Katibu Mkuu mpya CHADEMA yuko wapi?

Katibu Mkuu mpya CHADEMA yuko wapi?

Kutokana na kazi ya katibu mkuu wa chama na ukimya uliopo wa katibu mkuu huyu ni vema tukafahamu yupo kweli?

Inawezekana ni mazoea tuliojengewa na katibu mkuu aliejiondoa CDM Dr Slaa ambaye alikuwa ni mtu wakimkakati zaidi,katibu mkuu wa sasa anaonekana kama kiatu kinampwaya.

Maswali haya ni muhimu kwani kama kalala huenda yakamuamsha kutoka usingizini.
yupo arusha anaimarisha chama
 
Ukitaka kujua jambo chunguza kwanga Alf upost siyo kuongea kama kanda kazi ya katibu umeambiwa ni sanaa awe kwenye kioo kila saa ukitaka kupata utajiri usianze kwa hela nyingi
 
Wakuu salaam,
Ni muda Mrefu sasa katibu mkuu wa CHADEMA Dr Mashinji achaguliwe hajaonekana hadharani ama kwenye vyombo vya habari akitekeleza majukumu yake ya ukatibu mkuu kama alivyoahidi baada ya kupitishwa na mkutano mkuu wa baraza la Chadema huko Mwanza. Je ni nini kimempata kiongozi huyu mkubwa aliyepambwa kuvaa viatu vya Dr Slaa. Wenye taarifa za utendaji kazi wake ndani ya chama watujuze.
Huyu alieitwa katibu mkuu msomi kuliko wote duniani kwa vyovyote huenda akawa hayafahamu majukumu yake sawasawa ama amepatiwa fani si yake.
 
Twambie kwanza kinana yuko wapi tangu uchaguzi mkuu umalizike ajaonekana?
Huwezi fananisha ukimya wa kinana na katibu mkuu mgeni,hakuna asiefahamu mziki wa kinana muulize fisadi wa richmond atakwambia kuhusu mzee Kinana.
huyu mgeni anatakiwa aoneshe makali yake bt huyu hayajui majukumu yake
 
Huwezi fananisha ukimya wa kinana na katibu mkuu mgeni,hakuna asiefahamu mziki wa kinana muulize fisadi wa richmond atakwambia kuhusu mzee Kinana.
huyu mgeni anatakiwa aoneshe makali yake bt huyu hayajui majukumu yake
Sawa,mhudumuuuuu ebu niletee ndovu mbili bariiiiidiiiiiiii
 
Si mulesema uchaguzi umeisha watu wapige kazi??sasa wewe unata umsikie tu ndo ujue yupo?
 
ImageUploadedByJamiiForums1461105666.476271.jpg
 
Nadhani atakuwa anaorganise mgomo wa madaktari mana mojawapo ya sifa zilizomuweka madarakani ni sababu alishawahi kuwa kiongozi wa mgomo na hivyo siyo muoga.
 
Yule siyo kiongozi ni shati tu lakini ndiyo shida ya kuwa na mwenyekiti asiyekuwa na upeo wa mbali.
Vipi kinana ameshaenda kuikomboa meli yake iliyokamatwa na meno ya bia fulani
 
Yule siyo kiongozi ni shati tu lakini ndiyo shida ya kuwa na mwenyekiti asiyekuwa na upeo wa mbali.
Kama yeye ni shati basi wewe ni khanga,yaani mtu na akili zako unatumia picha ya mwanaume mwenzako kama AVATAR?umetuaibisha sana ina maana unamkufuru mungu kwa kukuumba kwa sura yako na ukaona sura ya muhongo ndio bora?
 
Inaonekana katibu mkuu huyu si chaguo la wengi, isitoshe umri wa kadi yake ya uanachama wa Chadema ni chini ya miaka miwili.
 
Back
Top Bottom