Huyu mwanadiwani anatujazia seva na mapicha yake yasiyo na tija. MOD angalieni jinsi ya kutupatia utulivu jukwaani dhidi ya huyu mgagagigikoko.
Heee!! kumbe na wewe ni mdau wa kule?
Huyu mwanadiwani anatujazia seva na mapicha yake yasiyo na tija. MOD angalieni jinsi ya kutupatia utulivu jukwaani dhidi ya huyu mgagagigikoko.
Yeriko wewe ni muhuni tu huna uhusiano wowote na Nyerere, Mama yako anaitwa nani? anatoka nyumba gani? Jibu la hasha uache ujinga, na kujisifu bure hapa.Bregedia amekwenda kaburini na kihoro kwakulea PAKASHUME asiewake kisa mwenge,
Na amekufa akiulaani mwenge kwakuwa ndio uliomletea huo msukule unaotumiwa na ccm,
Familia ya marehemu afande hawakutaki, Familia ya Mack hawakutambui, umekuwa kama dodoki la bafuni tu tena bafu la kizaramo!
Wamekwenda kunajisi kaburi la Mwasisi wa CCM!
Bregedia amekwenda kaburini na kihoro kwakulea PAKASHUME asiewake kisa mwenge,
Na amekufa akiulaani mwenge kwakuwa ndio uliomletea huo msukule unaotumiwa na ccm,
Familia ya marehemu afande hawakutaki, Familia ya Mack hawakutambui, umekuwa kama dodoki la bafuni tu tena bafu la kizaramo!
Nakubaliana na ww Yericko!Mikono ya Kinana haitakiwi kuligusa kabuli la Baba wa Taifa!Kinana ni najisi.
Naamini mwenyewe angelikuwa anaweza kuona na kusema, angewakemea vibaya sana!!Wamekwenda kunajisi kaburi la Mwasisi wa CCM!
Acha kuweweseka wewe tapeli Yericko Yohanes Msambila.
Unataka kuendeleza utapeli wako hata kwenye majina ya watu wengine. Unataka kuwatapeli wanaJf kuwa Mwanadiwani ni Nape.
Nimesema ukishakuwa tapeli huwezi kuacha utapeli. Don't use my Jf ID kutapeli wanaJf
Utapeli una gharama pamoja na kwamba umeokota watu wengi sana hapa JF na mitaani kwa kujifanya wewe ni mtoto wa Mwl. Nyerere.
Siku za mwizi huwa ni arobaini na tutaendelea kukumbusha kila mara kuhusu utapeli wako.
Ondoa story zako za kufikirika. Mwanadiwani hawezi kuwa Nape na kikubwa zaidi, Mwanadiwani hawezi kuwa taperi wa kujinasibisha na wazazi wa wengine kama ufanyavyo kwa kujiita Yericko Nyerere wakati jina lako unaitwa Yericko Yohanes Msambila.Kuna kipindi nilibisha sana rafiki yangu mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm aliponiambia kuwa wewe sio riziki, lakini kanipigia simu leo saa moja iliyopita nakunikejeli kuwa vipi jamaa anahitaji tiba?
Sasa nimeamini kumbe kweli mzaliwa wa mbio za mwenge SIO RIZIKI,
Nitafuatilia nijue yule Waziri kama kweli anakukamu, kisha nitakuja na mrejesho!
Ondoa story zako za kufikirika. Mwanadiwani hawezi kuwa Nape na kikubwa zaidi, Mwanadiwani hawezi kuwa taperi wa kujinasibisha na wazazi wa wengine kama ufanyavyo kwa kujiita Yericko Nyerere wakati jina lako unaitwa Yericko Yohanes Msambila.
Usitake kubadilisha mjadala hapa kwa kuleta story za kijiweni kuhusu Nape. Kawadanganye member wa jukwaa la chitchat.
Acha kuweweseka Yericko Yohanes Msambila. Umetafuta reputation hapa jamiiforums kwa story za kutunga mpaka hata baba yako mzazi Marehemu Mzee Yohanes Msambila unamkana kwa vile tu hakuwa public figure. Baba ni Baba na muhimu kabisa, binadamu hachagui wazazi na sehemu ya kuzaliwa. Kama unataka kuwa mtoto wa Mwl. Nyerere legally, kaiombe familia ya Mwl. Nyerere iku-adopt ili utapeli wako utimie.
Marehemu Mzee Yohanes Msambila ni baba yako na usione aibu kulitumia jina lake. Kama unataka kuwa public figure, fanya kazi kwa bidii na siyo kutumia utapeli ambao umekuumbua na ushukuru ubinadamu wa Andrew Nyerere otherwise kwa sasa ungekuwa unanyea debe magereza kwa kosa la impersonation and stalking.
Hivi Kinana ni mwenyeji wa mkoa gani? Ni kabila gani maana hilo jina halimo katika kabila lolote Tanzania. Operesheni "kimbunga"!!
Ondoa story zako za kufikirika. Mwanadiwani hawezi kuwa Nape na kikubwa zaidi, Mwanadiwani hawezi kuwa taperi wa kujinasibisha na wazazi wa wengine kama ufanyavyo kwa kujiita Yericko Nyerere wakati jina lako unaitwa Yericko Yohanes Msambila.
