Katiba Ya Zanzibar Imekiukwa!

Kufunga wakati huu wa ramadhani ni sehemu ya ibada kwa muumini wa dini ya kislam. Nijuavyo au ninavyoamini ibada ni juu mtu na mungu wake. Lazima itoke rohoni kwake maana mbele ya mungu hakuna unafiki. Unaweza ku-pretend kufanya jambo mbele ya binadamu mwenzako lakini sio mbele ya mungu.

Tukirudi kwenye ibada ya kufunga, muumini anatakiwa aoneshe kushinda vishawishi kwa kutokula siku nzima. Lazima itoke rohoni na sio kwa kulazimisha. Sasa hii ya kulazimisha watu inatoka wapi? Kama mtu hakufunga kula (ibada) kinakuhusu nini maana ni juu yake na mungu wake?

Kuna binadamu wengi leo wanaofuata dini kwa mkumbo tu. Utamlazimishaje mtu afuate dini kama haiamini? Bila imani mbona ni kazi bure...itakuwa ni kushindishana njaa tu
 
Huo ndio Uislamu dini ya amani iliyotoka kwa Mungu, kila kitu ni JIHAD tu hakuna willingness ya mioyo ya watu.Ni mwendo wa amri amri kama vile uko Jeshini. Sijui ni Mungu gani anayeaangalia matendo ya kulazimisha au kulazimishwa na si utayari wa muhusika kutoka moyoni. Mimi kwa haya yanayofanywa na waislamu pamoja na viongozi wao naamini kutoka moyoni kwamba huyu Mungu wanayemtumikia ni Mungu wa pekee sana tofauti na Mungu wa Imani zingine.
Ni Mungu WA PEKEE. kwa kuwa hana mwana, hakuzaa wala hakuzaliwa na hana anachofanana nacho na ni muumba pekee wa kila kitu. ndiye aliyenyanyua mbingu bila nguzo. Ndiye Mungu wa YAKOBO, ISIHAKA, IBRAHIMU, MUSSA NA ISSA MWANA WA MARIAMU (YESU)
 
Wanafiki utawajua tu.

¤Walikuwa wanamwita Pinda anatumiwa na MAASKOFU leo wanamwona mtetezi wao

¤ Walimtukana na Kumwambia ameshirikiana na Maaskofu Kuteua Mkuu wa Kadhi. Leo wanamwona mtetezi wao
 
Ni Mungu WA PEKEE. kwa kuwa hana mwana, hakuzaa wala hakuzaliwa na hana anachofanana nacho na ni muumba pekee wa kila kitu. ndiye aliyenyanyua mbingu bila nguzo. Ndiye Mungu wa YAKOBO, ISIHAKA, IBRAHIMU, MUSSA NA ISSA MWANA WA MARIAMU (YESU)

Kwavile YESU alisema Yeye ni MWANA wa Mungu. Watu waliotaka kumpinga wakaandika kwenye QURAN hivyo ulivyosema...Quran bila Biblia hakuna kitu kingeandikwa mawazo yote ni Kupinga kilichoandikwa kwenye Biblia...

BIBLIA-Yesu alisema Mimi ni Mwana wa Mungu. Yesu alipobatizwa MUNGU alisema HUYU NDO MWANANGU MPENDWA NIMEPENDEZWA NAYE

QURAN - Ikampinga kwa Kusema MUNGU hana Mwana........


MUNGU WA WAISLAM SI MUNGU WA WAKRISTO-Proved
 
Katiba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ya mwaka 1984 (Toleo la 2010) katika Kifungu cha 19 (1) inasema:

Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, wa imani na wa uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa kubadilisha dini au imani yake.

Kifungu kidogo cha (2) kinasema: Bila kuathiri sheria zinazohusika na kazi ya kutangaza dini na kueneza dini itakuwa huru na jambo la hiyari ya mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.

