rashidforeseerer
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,000
- 439
wapi mchungaji gwajima, ambaye alituaminisha pale kwenye uwanja wa sheikh amri abeid kule arusha kuwa mzee wa mamvi ni chaguo la mungu?
kwani hao manabii walitabiri kuwa lazima awe rais kupitia ccm? Ivi nyie mkisikia ccm bas mnafikiri atakaeteuliwa n a ccm ndo rais watz? Huyo mnae mchaguwa atabaki kuwa rais wa ccm na sio wa watz kama ilivyo slaa kuwa rais wa watz wengi ila rais ni jk. Ful stop.