Naamini darasa la saba ulimaliza maana unajua KKK, sasa angalia hapa chini kura zilivyokuwa kama ulipoteza kumbukumbuulimi, meno au fizi. Sijui kilichofanyika, mimi nazishangaa namba tu hapa!http://www.bungemaalum.go.tz/files/...JUMBE_WA_KAMATI_ZA_BUNGE_MAALUM_-_MPYA_sw.pdfacha kulewa Asubuhi
Kama hii katiba itavuka huko mitaani basi ni katiba itakayodharauliwa dunia nzima na haitaheshiwa pia uhalali wake unaweza kuhojiwa mahakamani na kesi za kimataifa kwani uhalali wake ni wa kutia mashaka.
Naamini darasa la saba ulimaliza maana unajua KKK, sasa angalia hapa chini kura zilivyokuwa kama ulipoteza kumbukumbuulimi, meno au fizi. Sijui kilichofanyika, mimi nazishangaa namba tu hapa!http://www.bungemaalum.go.tz/files/...JUMBE_WA_KAMATI_ZA_BUNGE_MAALUM_-_MPYA_sw.pdf
hapa lazima tuchekwe tu
kuna mkubwa fulani kasema eti zitafanyiwa marekebisho. Cha kushangaza zaidi ukizifuatilia hata marehemu walipiga kura. Busara itumike hii shughuli ianze upya 2016. Turudi kwenye rasimu ya TUME sio hii ya akina chenge na sita. Ila BMK ni kichekesho, hivi kweli Chenge na kashfa zote hizi, bado wanampa kazi ya kuandika katiba?Wanaiba bila kujua mahesabu
kuna mkubwa fulani kasema eti zitafanyiwa marekebisho. Cha kushangaza zaidi ukizifuatilia hata marehemu walipiga kura. Busara itumike hii shughuli ianze upya 2016. Turudi kwenye rasimu ya TUME sio hii ya akina chenge na sita. Ila BMK ni kichekesho, hivi kweli Chenge na kashfa zote hizi, bado wanampa kazi ya kuandika katiba?
Mbona Katiba zao zinaruhusu ushoga hazidharauliwi? Hii ya kwetu kwa kuwa haina Srikali 3 ndio tuseme ndio wao linawakera?Kama hii katiba itavuka huko mitaani basi ni katiba itakayodharauliwa dunia nzima na haitaheshiwa pia uhalali wake unaweza kuhojiwa mahakamani na kesi za kimataifa kwani uhalali wake ni wa kutia mashaka.
Tuna safari ndefu mpaka kuyafikia maendeleo ya kweli. Ila tufahamu wenzetu mashariki ya mbali wamefika walipofika kutokana kuwa na dhamira ya dhati, hapa nyumbani naona tunafanya utani kwenye maendeleo,Kwa Tanzania kila kitu kinawezekana
Tuna safari ndefu mpaka kuyafikia maendeleo ya kweli. Ila tufahamu wenzetu mashariki ya mbali wamefika walipofika kutokana kuwa na dhamira ya dhati, hapa nyumbani naona tunafanya utani kwenye maendeleo,
hatuna hata dira ya kitaifa
Kama hii katiba itavuka huko mitaani basi ni katiba itakayodharauliwa dunia nzima na haitaheshiwa pia uhalali wake unaweza kuhojiwa mahakamani na kesi za kimataifa kwani uhalali wake ni wa kutia mashaka.
Mwiba ...msemaji wa dunia nzima....mashallah, katika watu punguani wewe unaongoza.....ati dunia idharau katiba yetu...hatuingiliwi ila wewe kama raia na kama una hoja zenye mashiko waweza kwenda mahakamani kuipinga na sio kutuletea uongo usio na tija huku....Hujajifunza bado kutoka kwa Kubenea?...kaenda mahakamani kala mwereka wa mende.....
Michango yenye kejeli kama hizi zinakera sana kwa kweli!
Wanaiba bila kujua mahesabu