Nape anafahamika kuwa ni mpiga debe asiyetumia hata chembe ya ubongo wake, anaburuzwa na mapenzi ya chama chake CCM kiasi cha kutojua hata anaongea nn, anasahau kuwa CCM wapo kwa sababu ya mapungufu yaliyopo kwenye katiba ya sasa, na anajua hivyo ila anajivika uendawazimu kila anapovaa gwanda la kijani