Usitake kubadilisha mjadala hapa kwa kuleta story za kijiweni kuhusu Nape. Kawadanganye member wa jukwaa la chitchat.
Acha kuweweseka Yericko Yohanes Msambila. Umetafuta reputation hapa jamiiforums kwa story za kutunga mpaka hata baba yako mzazi Marehemu Mzee Yohanes Msambila unamkana kwa vile tu hakuwa public figure. Baba ni Baba na muhimu kabisa, binadamu hachagui wazazi na sehemu ya kuzaliwa. Kama unataka kuwa mtoto wa Mwl. Nyerere legally, kaiombe familia ya Mwl. Nyerere iku-adopt ili utapeli wako utimie.
Marehemu Mzee Yohanes Msambila ni baba yako na usione aibu kulitumia jina lake. Kama unataka kuwa public figure, fanya kazi kwa bidii na siyo kutumia utapeli ambao umekuumbua na ushukuru ubinadamu wa Andrew Nyerere otherwise kwa sasa ungekuwa unanyea debe magereza kwa kosa la impersonation and stalking.
Huyu binadamu ni tapeli sugu na amekubuhu kwa utapeli. Hata kwa sasa anataka kuwatapeli wanaJf kwa kuwaambia Mwanadiwani ni Nape.Kwa haya Maneno tulio wengi sasa tumemwelewa vyema huyu Yericko Nyerere, ahsante sana Mwanadiwani kwa taarifa hizi maana siku hizi Matapeli ni wengi.
1. Alikuwepo trafic fake-akashikwa
2.Alipatikana Askari mwingine fake-akaumbuka
3.Alikamatwa Mwana -TISS fake -sasa yuko segerea
4.Ameshikwa Daktari fake tena wawili, 1 kule KCMC mwingine juzi Muhimbili.
Sasa YERICKO NYERERE amejulikana kuwa ni "Nyerere fake" asionewe huruma akamatwe akajibu haya Mashtaka au aombe ridhaa kutumia jina hilo 'Takatifu'(According to Catholics) toka familia ya Mwalimu.
YERICKO umeumbuka sasa.
Kwa haya Maneno tulio wengi sasa tumemwelewa vyema huyu Yericko Nyerere, ahsante sana Mwanadiwani kwa taarifa hizi maana siku hizi Matapeli ni wengi.
1. Alikuwepo trafic fake-akashikwa
2.Alipatikana Askari mwingine fake-akaumbuka
3.Alikamatwa Mwana -TISS fake -sasa yuko segerea
4.Ameshikwa Daktari fake tena wawili, 1 kule KCMC mwingine juzi Muhimbili.
Sasa YERICKO NYERERE amejulikana kuwa ni "Nyerere fake" asionewe huruma akamatwe akajibu haya Mashtaka au aombe ridhaa kutumia jina hilo 'Takatifu'(According to Catholics) toka familia ya Mwalimu.
YERICKO umeumbuka sasa.
Ondoa story zako za kufikirika. Mwanadiwani hawezi kuwa Nape na kikubwa zaidi, Mwanadiwani hawezi kuwa taperi wa kujinasibisha na wazazi wa wengine kama ufanyavyo kwa kujiita Yericko Nyerere wakati jina lako unaitwa Yericko Yohanes Msambila.
Usitake kubadilisha mjadala hapa kwa kuleta story za kijiweni kuhusu Nape. Kawadanganye member wa jukwaa la chitchat.
Acha kuweweseka Yericko Yohanes Msambila. Umetafuta reputation hapa jamiiforums kwa story za kutunga mpaka hata baba yako mzazi Marehemu Mzee Yohanes Msambila unamkana kwa vile tu hakuwa public figure. Baba ni Baba na muhimu kabisa, binadamu hachagui wazazi na sehemu ya kuzaliwa. Kama unataka kuwa mtoto wa Mwl. Nyerere legally, kaiombe familia ya Mwl. Nyerere iku-adopt ili utapeli wako utimie.
Marehemu Mzee Yohanes Msambila ni baba yako na usione aibu kulitumia jina lake. Kama unataka kuwa public figure, fanya kazi kwa bidii na siyo kutumia utapeli ambao umekuumbua na ushukuru ubinadamu wa Andrew Nyerere kwa kukusamehe, otherwise kwa sasa ungekuwa unanyea debe magereza kwa kosa la impersonation and stalking.
wakuu ninahitaji kipande cha pembe ya NDOVU ninaweza kupata vipi? muhimu sana!
Yeriko huyu ni mhuni wa kawaida tu yeye hujifanya kila kitu anajua kumbe mbulula tu,Hahaa naona unazidi kuhama hama kama mhudumu wa baa,
Ungetulia kwenye ID yako ya kwanza ungeeleweka tu,
Laana za inazidi kukuandama, vumilia hayo ndio matokeo ya mimba za mbio za mwenge,
Mimi ni kama jua, utake nitakuwakia, usitake nitakuwakia,
Siishi kwakubahatisha, Kamuulize mwenyekiti wako atakwambia!