Hivi huu ni wakati kweli wa kupokea maoni? Tume ya warioba imefanya nini? Kama mpaka wakati huu rais amekuteua kwenda kupitia/ kujadilidi maoni ya wananchi kwa namna ya kuboresha halafu wewe unataka maoni tena kutoka kwetu..., haishangazi sana kuwa sisi tumebaki kuwa taifa la hovyo sana.
Kuna kila dalili kuwa hatutapata katiba mpya tuliyoitaka wananchi. Kumbuka hata raisi ameshawaambia kuwa mnaweza kubadili kabisa maoni yetu mkitaka (na mmeshaonyesha dalili hizo).
Nendeni Dodoma mkafanye kile chama chenu kinachowataka mkifanye...nendeni. Sisi tumekwisha malizana na Warioba. Historia itawahukumu kwa haki. Nendeni, msituchoshe!
Kuna kila dalili kuwa hatutapata katiba mpya tuliyoitaka wananchi. Kumbuka hata raisi ameshawaambia kuwa mnaweza kubadili kabisa maoni yetu mkitaka (na mmeshaonyesha dalili hizo).
Nendeni Dodoma mkafanye kile chama chenu kinachowataka mkifanye...nendeni. Sisi tumekwisha malizana na Warioba. Historia itawahukumu kwa haki. Nendeni, msituchoshe!