Katibu Mkuu mpya CHADEMA yuko wapi?

Katibu Mkuu mpya CHADEMA yuko wapi?

CHADEMA wana hali mbaya sana! Dr slaa uko wapi uje uokoe jahazi?
MM, M1 M2, M....! Ilikuwa kazi kipindi hicho...cha kumtafuta MM...we acha tu...ndiyo maana wakati mwingine nakubaliana na rais mstaafu wa awamu ya nne kuwa...huu ni upepo utapita...nikweli ulipita.
 
Kutokana na kazi ya katibu mkuu wa chama na ukimya uliopo wa katibu mkuu huyu ni vema tukafahamu yupo kweli?

Inawezekana ni mazoea tuliojengewa na katibu mkuu aliejiondoa CDM Dr Slaa ambaye alikuwa ni mtu wakimkakati zaidi,katibu mkuu wa sasa anaonekana kama kiatu kinampwaya.

Maswali haya ni muhimu kwani kama kalala huenda yakamuamsha kutoka usingizini.
kwani kinana yuko wapi?
 
Lazima ajipange kwanza hawezi kuanza kukulupuka.
 
Kutokana na kazi ya katibu mkuu wa chama na ukimya uliopo wa katibu mkuu huyu ni vema tukafahamu yupo kweli?

Inawezekana ni mazoea tuliojengewa na katibu mkuu aliejiondoa CDM Dr Slaa ambaye alikuwa ni mtu wakimkakati zaidi,katibu mkuu wa sasa anaonekana kama kiatu kinampwaya.

Maswali haya ni muhimu kwani kama kalala huenda yakamuamsha kutoka usingizini.
Ulitaka awe media oriented kama wale wakukurupuka?(futuhi)
 
Towe9i upumbavu funga bakuli zenu huyu ni msomi hawezi kukurupuka kama mlivyozoea mtu mzima kubilingita on stage vituko kwenu haviishi sasa msomi anakuja na stail mpya nyie mshaanza kudandia gari mbele tulieni sindano itawaingia vizuri. Endeleeni huko na wizi wa kinafiki, kula dagaa mchana usiku kuku eti ni kubana matumizi. mberf*
 
Dr wa usingizi, Mashinji uko wapi Mkuu? Hebu njoo uteme neno wanalumumba wasambaratike.
 
Aiisee hii dunia inashidaa, kwahi
yo ulitaka awe anatembea na vyombo vya habari na kujitanga
za anafanya nini kama hao
Wasanii wenu wanaoigiza kufa
nya ziara za ghafla huku wakitaa
rifu vyombo vya habari kwa siri
Ili wakauze sura?

Sisi katibu wetu tunamuelewa na
Ndo mana tumeshinda umeya Jiji la Dar kwa staili hii hii sasa
Makerere ya kazi gain?
Hiii ni staili ya kimya kimya aa
 
Anaendelea na kazi yake ya nusukaputi ( anaethesiology) maana inalipa, hii nyingine na ile ya uenyekiti hazina mshahara wala posho.
 
Huenda mbowe alitaka mtu ambaye atakuwa "under control", au pengine ukimya ni sehemu ya mkakati wao.
 
Kutokana na kazi ya katibu mkuu wa chama na ukimya uliopo wa katibu mkuu huyu ni vema tukafahamu yupo kweli?

Inawezekana ni mazoea tuliojengewa na katibu mkuu aliejiondoa CDM Dr Slaa ambaye alikuwa ni mtu wakimkakati zaidi,katibu mkuu wa sasa anaonekana kama kiatu kinampwaya.

Maswali haya ni muhimu kwani kama kalala huenda yakamuamsha kutoka usingizini.
Amechukua likizo.... Hujasikia??
 
Ni lazima nimtetee, huyu ni kijana msomi sana mwenye phd zaidi ya nne hakuna wakulingana naye. Kwa msomi kama huyu, Programs za amsha amsha Chadema lazima ziandaliwe Kisomi. Hivyo kwa Sasa ameanza na kusimamia na kutoa semina elekezi kwenye Serikali za Mitaa zinazoongozwa na Chadema kisha atajifungia ili kuandaa programs na mikakati. Tuvumilie mpaka mwakani mtasikia moto wake.
 
Yupo ofisin kwake na muda mwingi kwa sasa anapewa semina elekezi . Uzur Katibu wetu mkuuu anajitambua hapendi sifa au ulikuwa unataka umuone akishtukiza kama hao viongoz wenu wa Lumumba.
hiyo semina elekezi anapewa na nani?
 
Towe9i upumbavu funga bakuli zenu huyu ni msomi hawezi kukurupuka kama mlivyozoea mtu mzima kubilingita on stage vituko kwenu haviishi sasa msomi anakuja na stail mpya nyie mshaanza kudandia gari mbele tulieni sindano itawaingia vizuri. Endeleeni huko na wizi wa kinafiki, kula dagaa mchana usiku kuku eti ni kubana matumizi. mberf*
kwa hiyo mmebahatika kupata katbu msomi kuliko mwenyekiti?
 
Kwani wapi kuna migomo....
Ndio kusema tumesahau sifa yake kuu..........
 
Uzuri wa wanaojitekenya wenyewe hapa na kucheka wenyewe ni magamba ya Lumumba wiki jana ilikuwa

lissu,,, wiki hii wamehamishia kwa Kwa
Dr Mashiji

wiki ijayo watarudi kumchambua Lowassa ,, wanajua Ccm imeshazikwa siku nyingi !!!

Na Huyu anayetipua Majipu badala ya kupambana na Ufisadi. Wanajua ni mwepesi kama nniii..
Simiyu Lizabon Hapa mbwembwe tuu !!
Uzuri wa wanaojitekenya wenyewe hapa na kucheka wenyewe ni magamba ya Lumumba wiki jana ilikuwa

lissu,,, wiki hii wamehamishia kwa Kwa
Dr Mashiji

wiki ijayo watarudi kumchambua Lowassa ,, wanajua Ccm imeshazikwa siku nyingi !!!

Na Huyu anayetipua Majipu badala ya kupambana na Ufisadi. Wanajua ni mwepesi kama nniii..
Simiyu Lizabon Hapa mbwembwe tuu !!
Kuna kitu inaitwa CIU achana nayo kabisa,who thought b4 tht S.l.a.a was a virus
 
We unamtaka wa nini komaa na mzee wenu wa tembo
 
Back
Top Bottom