PreGE2025 Katibu Mkuu TEC, Rev Dkt. Charles Kitima: Wasitupangie cha Kusema

PreGE2025 Katibu Mkuu TEC, Rev Dkt. Charles Kitima: Wasitupangie cha Kusema

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,145
Reaction score
56,411
Majibu ya Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Rev Dkt. Charles Kitima baada ya kuulizwa kuhusu sakata la viongozi wa Dini kuonekana wanachanganya Dini na Siasa pale ambapo wanatoa matamko kuhusu mambo mbalimbali ya kiutawala yanayoendelea nchini. Amesema;

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kukemea wizi sio kuingilia siasa, Kwani wizi ni siasa? Mwizi wa kura ni sawa na mwizi mwingine, Kukemea utekaji na vitendo viovu ni kukemea dhambi. Wasitupangie cha kusema tunakemea dhambi.

"Kutokana na hali hiyo ya kuvuruga uchaguzi tangu 2016 viongozi wa dini wanatakiwa WAITAKE serikali na sio KUIOMBA wala KUISHAURI bali WAITAKE serikali iheshimu sheria na Wapiga kura waheshimiwe".

"Sisi kama Kanisa kazi yetu ni kukemea maovu, kuiba kura za wananchi, kupeleka kura zisizo halali 'fake', kumtangaza mgombea ambaye hajapata kura nyingi kuwa ni mshindi huo ni uovu na nikazi ya shetani sio kazi ya Mungu." Kitima.


Pia soma Yaliyotokea kwa Katibu Mkuu wa TEC, Fr. Raymond Saba enzi za Magufuli yanataka kutokea kwa Katibu wa sasa Fr. Kitima?
 
Kukemea wizi sio kuingilia siasa, Kwani wizi ni siasa? Mwizi wa kura ni sawa na mwizi mwingine, Kukemea utekaji na vitendo viovu ni kukemea dhambi.
📌
Amenena vyema,
Mbona wakisifiwa na kupongezwa na viongozi wa dini machawa huwa hawalalamiki kuwa siasa imeingiliwa?

Ila wakikosolewa kuhusu matendo yao ya ufisadi, wizi wa uchaguzi, kuonea wananchi, kuteka, kuwabambikia kesi za uongo, nk, wanang'aka kuwa wasiingiliwe kwenye siasa!

Kwani siasa ni uhalifu?!
 
Majibu ya Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Rev Dkt. Charles Kitima baada ya kuulizwa kuhusu sakata la viongozi wa Dini kuonekana wanachanganya Dini na Siasa pale ambapo wanatoa matamko kuhusu mambo mbalimbali ya kiutawala yanayoendelea nchini. Amesema;

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kukemea wizi sio kuingilia siasa, Kwani wizi ni siasa? Mwizi wa kura ni sawa na mwizi mwingine, Kukemea utekaji na vitendo viovu ni kukemea dhambi. Wasitupangie cha kusema tunakemea dhambi.

View attachment 3319115
Hakuna Padre mjinga
Mafather wote asilimia kubwa wanajitambua na hawana njaa za kijinga.

Mola awatunze wazidi kusema iliyo kweli.
 
Majibu ya Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Rev Dkt. Charles Kitima baada ya kuulizwa kuhusu sakata la viongozi wa Dini kuonekana wanachanganya Dini na Siasa pale ambapo wanatoa matamko kuhusu mambo mbalimbali ya kiutawala yanayoendelea nchini. Amesema;

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kukemea wizi sio kuingilia siasa, Kwani wizi ni siasa? Mwizi wa kura ni sawa na mwizi mwingine, Kukemea utekaji na vitendo viovu ni kukemea dhambi. Wasitupangie cha kusema tunakemea dhambi.

View attachment 3319115
Muambie father aagize kitimoto na wine aipendayo kwa gharama yangu.

Kuna wapumbavu wengi wameshindwa kuelewa kuwa kwa kiongozi wa kidini kukemea dhambi zinazotendwa na wanasiasa sio kuchanganya dini na siasa. Dhambi ni dhambi tu, haijalishi imetendwa na nani. Kiongozi wa kidini ana wajibu wa kuikemea dhambi mahali popote ilipo!
 
Anafanya kazi yake ya kuchunga kondoo, yuko sahihi. Yanayoendelea akiulizwa siku ya hukumu, analo la kusema nilikemea uovu wanaofanyiwa kondoo zako.

