skendo
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 212
- 101
Bashiru kama Katibu Mkuu wa CCM inapaswa hutumie vyombo vyako vyote vya usalama wa chama ili upewe taarifa sahihi ya mkoa wa Ruvuma.
Ishu ni kuwa kuna kata zaidi ya nne kamati ya Mkoa ilikwisha kuamua na mchakato wa kuwapa Madiwani watarajiwa barua za uteuzi ulikwisha fanyika mara ghafla mchakato ukasimamishwa kwa maelezo ya kuwa Bashiru umetoa maagizo ifanyike hivyo. Hatukatai inaweza kuwa sawa ila umetafuta kujua sifa za hao unaotaka wachaguliwe wewe? Umesikia namna wanavyolitumia jina lako katika huu mchakato?
1- Kata ya Ruhuwiko huyo Mgombea bwana Mahundi anayesema wewe ndiye umeagiza achaguliwe, ndiye yule aliyewai kushikwa Malawi kwa tuhuma za kuingia nchi ya watu bila kibali na nchi haikuwa na taarifa zake na kuzua sitofahamu na akawa ameitelekeza kata zaidi ya miezi 6 bila muwakilishi. Kama haitoshi huyu ndiye aliyeanzisha kikundi cha kusaidia walemavu na kuweka majina ya mke wake na mwanae pia watu wazima(wasio na ulemavu) na vikao vya nidhamu vya chama na madiwani walimwita akaomba msamaha.
2- Kata ya Subira huyu mgombea anayesema wewe ndiye chaguo lako kumbuka ndiye alikuwa Meya wa manispaa ya Songea na ndiye aliekuwa analeta ugomvi kila siku na Mkurugenzi na kupelekea migogoro ya manispaa kila siku na hata kufanya Manispaa ipate hati chafu.
Bashiru, hawa watu sasa kutokana na kurudishwa na wewe wamekuwa na kauli za kuwadharau viongozi wote wa kamati ya siasa ya Mkoa na kusema wao wanakujua wewe hawa wengine kwao si lolote maana wao wana watu ndani ya CCM Taifa.
Ushauri: Tumia vyombo vyako vya chama kujua ukweli usipuuze vitu kwa kuzani siasa wapinzani wataifurahisha Songea kwa uzembe unaoepukika kabisa na tabu mnao wabeba kauli zao ndio zimewavunja moyo kabisa wapiga kura sasa wana Songea wanataka kuona hicho kiburi unachowapa kama kitasaidia chama kwenye uchaguzi.
Nasisitiza, tuma vyombo vyako ujue ukweli wa mambo.
Ishu ni kuwa kuna kata zaidi ya nne kamati ya Mkoa ilikwisha kuamua na mchakato wa kuwapa Madiwani watarajiwa barua za uteuzi ulikwisha fanyika mara ghafla mchakato ukasimamishwa kwa maelezo ya kuwa Bashiru umetoa maagizo ifanyike hivyo. Hatukatai inaweza kuwa sawa ila umetafuta kujua sifa za hao unaotaka wachaguliwe wewe? Umesikia namna wanavyolitumia jina lako katika huu mchakato?
1- Kata ya Ruhuwiko huyo Mgombea bwana Mahundi anayesema wewe ndiye umeagiza achaguliwe, ndiye yule aliyewai kushikwa Malawi kwa tuhuma za kuingia nchi ya watu bila kibali na nchi haikuwa na taarifa zake na kuzua sitofahamu na akawa ameitelekeza kata zaidi ya miezi 6 bila muwakilishi. Kama haitoshi huyu ndiye aliyeanzisha kikundi cha kusaidia walemavu na kuweka majina ya mke wake na mwanae pia watu wazima(wasio na ulemavu) na vikao vya nidhamu vya chama na madiwani walimwita akaomba msamaha.
2- Kata ya Subira huyu mgombea anayesema wewe ndiye chaguo lako kumbuka ndiye alikuwa Meya wa manispaa ya Songea na ndiye aliekuwa analeta ugomvi kila siku na Mkurugenzi na kupelekea migogoro ya manispaa kila siku na hata kufanya Manispaa ipate hati chafu.
Bashiru, hawa watu sasa kutokana na kurudishwa na wewe wamekuwa na kauli za kuwadharau viongozi wote wa kamati ya siasa ya Mkoa na kusema wao wanakujua wewe hawa wengine kwao si lolote maana wao wana watu ndani ya CCM Taifa.
Ushauri: Tumia vyombo vyako vya chama kujua ukweli usipuuze vitu kwa kuzani siasa wapinzani wataifurahisha Songea kwa uzembe unaoepukika kabisa na tabu mnao wabeba kauli zao ndio zimewavunja moyo kabisa wapiga kura sasa wana Songea wanataka kuona hicho kiburi unachowapa kama kitasaidia chama kwenye uchaguzi.
Nasisitiza, tuma vyombo vyako ujue ukweli wa mambo.