environmental
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,054
- 137
Tanzania tupo katika nchi za Africa mashariki na tupo kwenye ushindani wa kibiashara, kiuchumi na kijamii katika nchi hizi. Wenzetu, Kenya na Uganda wameweka milango wazi kwa watu wa Diaspora. Kwa maana nyingine, wameweza kutambua mchango wa wana Diaspora na kuruhusu URAIA PACHA.
Je? Tanzania tupo tayari kwa Uraia wa nchi mbili? Yaani kuingia kwenye sahani moja na wenzetu wa Afrika Mashariki?
Je? Tanzania tupo tayari kwa Uraia wa nchi mbili? Yaani kuingia kwenye sahani moja na wenzetu wa Afrika Mashariki?