katiba mpya ya chitchat


Naunga mwili mzima hoja!!!! :smile:
 
Last edited by a moderator:
tena kwenye katiba hapo hapo kaongezwe ka kifungu ka hivi !! mwanaume atakae mtelekeza mke wake zaidi ya siku mbili basi ruhsa kutaifishwa teh! teh teh!teh!

cc Lady doctor Mr Rocky Erickb52

Hii copy nina wasi wasi nayo Slave
Halafu Chimbuvu mbona nilikupa rushwa ya kuniweka kwenye uongozi wakati wa majadiliano ya rasimu hii ya katiba umeyakataaa mapendekezo yangu
 
Last edited by a moderator:
Huu ndio mwanzo halafu kale kaela hakakutosha

Hii copy nina wasi wasi nayo Slave
Halafu Chimbuvu mbona nilikupa rushwa ya kuniweka kwenye uongozi wakati wa majadiliano ya rasimu hii ya katiba umeyakataaa mapendekezo yangu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Chimbuvu, viongozi, wajumbe waalikwa, guests ambao hamjajiunga JF (na kwanini msijiunge while is free?), mabinti na wanaume wa kiumeni, heshima kwenu.

Niko hapa JAPAN naangalia jinsi wanavyounda magari, Waziri mkuu Mh. Mungi atoe mwongozo.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…