Katibu Mkuu mpya CHADEMA yuko wapi?

Katibu Mkuu mpya CHADEMA yuko wapi?

Msamehe bure maana mpaka sasa hajui anatakiwa kufanya nini, ngoja tumsubiri aje
 
CCM bwana, mbona hatumsikii wala kunuona Kinana? Yuko wapi kinana
Kinana ameshaweka raisi madarakani,huyu mashinje anakazi yakuhangika na dola,huwezi shika dola wakati kazi hufanyi,sisi tunampima utendaji wake na katibu mkuu aliepita Dr slaa huyu mashinje amelala mno
 
ccm tulieni. mnataka aseme wakati muda wa kusema haujafika. Tulieni aandae mikakati. Mbona hamsemi chochote kuhusu mzee wa ndlovu???
 
ccm tulieni. mnataka aseme wakati muda wa kusema haujafika. Tulieni aandae mikakati. Mbona hamsemi chochote kuhusu mzee wa ndlovu???
Ukitaka kumjua mtu asiye na hoja ni pale anapoanza kuingiza vitu visivyohusiana na mada na kuanza kulinganisha vitu ambavyo wakati mwingine wala havilinganishiki. Hapa anaongelewa Dr. Manywele (Mashinji) wewe tayari umekimbilia kwingine. Isitoshe huyo mzee wa Ndlovu unayemsema kazi yake kichama inajulikana miaka na miaka na miezi michache iliyopita amefanikiwa kuingiza rais wa chama chake madarakani tena baada ya kazi ngumu ya kuzunguka nchi nzima akifufua chama na kufanya kazi za mikono za kila aina. Sasa kweli ndiyo unataka kumlinganisha na huyu katibu mpya ambaye hata haijulikani ana falsafa zipi katika uongozi wake? Ningekuelewa kama ungeishia kusema tu kwamba kila mtu ana staili yake ya uongozi na Watanzania wawe na subira lakini siyo kujidogosha kwa kuingiza mambo yasiyohusiana wala kulinganishika. By the way nampa 100% kwa kukomesha tabia ya kuropoka ropoka tu bila mpango. It's a good start! Go Manywele go ila tu usije na mambo yako ya migomo
a1eb5b3f9665d4809792df05d5ef9282.jpg
 
Mambo ya wazungusha mikono waachieni wenyewe! Hhahaha
Ushauri mzuri. Nimemuona dogo mmoja kutoka Sweden amegundua kakifaa kadogo hivi kazuri kepesi ka kuchajia simu kwa kuzungusha mikono nikawakumbuka hawa jamaa. Wakati ule wa mafuriko kila mmoja angegawiwa kakifaa haka aisee tungezalisha megawati kibao dah!
 
Kinana ameshaweka raisi madarakani,huyu mashinje anakazi yakuhangika na dola,huwezi shika dola wakati kazi hufanyi,sisi tunampima utendaji wake na katibu mkuu aliepita Dr slaa huyu mashinje amelala mno
acheni mihemko magamba nyie, anautaratibu wake hawezi kukurupuka km mnavyotaka ninyi wapuuzi wakubwa,
 
Hayo ni mazuzu ya lumumba hayana yajuwalo zaidi kupigania kupata buku 7
siku hizi posho zimepungua km si kuisha kabisa mkuu, mshahara wa mwezi machi wenyewe wamelipwa majuzi, ni njaaa tu wanacho kifanya hivi sasa ni kutaka huruma waonekane wanajituma,
 
Back
Top Bottom