Pole mkuu!Hahhahaa
weeee!!!Ukisikia kukurupuka ni hivi ufanyavyo.
WATANZANIA ewe MUUMBA hebu tupe busara ya kuweza kufikiria na kusema wenye, bila kuendeshwa kama gari la remote. tuepushe na ujinga huu wa kuendeshwa kwa remote control tena zilizo kwisha charge.
Pole sana ndugu yangu, wiki ya jana alikuwa pale Lumumba na aliwaambi watu hakwenda India wala Canada bali alikuwa uingereza .
Sasa kama huko totally mentali controlled basi utaamini la zivyo endelea kugonga miamba.
Kwani hukuona picha kwa mangeweeee!!!
ati alikuwa uingereza? unamaanisha mkuu wa nchi aliuongopea umma wa watanzania mchana kweupe?
mie simo!
Ametumwa India kutibiwa..Ndugu wana Jamvi toka tuambiwe Mzee Kinana katumwa India kwa Matibabu naona kimya kingi na sijamtia machoni Mzee wetu huyu rafiki wa dingi wangu, mpambanaji shujaa aliye ongoza mapambano ya kuiokoa ccm pale ilipoelekea kuzama kwa hakika nimemmiss sana. Je bado hajarudi alipo tumwa kutibiwa ??? Naomba mwenye Taarifa atujuze please.