Kati ya Wizara, Bodi na utawala wa Tanesco nani anafanya maamuzi?

yes i support u for ur assumptions and auguments
lazima ifikie mahali tuwaeleze hawa jamaa kuwa WE HATE YOU,labda watajua umhimu wa kufanya wajibu wao

Thanks bro for ur support, these guys are playing with us!!! wanakula tu hela
 
Nd wana jf
mm naomba nitofautiane na wachangiaje wote waliochangia,swala kuu na muhimu ni kwamba tumewaruhusu,tumewakabidhi na kuwabariki wanasiasa mamlaka ya nchi yetu,wanaitumia hiyo nafasi vzr wanatusasambua watakavyo haitoshi wamejikabithi mamlaka ya nchi,wanafanya wanacho taka kama nchi ni yao,hapa mm ninavyanzo vya uhakika vya habari kutoka tanesco,kinachotuangusha hapo ni siasa na sio tanesco,wala ujamaaa lazima tufungue macho yetu kama wasomi na tuonyeshe utofauti wetu katika kuchambua na kuelezea maswala mbalimbali yanayohusu taifa letu,ni wazi kabisa tanesco kama kampuni au shirika linafanya jitihada zote za kitaalmu na kitaaluma za kuendesha shirika hilo,tatizo ni wana siasa wetu,hawafati wala kuheshimu maamuzi ya kitaalamu na ya wasomi wetu na hili liko wazi kabisa sio kwa tanesco pekee ni katika nyanja zote hapa nchini na nyinyi watanzania ni mashahidi katika hilo.ukijaribu kuangalia kwa umakini unaweza kujiuliza kwanini watu hawahoji na kufuatilia ni kina nani waliohusika na waliotufikisha hapa leo kudaiwa fidia na dowans,je wamewajibika?,wamewajibishwa?,wamechukuliwa hatua za kisheria? Hakuna hata moja lililotekelezwa badala yake tunamuandama dowans wakati alileta mitambo na ikazalisha umeme na wahusika walikuwa wanajua hilo.jamani mm kama mm sikubaliani na shutuma zidi ya tanexco mm nawalaumu wanasiasa na watanzania wenzangu kwa kushindwa kuwawajibisha waliotufikisha hapa leo hii,na nitoe wito wangu nawaomba wana jf wote wajue kwamba mgongano wa kimaslahi upo tena mkubwa sana na mgongano wa kimadaraka upo,hivi ndivyo vinavyotuangusha na sio tanesco kama campuni na wafanyakazi wake,bila kusahau pia wakuu wengi watanesco hawachaguliwi kwa uadilifu na uwezo wao,bali kwa kufahamiana na kuendana kimtazamo na wanasiasa sasa hapo tunategemea nn,hao wakuu watafanya kazi ya nani kati ya mteja na mwajiri ambaye ni mwanasiasa?
 
Jamani mimi napata shida na ninaona kuna conflict of interest katika utekelezaji. Nikichukulia mfano structure ya shirika la uma kama Tanesco na mengine. Leo ngoja tujadili Tanesco.

TANESCO

1. Kuna Management ya Tanesco
2. Kuna Board ya Wakurugenzi
3. Kamati ya Nishati na Madini
4. Wizara ya Nishati na Madini.

Ok, who is the decision maker? nani anafanya nini?

I am serious

Mkanganyiko unaongezeka pale unapokuwa na Kamati na Wizara ambazo zinasukuma ajenda ya watu. Wizara yenyewe inatoa policy na kufanya oversite kwa tanesco, bodi ndiyo inayotoa miongozo na dira ya uendeshaji kwa menejimenti na Kamati inapaswa kuwa watchdog body na kufanya monitoring ya utekelezaji wa mipango ya wizara na mashirika yake.
 
Blue Balaa, hakuna conflict of interest yoyote.
Conflict of interest ni muingiliano wa ki maslahi binafsi kati ya vyombo hivyo.
Wizara ndio mmiliki kwa niaba ya Watanzania, yeye hutunga sera tuu na kutoa miongozo.
Bodi hutoa maamuzi yaani decision maker.
Menejimenti ni mtekelezaji wa maamuzi ya bodi. Kamati ya Bunge ni oversight kuangalia kwa jicho la tatu for checks and balance na inaplay only advisory role kwa bodi na menejimenti na inawajibika kwa Bunge. Ewura ni regulatory authority na Fair Competition ni kusimamia ushindani wa haki huku Fair Competition Tribunal ndio mamlaka za rufaa za regulators wote (TCRA, SUMATRA, EWURA, TIRA, TCAA, etc) na bado hakuna conflict of interest.
hii tozo tumeishalipa.
P
 
Back
Top Bottom