Kama hivyo ndivyo:
1. Kwa nini Waumini wa dini nyingine (wasio waislamu) huko Zanzibar kwanini wanalazimishwa kuwa na mfungo wa Ramadhan kinyume na imani zao?

2. Kwanini kiongozi wa serikali (SMZ) ahimize kwamba wale wote wataokwenda kinyume na matakwa ya mfungo atachukuliwa hatua za "KISHERIA?"

Hapo kwenye Red, mtu yeyote aliyeko Zanzibar anaweza kula tu na hata wafanya Biashara wa Hotel wanaweza kuendela tu na biashara zao kama wataona zinalipa hata mwezi huu, kama kweli katiba inasema kila mtu anahaki na kuabudu dini inayotaka na kuhubiri bila kashafa, then mi sion hilo linalo semwa, hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yako litatoka wapi, ukifikishwa mahakamani si una court tu kifungu hicho cha katiba, simple, kwamba mimi sio Mwislam au mwaka huu pamoja na kwamba mi ni Mwislam then sijaamua kufunga, then tuone huyo Hakim/jurge atahukumu vipi, full sheria, hapo hakuna kosa lolote, ni mazoea tu!
 
Katiba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ya mwaka 1984 (Toleo la 2010) katika Kifungu cha 19 (1) inasema:

Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, wa imani na wa uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa kubadilisha dini au imani yake.

Kifungu kidogo cha (2) kinasema: Bila kuathiri sheria zinazohusika na kazi ya kutangaza dini na kueneza dini itakuwa huru na jambo la hiyari ya mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.

Kama hivyo ndivyo:
1. Kwa nini Waumini wa dini nyingine (wasio waislamu) huko Zanzibar kwanini wanalazimishwa kuwa na mfungo wa Ramadhan kinyume na imani zao?

2. Kwanini kiongozi wa serikali (SMZ) ahimize kwamba wale wote wataokwenda kinyume na matakwa ya mfungo atachukuliwa hatua za "KISHERIA?"

Hapo kwenye RED ndio kuna mushkeli, katiba ya JMT au SMZ inatambua dini(kama imani) lakini haiendeshwi na sheria za dini bali inaendeshwa na sheria mama(katiba).
Mahakama inayoendeshwa kwa misingi ya katiba inawezaje kumshughulikia mtu aliyekiuka sheria za kidini?
 
Mi naona dawa si kulalamika tu, watu wa imani nyingine huko Zanzibar waende kufungua kesi mahakamani kukiukwa kwa katiba ya nchi ili haki itendeke, kwa mtindo huu iko siku itakuwa marufuku hata kubadili dini kutoka Uislamu kwenda Ukristo.
 
Wewe acha kuongea pumba mafisadi wakubwa dunia hii ni Watanganyika, waganga na washirikina wenye imani potofu wako Tanganyika, hujapatapo kusikia Wazanzibari kuuwa vizee kwa kisingizio cha uchawi, kuuwa walemavu wa ngozi kwa sababu za kishirikina. Zanzibar ina ustaarabu wake na Tanganyika ina ustaarabu wake.Watanganyika ni watu mmekosa imani kwenye nyoyo zenu mnauwana kwa shilingi mia tu, kila siku tunayaona kwenye vyombo vya habari.Infact, we have nothing in common. Katiba ya Zanzibar kukiukwa isimuumize kichwa Mtanganyika kwa sababu haimuhusu. Zanzibar for Zanzibaris
A%20S%20angry.gif
ubaguzi Rwanda na burundi ulipoteza wengi sana...
Kenya ulipoanza jeshi liliuzima...

