HKigwangalla
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 717
- 971
- Thread starter
- #41
Ndg nani sijui vile,Tatizo wengi wetu humu ndani JF hatukuamini kwa kuwa umekuwa MNAFIKI na MSALITI sana.
Hata maoni ya madaktari wakati wa migomo yao 2012 ulitumwa na Bunge kwenda kuyakusanya lakini ulichokwenda Kukiwalisha bungeni ni mashudu yako matupu na sio uhalisia.
Dr.Kigwangwalla wewe bado sana, unajaribu kufanya mambo kama Mwigulu Nchemba ili kudraw attention za watu tu lakini huna dhamira yoyote njema.
Kwa kuanzia tu, embu tupe msimamo wako ni upi kwenye bunge la Katiba na nini utafanya katika haya:
1/Mfumo wa serikali (Utafuata sera ya CCM serikali mbili au Msimamo wa Warioba na watanzania wengi(61%) serikali tatu au vinginevyo).
2/Posho ya shilingi 700000/= kwa siku kwa kila mjumbe wa bunge la katiba kwa siku 70.
Naomba nianze kwa kukushangaa kwa hoja mfu uliyotoa.
1. kuhusu madaktari ni uongo, huna uhakika na unachoongea.
2. Mimi huwa siigi mtu anafanya ama anasimamia nini, hivyo kunifananisha na Mhe. Mwigulu si sahihi sana
3. Misimamo yangu.... kwa kuwa umeweka taarifa za uongo, siwezi kutoa msimamo. Tafuta ukweli kwanza ndiyo useme neno. Hakuna kitu kama posho ya laki saba, sera ya serikali 2 ama tatu, nitazungumza na waandishi wa habari kesho kuhusu hili.
wakatabahu,
HK.
1.