Kazia hapohapo Baba Padri, tunakuunga mkono, damu ya Yesu ikawafunike msipatwe na baya lolote toka kwa hawa wadhalimu wenye uchu wa madaraka.
 
Asante na Hongera sana Fr. Kitima.

Hii ndo iwe lugha ya Kanisa kwenye ibada zote nchi nzima.

CCM wametugeuza wapumbavu sana. Enough is enough.
Hakuna maana ya kwenda kusali kanisani kama madhabahu zinakuwa tu mwangwi au kasuku wa kurudia sauti ya yale yanayosemwa nje ya kanisa

Mfano nje ya Kanisa Lisu anasema no reform no election na unaenda kanisani unasikia mwangwi au marufio ya sauti ileile ya no reform no election.

Si bora tu mtu usiende kanisani sababu hakuna jipya kanisani.

Ukishasikiliza Tundu Lisu basi huna haja tena kwenda kanisani kusikiliza yaleyale ni kupotezeana muda

Wanaosema kanisa liachane na matamko ya kisiasa wana hoja

Je lengo la kanisa duniani ni kuwa kasuku wa kurudia rudia kusema yake wanasiasa wanasema ? Ndilo agizo la Mungu kwa kanisa? Kuwa enendeni ulimwenguni mkawe kasuku wa kuhubiri yale wanasiasa wanahubiri?

Anasema hawapangiwi cha kuhubiri ,kuhubiri yale yale yaliyosemwa na wanasiasa sio kupangiwa huko? Wanakuwa hawana independent mind.

Wanasubiri homilia au mahubiri yaandaliwe na wanasiasa halafu wao wakayarudie kanisani
Kifupi kanisa limeishiwa homilia au mahubiri
Kabla kuhubiri wanatega masikio kudikiliza wanasiasa wanasemaje ili wapate cha kurudia kuhubiri ibadani

Badala ya kuanza kwa kusema leo tutazungumzia injili kama ilivyoandikwa na mtakatifu fulani wanaanza leo tutazunguza habari kama ilivyoongelewa na Tundu Lisu na CHADEMA ya no reform no election

Wapinga mahubiri ya siasa kanisani wana hoja
 
Ni mambo ya kusikitisha na kushangaza kwa kweli.
Kwa nini serikali ambayo ndiyo inatakiwa kuwa mstari wa mbele kulinda sheria, ndiyo iwe mstari wa mbele kuvunja sheria hizo?

Hivi kweli hawa viongozi hata hawaoni aibu wanapokuwa ndio watetezi wa uvunjifu wa sheria?

Nani sasa atasimamia na kuhakikisha sheria zilizopo zinafanya kazi?
 
Hakuna maana ya kwenda kusali kanisani kama madhabahu zinakuwa tu mwangwi au kasiku wa kurudia sauti ya yale yanayosemwa nje ya kanisa

Mfano nje ya Kanisa Lisu anasema no reform no election na unaenda kanisani unasikia mwangwi au marufio ya sauti ileile ya no reform no election.

Si bora tu mtu usiende kanisani sababu hakuna jipya kanisani.

Ukishasikiliza Tundu Lisu basi huna haja tena kwenda kanisani kusikiliza yaleyale ni kupotezeana muda

Wanaosema kanisa liachane na matamko ya kisiasa wana hoja

Je lengo la kanisa duniani ni kuwa kasuku wa kurudia rudia kusema yake wanasiasa wanasema ? Ndilo agizo la Mungu kwa kanisa? Kuwa enendeni ulimwenguni mkawe kasuku wa kuhubiri yale wanasiasa wanahubiri?

Anasema hawapangiwi cha kuhubiri ,kuhubiri yale yale yaliyosemwa na wanasiasa sio kupangiwa huko? Wanakuwa hawana independent mind.

Wanasubiri homilia au mahubiri yaandaliwe na wanasiasa halafu wao wakayarudie kanisani
Kifupi kanisa limeishiwa homilia au mahubiri
Kabla kuhubiri wanatega masikio kudikiliza wanasiasa wanasemaje ili wapate cha kurudia kuhubiri ibadani

Badala ya kuanza kwa kusema leo tutazungumzia injili kama ilivyoandikwa na mtakatifu fulani wanaanza leo tutazunguza habari kama ilivyoongelewa na Tundu Lisu na CHADEMA ya no reform no election
Wapinga mahubiri ya siasa kanisani wana hoja
Sijui unapata wapi nguvu na muda wa kuandika takataka kama hii hapa, kutwa/kucha, na kila siku!

