Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
nimekumbuka wakati wa ujinga unataka kumchapa house girl na kuna mtoto basi mnakatuma baliiiii kununua pipi....nenda kuleeee kwa mangi duka la mtoni km 4.mungu anirehemu
nimekumbuka wakati wa ujinga unataka kumchapa house girl na kuna mtoto basi mnakatuma baliiiii kununua pipi....nenda kuleeee kwa mangi duka la mtoni km 4.mungu anirehemu
Eti ametumwa kwenye matibabu india!!!,dahh!kiswahili shida english shida
Ametumwa kwenye matibabu huko India.
Kama ni rafiki na dingi yako inabidi umuulize dingi yakoNdugu wana Jamvi toka tuambiwe Mzee Kinana katumwa India kwa Matibabu naona kimya kingi na sijamtia machoni Mzee wetu huyu rafiki wa dingi wangu, mpambanaji shujaa aliye ongoza mapambano ya kuiokoa ccm pale ilipoelekea kuzama kwa hakika nimemmiss sana. Je bado hajarudi alipo tumwa kutibiwa ??? Naomba mwenye Taarifa atujuze please.
. !!???Ukisikia kukurupuka ni hivi ufanyavyo.
WATANZANIA ewe MUUMBA hebu tupe busara ya kuweza kufikiria na kusema wenye, bila kuendeshwa kama gari la remote. tuepushe na ujinga huu wa kuendeshwa kwa remote control tena zilizo kwisha charge.
Pole sana ndugu yangu, wiki ya jana alikuwa pale Lumumba na aliwaambi watu hakwenda India wala Canada bali alikuwa uingereza .
Sasa kama huko totally mentali controlled basi utaamini la zivyo endelea kugonga miamba.
kwani bado hajarudi?Ni kweli alitumwa na M/kiti wake kwenda kutibiwa India kwa siku 14 lakini zimezidi ndiyo maana tunaulizia afya yetu