Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Dkt. Bashiru Ally unasumbuka sana. Rais Samia tarehe 30, Aprili atashinda kwa asilimia 100%

Andika ujinga wako lakini mali za CCM bado mtazitapika tu.

Bashiru hana muda wa kupoteza kwa huo ujinga wako.

Sina uhakika kama wewe ni mwana CCM bali una chuki zako tu.

Wana CCM hawapo wajingawajinga kama wewe kwenye mambo ya msingi.
Toka ripoti ya hizo mali imetoka na hakuna hatua yoyote mpaka leo, na enzi hizo chama kilikuwa chini ya dhalimu, ndio itakuwa kuzitapika kwa huyu mama?
 
Kwanini mama "asitrepu" simu zake ili kugundua kama ni snitch? Kigogo2014 kasemaje kwanza kuhusu hilo?
 
Dr. Bashiru juhudi zako unazofanya za chuki na hasira dhidi ya Rais wetu mpemdwa tukwambie tu unasumbuka sana.

CCM ni chama chetu, Tumekulia ndani ya CCM, tunazijua tamaduni zetu, tunazijua saisa za rough na nzuri za CCM. Tunakuhakikishia tu kuwa Rais Mama Samia Suluhu tunaenda kumpa Uenyekiti wa CCM kwa asilimia 100. Hakuna hata Mjumbe moja wa Mkutano Mkuu atamnyima Mama kura. Mama ni zao letu CCM na tunamjua.

Umekuwa ukifatiliwa sana mara kwa mara na tumegundua unafanya juhudi kubwa sana ili Mama asipata asilimia 100. Unasumbuka na unahangaika. Tarehe 30, April unaenda kupata pigo takatifu la Mwaka.

Ulibebwa na mfumo wa awamu ya tano, pamoja na kuwa You were outsider. Hukuijua CCM bali kwa muda uliokaa umekiua Chama kabisa. Sasa hili unalofanya huwezi kufanikiwa.

Tarehe 30, April 2021. Rasmi Mama tunaenda kumpa Chama ili naye akisuke mpya.
Huyo Muhutu mpeni kesi ya uhamiaji haramu
 
Hakuna mtu wa kucheza na Urais wa Mama Samia.
Jeshi letu lipo imara sana .
Mtu yeyote atakayejaribu kumvuruga mama ajiandae kupambana na wanaharakati huru walionazana nchini kote ktetea Mama Samia.

Hakuna cha Bashiri au Bashiru. Amirat mkuu wa Majeshi Mama Samia Hassan Suluhu.Wajiandae tu mana Hawataamini watu tulivyo na mahana kwa Mama yetu mpendwa.
Tutampigania Mpaka 2030.
Tutaheshimiana tu kidogo kidogo. ngaoja tuonyeshane makali.
 
Dr. Bashiru juhudi zako unazofanya za chuki na hasira dhidi ya Rais wetu mpemdwa tukwambie tu unasumbuka sana.

CCM ni chama chetu, Tumekulia ndani ya CCM, tunazijua tamaduni zetu, tunazijua saisa za rough na nzuri za CCM. Tunakuhakikishia tu kuwa Rais Mama Samia Suluhu tunaenda kumpa Uenyekiti wa CCM kwa asilimia 100. Hakuna hata Mjumbe moja wa Mkutano Mkuu atamnyima Mama kura. Mama ni zao letu CCM na tunamjua.

Umekuwa ukifatiliwa sana mara kwa mara na tumegundua unafanya juhudi kubwa sana ili Mama asipata asilimia 100. Unasumbuka na unahangaika. Tarehe 30, April unaenda kupata pigo takatifu la Mwaka.

Ulibebwa na mfumo wa awamu ya tano, pamoja na kuwa You were outsider. Hukuijua CCM bali kwa muda uliokaa umekiua Chama kabisa. Sasa hili unalofanya huwezi kufanikiwa.

Tarehe 30, April 2021. Rasmi Mama tunaenda kumpa Chama ili naye akisuke mpya.
Hii ni topic ya mwanachadema FULL uchonganishi!
FB_IMG_1616524447432.jpg
 
Back
Top Bottom