Chukulia nchi kama IRAN KATIBA YAO IMEANDIKA ILE NI NCHI YA UISLAM tena wao ni Sunni islam,lakini kuna makanisa 600 na wakristo wapatao 300000,mbn mwezi wa mfungo hatujasikia matamko? Ukitaka dini yako iheshmiwe nawe heshimu za wengine...Kama kuna Aya inakulinda usiheshimu dini za wengine ntajie
 
Ivi nyinyi watanganyika hamna cha kujadili leo.katiba ya znz si ya muunga,utamaduni na dini si muungano.
Katiba yenu imesema nchi yenu haina dini sawa. LAKINI katiba ya znz imenyamaza.
Pigeni mazogo bungeni ukija znz ukila hadharani, ukitembea uchi utakwenda jela hii inchi nyengine sio ya kikafiri km yenu. Wa2 wana dini yao na utamaduni wao. Shuhulikeni na yenuuu

Hapo kwenye Red, kaisome vizuri katiba mkuu!
 
Mwenye majibu naomba anisaidie...
Endapo mtu akiivunja hii amri atashtakiwa kwa sheria ipi na atapewa adhabu gani?
Kifungo?
Kuwekwa rumande?
Faini?
Viboko?
...
 
Mimi ninataka kujua msimamo wa wabunge wa CCM wanaojiita WALOKOLE kuhusu hii kauli ya Waziri wa ZNZ na PM Pinda ya kuwalazimisha 1% ya WAKIRISTU wa ZNZ kufunga Ramadhani. Haki ya kuabudu ya hao wakiristu iko wapi?
1. Mch. Dr. Getrude Lwakatale
2. Asumpta Nshunju Mshana
3. Dr. Mary Mwanjelwa.

Kama hao waheshimiwa waliweza kumuuliza PM Pinda Bungeni, kukataa kuwa na ubalozi wa wa ISRAEL Tanzania ni sawa na kuchagua LAANA kwasababu imeandikwa kwenye BIBLIA. Je hili la WAKIRISTU ZNZ kuingiliwa uhuru wao wa kuabudu wao wanasemaje? Kama watakaa kimya nitafahamu ULOKOLE wao ni wa KINAFIKI. The ball is in your courts honourable MPs. Tuone sasa kati ya YESU na CCM yenu nani ana NGUVU?!
 
Mwenye majibu naomba anisaidie...
Endapo mtu akiivunja hii amri atashtakiwa kwa sheria ipi na atapewa adhabu gani?
Kifungo?
Kuwekwa rumande?
Faini?
Viboko?
...
Wewe nenda kavunje uone ! Maana hata ukijibiwa hamna faida ,bora ufanye kweli !
 
Hapa hakuna kufunga, ukweli ni kwamba kilichotokea ni mabadiliko ya ratiba ya kula. Badala ya kula mchana mnakula usiku.

Point. mungu dikteta ni wa kuogopwa sana.

Kwavile YESU alisema Yeye ni MWANA wa Mungu. Watu waliotaka kumpinga wakaandika kwenye QURAN hivyo ulivyosema...Quran bila Biblia hakuna kitu kingeandikwa mawazo yote ni Kupinga kilichoandikwa kwenye Biblia...
BIBLIA-Yesu alisema Mimi ni Mwana wa Mungu. Yesu alipobatizwa MUNGU alisema HUYU NDO MWANANGU MPENDWA NIMEPENDEZWA NAYE
QURAN - Ikampinga kwa Kusema MUNGU hana Mwana........

MUNGU WA WAISLAM SI MUNGU WA WAKRISTO-Proved

Wapi katika hiyo bibilia yako yesu alisema yeye ni Mungu ? Did Jesus Ever Say "I Am the Son Of God" Je Mungu wa wakirsto anazaa ?


Nyie msiokuwa na upeo mnaoishi katika nguvu za giza hivi mnajua ya kuwa hakuna mtu alimuona Mungu ,Je huyo Yesu mnaemwita Mungu alionekana au hakuonekana ?
Exodus 33:20~And He said, “Thou canst not see My face, for there shall no man see Me and live.”
Matthew 6:6: ~"But when you pray, go into your room, close the door and pray to your Father, who is unseen. Then your Father, who sees what is done in secret, will reward you."
1 Timothy 1:17: "Now to the King eternal, immortal, invisible, the only God, be honor and glory for ever and ever. Amen."

