peno hasegawa JF-Expert Member Feb 24, 2016 13,599 22,535 May 5, 2024 #1 Mwenye mawasiliano ya Dr Nchimbi tafadhali! Au kama yupo humu Jf ili niingie PM nimtumie!! Ni ujumbe muhimu kwa chama changu Cha Mapinduzi.
Mwenye mawasiliano ya Dr Nchimbi tafadhali! Au kama yupo humu Jf ili niingie PM nimtumie!! Ni ujumbe muhimu kwa chama changu Cha Mapinduzi.
Dr Matola PhD JF-Expert Member Oct 18, 2010 57,662 96,926 May 5, 2024 #2 peno hasegawa said: Mwenye mawasiliano ya Dr Nchimbi tafadhali! Au kama yupo humu Jf ili niingie PM nimtumie!! Ni ujumbe muhimu kwa chama changu Cha Mapinduzi. Click to expand... Kama huna access hiyo ya kumuona katibu mkuu ujuwe wewe unajipendekeza tu, ccm ina wenyewe. Wenye chama chao wanajuwa ofisi ya katibu mkuu ipo Dodoma na Lumumba, wewe unajipendekeza tu.
peno hasegawa said: Mwenye mawasiliano ya Dr Nchimbi tafadhali! Au kama yupo humu Jf ili niingie PM nimtumie!! Ni ujumbe muhimu kwa chama changu Cha Mapinduzi. Click to expand... Kama huna access hiyo ya kumuona katibu mkuu ujuwe wewe unajipendekeza tu, ccm ina wenyewe. Wenye chama chao wanajuwa ofisi ya katibu mkuu ipo Dodoma na Lumumba, wewe unajipendekeza tu.
danhoport JF-Expert Member May 20, 2020 1,675 3,384 May 5, 2024 #3 Nikipita pale Lumumba nikimuona nitakushtua uje