwa Daktari fake tena wawili, 1 kule KCMC mwingine juzi Muhimbili.

Sasa YERICKO NYERERE amejulikana kuwa ni "Nyerere fake" asionewe huruma akamatwe akajibu haya Mashtaka au aombe ridhaa kutumia jina hilo 'Takatifu'(According to Catholics) toka familia ya Mwalimu.
YERICKO umeumbuka sasa.
Huyu binadamu ni tapeli sugu na amekubuhu kwa utapeli. Hata kwa sasa anataka kuwatapeli wanaJf kwa kuwaambia Mwanadiwani ni Nape.

Ninaamini kuna watu ameisha watapeli kwa kutumia jina la Baba wa Taifa na kuwadanganya kuwa ni mtoto wa kuzaliwa wa Mwl. Nyerere wakati Baba yake ni Marehemu Mzee Yohanes Msambila.

Ninafikiri kwa kufahamu kuwa familia ya Mwl. Nyerere haina makuu ndiyo maana akatumia mwanya huo kuwatapeli wanaJf na watanzania kama yeye ni mtoto wa kuzaliwa wa Mwl. Nyerere.

Tutaendelea kumkumbusha kuhusu utapeli wake.
 
Kwa haya Maneno tulio wengi sasa tumemwelewa vyema huyu Yericko Nyerere, ahsante sana Mwanadiwani kwa taarifa hizi maana siku hizi Matapeli ni wengi.
1. Alikuwepo trafic fake-akashikwa
2.Alipatikana Askari mwingine fake-akaumbuka
3.Alikamatwa Mwana -TISS fake -sasa yuko segerea
4.Ameshikwa Daktari fake tena wawili, 1 kule KCMC mwingine juzi Muhimbili.

Sasa YERICKO NYERERE amejulikana kuwa ni "Nyerere fake" asionewe huruma akamatwe akajibu haya Mashtaka au aombe ridhaa kutumia jina hilo 'Takatifu'(According to Catholics) toka familia ya Mwalimu.
YERICKO umeumbuka sasa.

Hahaa naona unazidi kuhama hama kama mhudumu wa baa,

Ungetulia kwenye ID yako ya kwanza ungeeleweka tu,

Laana za inazidi kukuandama, vumilia hayo ndio matokeo ya mimba za mbio za mwenge,

Mimi ni kama jua, utake nitakuwakia, usitake nitakuwakia,

Siishi kwakubahatisha, Kamuulize mwenyekiti wako atakwambia!
 
Ondoa story zako za kufikirika. Mwanadiwani hawezi kuwa Nape na kikubwa zaidi, Mwanadiwani hawezi kuwa taperi wa kujinasibisha na wazazi wa wengine kama ufanyavyo kwa kujiita Yericko Nyerere wakati jina lako unaitwa Yericko Yohanes Msambila.

Usitake kubadilisha mjadala hapa kwa kuleta story za kijiweni kuhusu Nape. Kawadanganye member wa jukwaa la chitchat.

Acha kuweweseka Yericko Yohanes Msambila. Umetafuta reputation hapa jamiiforums kwa story za kutunga mpaka hata baba yako mzazi Marehemu Mzee Yohanes Msambila unamkana kwa vile tu hakuwa public figure. Baba ni Baba na muhimu kabisa, binadamu hachagui wazazi na sehemu ya kuzaliwa. Kama unataka kuwa mtoto wa Mwl. Nyerere legally, kaiombe familia ya Mwl. Nyerere iku-adopt ili utapeli wako utimie.

Marehemu Mzee Yohanes Msambila ni baba yako na usione aibu kulitumia jina lake. Kama unataka kuwa public figure, fanya kazi kwa bidii na siyo kutumia utapeli ambao umekuumbua na ushukuru ubinadamu wa Andrew Nyerere kwa kukusamehe, otherwise kwa sasa ungekuwa unanyea debe magereza kwa kosa la impersonation and stalking.

Ulivyo na akili ya kisoda utadhani ni mwanamke nyumba ndogo,

Nilishakwamnia wewe ni shabiki wangu mwehu,

Kila ukiniona lazima unyevunyevu ukupata na kinishangilia popote,

Ila unabahati mbaya mie huwa sitafuni makuki, endelea na yuleyule Waziri!



Kwakukukumbusha tu wasifu wangu nikuwa:

Naitwa: Yericko Yohanesy Nyerere

Mahali nilipozaliwa: Nyololo, Mufindi, Iringa.

Kabila: Ni Mhehe,

Baba yangu: Yohanes Msambila Nyerere


Elimu: Muhandisi wa Umeme na Compyuta kutoka Chuo cha Beijing Information Technology College- "BIT" (China)

Kazi: Mfanyabiahara, Mwenyekiti Mtendaji wa Umoja wa Makampuni ya YECCO GROUP LTD

Kuishi: Kigamboni Mbutu,

Nina mke mmoja na watoto wa wili ambao ni Che-Lee na Su-Yang


Sitakujibu tena bwana Nape Nnauye endelea kujifariji na wasifu wangu ambao utakufa tu hutanifikia,


NB

Nina mbwa na pakashume saizi yako ninawafuga, ukichoka kukaa ccm njoo uchangamane na wenzio hapa,
 
Hahaa naona unazidi kuhama hama kama mhudumu wa baa,

Ungetulia kwenye ID yako ya kwanza ungeeleweka tu,

Laana za inazidi kukuandama, vumilia hayo ndio matokeo ya mimba za mbio za mwenge,

Mimi ni kama jua, utake nitakuwakia, usitake nitakuwakia,

Siishi kwakubahatisha, Kamuulize mwenyekiti wako atakwambia!
Yeriko huyu ni mhuni wa kawaida tu yeye hujifanya kila kitu anajua kumbe mbulula tu,

Ni mtu wa ajabu sana asiweza kuona umhimi wa mawazo ya wenzake

thamani yake yakandambili kutumika bafuni .
 
Back
Top Bottom