1 John 4:12:
"No one has ever seen God; but if we love one another, God lives in us and his love is made complete in us."

Yesu kaonekana au hakuonekana ,katundikwa kwenye mti au sivyo hivyo Jaribuni kuficha upumbavu wenu.

,Aidha nyinyi mtakuwa mnasema uongo au bibilia itakuwa inasema uongo ,lakini msitafute visingizio kwa vya Qurani imesema hivi au impinga lile mtapata shida sana kwa hilo na hamtaiweza.
 
kama Yesu ni mtume kwa nini mtume wenu Muhammad aseme haya ktk(Bukhari hadithi na 425,juzuu 3)hadithi ya Abu Huraira amesema mtume wa Alla(s.a.w)amesema naapa kwa ambaye nafsi yangu iko ipo mkononi mwake karibu atateremka kati yenu mwana wa Mariam atahukumu kwa uadilifu, huo ni ushahidi tosha Muhammad alishuhudia uungu wa Yesu kwani roho zote zipo mikononi mwa Mungu ambaye ni Yesu na tena atahukumu ambayo ni kazi ya Mungu kuhukumu,SWALI KWA WAISLAM JE HADITHI HIYO NI YA KWELI AU YA UONGO ????????tunasubiri majibu yenu...?????
 
Udini unapikwa na kundi la watu wakiwa na malengo fulani kwa maslai yao binafsi na sio kwa taifa. Chuki za kidini ni za kinafiki sana hapa TZ, imagine wewe Muislamu/Mkristo umezungukwa na ndugu, marafiki au majirani wangapi ambao si wa dini yako lakini wanachangia asilimia kubwa sana ya maisha yako ya kila siku.

Lakini tukija kwenye Siasa sasa, hapo ndo utaona pande zote mbili hizi za Waislamu na Waikristo wakiwa wanadai haki zako na kuona kila mmoja anaonewa. haya ni mapandikizi ya Viongozi wachache sana wa dini au Siasa kuweza kikidhi haja zao.

Mtazamo wangu ni mmoja tu, tujiulize tunataka Tanzania ipi? na haya malumbano yatatupeleka wapi?
 
Wapi katika hiyo bibilia yako yesu alisema yeye ni Mungu ? Did Jesus Ever Say "I Am the Son Of God" Je Mungu wa..... Exodus 33:20~And He said, “Thou canst not see My face, for there shall no man see Me and live.”
Matthew 6:6: ~"But when you pray, go into your room, close the door and pray to your Father, who is unseen. Then your Father, who sees what is done in secret, will reward you." 1 Timothy 1:17: "Now to the King eternal, immortal, invisible, the only God, be honor and glory for ever and ever. Amen." 1 John 4:12: "No one has ever seen God; but if we .....
NAONA POVU LINAKUTOKA KWELI KWELI. Yesu kujíita mwana wa MUNGU...

Wala sishangai maana msingi wa Quran ni kupinga kilichoandkwa kwenye Biblia. KWAHIYO UNATIMIZA WAJIBU WA KURAN

Mathayo hiyo hiyo inakuumbua

MATHAYO 10:32-33...

Kila mtu anayekiri hadharani kwamba yeye ni Wangu, mimi pia nitamkiri mbele ya BABA YANGU aliye mbinguni. Na atakayenikana mbele za watu nami nitamkana mbele ya BABA YANGU


UKIUDHIKA SANA SOMA QURAN 9:5. Halafu njoo uniue..
 
Aisee mirungi imeshuka bei gafla.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Mirungi tu??................. Nenda Sinza ukaone baa zilivyopwaya kwa kukosa watu............ Ukicheck mapato ya mwezi huu ya brewaries ndiyo utajua kuwa kumbe wenzetu ndiyo wanywaji wakubwa.
 
