Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
if he could be satisfied he could he ask u?Asante Pasco, kwangu hizo umbrella zote ni nothing if the performance is poor. Are you satisfied with their performance?
if he could be satisfied he could he ask u?Asante Pasco, kwangu hizo umbrella zote ni nothing if the performance is poor. Are you satisfied with their performance?
yes i support u for ur assumptions and auguments
lazima ifikie mahali tuwaeleze hawa jamaa kuwa WE HATE YOU,labda watajua umhimu wa kufanya wajibu wao
Jamani mimi napata shida na ninaona kuna conflict of interest katika utekelezaji. Nikichukulia mfano structure ya shirika la uma kama Tanesco na mengine. Leo ngoja tujadili Tanesco.
TANESCO
1. Kuna Management ya Tanesco
2. Kuna Board ya Wakurugenzi
3. Kamati ya Nishati na Madini
4. Wizara ya Nishati na Madini.
Ok, who is the decision maker? nani anafanya nini?
I am serious
hii tozo tumeishalipa.Blue Balaa, hakuna conflict of interest yoyote.
Conflict of interest ni muingiliano wa ki maslahi binafsi kati ya vyombo hivyo.
Wizara ndio mmiliki kwa niaba ya Watanzania, yeye hutunga sera tuu na kutoa miongozo.
Bodi hutoa maamuzi yaani decision maker.
Menejimenti ni mtekelezaji wa maamuzi ya bodi. Kamati ya Bunge ni oversight kuangalia kwa jicho la tatu for checks and balance na inaplay only advisory role kwa bodi na menejimenti na inawajibika kwa Bunge. Ewura ni regulatory authority na Fair Competition ni kusimamia ushindani wa haki huku Fair Competition Tribunal ndio mamlaka za rufaa za regulators wote (TCRA, SUMATRA, EWURA, TIRA, TCAA, etc) na bado hakuna conflict of interest.