Arnold Ringo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 2,318
- 393
Dah, pole zao nyingi hakika hao wasomi wanaotarajia kuhitimu form 4 wanahitaji msaada wa karibu ili wahitimu kwa mafanikio wakiwa na matumaini ya kufahuru mitihani yao. Nakushukuru sana Dr Slaa kwa kuguswa na kuahidi kutoa mchango wako na chama kwa ujumla ili kuhakikisha wahitimu watarajiwa wanahitimu vyema.
Hakika leo nimetambua bila kupepesa kwamba kipaumbele cha kwanza cha Chadema ni Elimu cha pili Elimu na cha tatu ni Elimu..
Long live Dr Wilbroad .P. Slaa
BACK TANGANYIKA
Umenena Kamanda