Sasa elewa tu kwamba hakuna litakalo wasalimisha safari hii. Mtazolewa tu na tsunami kama hamtaingiwa na akili vichwani kungali mapema.
 
Majibu ya Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Rev Dkt. Charles Kitima baada ya kuulizwa kuhusu sakata la viongozi wa Dini kuonekana wanachanganya Dini na Siasa pale ambapo wanatoa matamko kuhusu mambo mbalimbali ya kiutawala yanayoendelea nchini. Amesema;

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kukemea wizi sio kuingilia siasa, Kwani wizi ni siasa? Mwizi wa kura ni sawa na mwizi mwingine, Kukemea utekaji na vitendo viovu ni kukemea dhambi. Wasitupangie cha kusema tunakemea dhambi.

View attachment 3319115
Vipindi vyote vya utawala wa wakatoliki wenzao hawajawahi kukemea lolote kwa nguvu hivi Wala kutoa kauli za kimamlaka, "Waachiwe mara Moja na bila masharti". UNAFIKI MTUPU.

Mungu humlinda anayefitiniwa!!!
 
Sijui unapata wapi nguvu na muda wa kuandika takataka kama hii hapa, kutwa/kucha, na kila siku!

Sasa elewa tu kwamba hakuna litakalo wasalimisha safari hii. Mtazolewa tu na tsunami kama hamtaingiwa na akili vichwani kungali mapema.
Kama ni kwa sababu ya udini tu na chuki ya ukanda kama hivi; TUTAENDELEA KUBAKI SALAMA SALMINI NA ATAZOLEWA YULE MNAFIKI NA MBAGUZI WA KIDINI.......Na Kuna upande nao umeshashindwa kuvumilia huu ujinga; nao unasubiri muda muafaka useme lake kwa waumini wake.

Kuna watu hawana Nia njema na nchi hii!
 
Hakuna maana ya kwenda kusali kanisani kama madhabahu zinakuwa tu mwangwi au kasiku wa kurudia sauti ya yale yanayosemwa nje ya kanisa

Mfano nje ya Kanisa Lisu anasema no reform no election na unaenda kanisani unasikia mwangwi au marufio ya sauti ileile ya no reform no election.

Si bora tu mtu usiende kanisani sababu hakuna jipya kanisani.

Ukishasikiliza Tundu Lisu basi huna haja tena kwenda kanisani kusikiliza yaleyale ni kupotezeana muda

Wanaosema kanisa liachane na matamko ya kisiasa wana hoja

Je lengo la kanisa duniani ni kuwa kasuku wa kurudia rudia kusema yake wanasiasa wanasema ? Ndilo agizo la Mungu kwa kanisa? Kuwa enendeni ulimwenguni mkawe kasuku wa kuhubiri yale wanasiasa wanahubiri?

Anasema hawapangiwi cha kuhubiri ,kuhubiri yale yale yaliyosemwa na wanasiasa sio kupangiwa huko? Wanakuwa hawana independent mind.

Wanasubiri homilia au mahubiri yaandaliwe na wanasiasa halafu wao wakayarudie kanisani
Kifupi kanisa limeishiwa homilia au mahubiri
Kabla kuhubiri wanatega masikio kudikiliza wanasiasa wanasemaje ili wapate cha kurudia kuhubiri ibadani

Badala ya kuanza kwa kusema leo tutazungumzia injili kama ilivyoandikwa na mtakatifu fulani wanaanza leo tutazunguza habari kama ilivyoongelewa na Tundu Lisu na CHADEMA ya no reform no election

Wapinga mahubiri ya siasa kanisani wana hoja
Ni jukumu lako kuchagua kwenda Kanisani au kutokwenda! Lakini Uovu lazima ukemewe,ndiyo kazi ya Watumishi wa Mungu kuukemea!
WEZI,Wanyanganyi,Wazinzi,Wachawi,Waongo,WAUAJI,nk hawataurithi Uzima wa Milele mahali pao ni katika ziwa la moto,
1 Wakorintho6:9-10
Ufunuo21:8
 
Back
Top Bottom