Spika wa bunge chitchat
Madame B mkuu wa protokali chitchat
manoah mwenyekiti wa cc mahusiano
Baba V
rais wa shirikisho la chitchat nchini
Arushaone na waheshimiwa wengine,
napenda kutoa maoni ya wanachi wa chitchat kuhusu katiba mpya na mamlaka ya tume ya katiba mpya chini ya
Ruttashobolwa kama ifuatavyo
1. mwenyekiti mahusiano awe anachaguliwa kila baada ya miezi 4,kwa sasa kiti anacho
Baba V
2.mishahara ya walinzi wa chitchat iboreshwe eg. @st. pakamweusi
3.shindano la miss chitchat lirudishwe chini ya udhamini wa
Watu 8 na lundenga
4.Ndoa za JINSIA MOJA MARUFUKU eg. ...........
5.ZINDUNA TALK SHOW ibinafsishwe iwe CHARMINGLADY talkshow baada ya muhusika kufilisiwa na saccos
6.wananchi wawe na uwezo wa kupiga VOTE OF NO CONFIDENCE kwa mwenyekiti wa mahusiano
7.Rais ana mamlaka ya kuwavua mamlaka wote walio chini yake na kuwapiga BAN na kumteua
Chimbuvu kuwa kiongozi wa mpito
8.DR. Slaa wa chitchat
manoah ambaye anataka kumng'oa
Baba V apewe ulinzi shirikishi baada kuvamiwa na majambazi na kula chakula chote.
zaidi ya hapo nimeleta haya maoni myazungumzie kabla hatujaiwasilisha kwa rais mteule
Arushaone kwa kuwekewa sahihi ili iwe katiba mpya rasmi.
ndugu waheshimiwa na tuvocha msisahau kuniwekea katika simu sio kubip tu wajameni
karibuni kwa maoni yenu katiba mpya mnataka iweje