FBY 2013
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 401
- 89
Mawaziri wasitoke bungeni, wawe wanaomba kazi kama wafanyakazi wengine na wanafanyiwa udahili na uhakiki na bunge, na kazi na majukumu yao yaainishwe rasmi. Na wataingia bungeni kama mawaziri na si wabunge.
Wakuu wa mikoa wachaguliwe na wananchi kwa kura za kila mkoa, na mkuu wa mkoa ni lazima awe kaishi kwenye huo mkoa kwa muda usiopungua miaka 5. Na kazi na majukumu yao yaainishwe rasmi.
Wakuu wa wilaya wachaguliwe na wananchi, na mkuu wa wilaya ni lazima awe kaishi kwenye huo mkoa kwa muda usiopungua miaka 5. Na kazi na majukumu yao yaainishwe rasmi.
He! Kumbe na wewe hua unaweza kutoa Michango ya Kujenga namna hii.Sasa Mbona Wakati Mwingine unavaa Miwani ya Mbao yani Huwezi kuona vile!!!