MATHAYO 6:16-18

Mnapofunga, msiwe na huzuni kama wanafiki. Wao hukunja nyuso zao wapate kuonekana na watu kuwa wanafunga... Nawaambieni kweli... Wewe unapofunga,paka kichwa chako mafuta,nawa uso wako. ILI MTU YEYOTE ASIJUE UNAFUNGA ILA UJULIKANE TU KWA BABA YAKO ASIYEONEKANA
 
FreeWorld...can you spend at least a minute to look at maudhui ya thread? Unapojibu kwa hoja dhaifu namna hiyo unazidi kuuabisha upande wako maana hiyo can easily be defeated by a very simple question 'what would you have said kama m'bunge angekuwa muislam wa CDM au wa CCM?'. Hilo ni suala la kikatiba, wewe unaleta u-CDM na ukristo. Unajisikiaje nilipompiga marufuku housemaid wangu kufunga kuanzia juzi (baada ya amri ya Zenji). Awali alikuwa anafunga....namnunulia futari anayoitaka na masjidi akawa anaenda lakini baada ya kuona ushenzi wenu nami nikamfanyizia kama mnavyonyanyasa wakristo wenzangu huko. Nilipiga marufuku ulaji wa kitimoto nyumbani kwangu na kuku ilikuwa lazima ichinjwe na muislam na tangu juzi marufuku hiyo imetenguliwa japo kitimoto hatakuwa akipika yeye. Kwa njaa yake na familia yake hana jeuri ya kuacha kazi. Jirani yangu housemaid wake ni muislam, naye nitamshawishi afanye kama mimi. Au vijiji vya huku Tanganyika vyenye waislam chini ya 5% wapigwe marufuku kufunga?
 
NAONA POVU LINAKUTOKA KWELI KWELI. Yesu kujíita mwana wa MUNGU...

Wala sishangai maana msingi wa Quran ni kupinga kilichoandkwa kwenye Biblia. KWAHIYO UNATIMIZA WAJIBU WA KURAN

UKIUDHIKA SANA SOMA QURAN 9:5. Halafu njoo uniue..

Yesu hajajiita mwana wa mungu ,wewe ndio umemwita ,msingi wa Qurani ni kupinga uwongo wenu na uchomekeaji ,eti Yesu ni Mungu ,Yesu ni Mwana wa Mungu hamjui wapi pa kushika ,wapotofu wakubwa ,haya mnaitwa uingereza sasa ,ha ha ha na bado .

Soma hapa uamke ,huko ni uongo kwa kwenda mbele. Eti yesu ni mungu ,yule alionekana akaning,inizwa kwenye mti ndie mmeambiwa ndie mungu ,mnayo kazi.

Wapi katika hiyo bibilia yako yesu alisema yeye ni Mungu ? Did Jesus Ever Say "I Am the Son Of God" Je Mungu wa wakirsto anazaa ?


Nyie msiokuwa na upeo mnaoishi katika nguvu za giza hivi mnajua ya kuwa hakuna mtu alimuona Mungu ,Je huyo Yesu mnaemwita Mungu alionekana au hakuonekana ?
Exodus 33:20~And He said, "Thou canst not see My face, for there shall no man see Me and live."
Matthew 6:6: ~"But when you pray, go into your room, close the door and pray to your Father, who is unseen. Then your Father, who sees what is done in secret, will reward you."
1 Timothy 1:17: "Now to the King eternal, immortal, invisible, the only God, be honor and glory for ever and ever. Amen."

1 John 4:12:
"No one has ever seen God; but if we love one another, God lives in us and his love is made complete in us."

Yesu kaonekana au hakuonekana ,katundikwa kwenye mti au sivyo hivyo Jaribuni kuficha upumbavu wenu.

,Aidha nyinyi mtakuwa mnasema uongo au bibilia itakuwa inasema uongo ,lakini msitafute visingizio kwa vya Qurani imesema hivi au impinga lile mtapata shida sana kwa hilo na hamtaiweza.
 
Back
Top Bottom