Kati ya waislam na Allah nani muongo kwenye hili?

Kati ya waislam na Allah nani muongo kwenye hili?

Clever505

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2020
Posts
2,015
Reaction score
3,030
Waislam wote duniani wanafundishana kwamba vitabu vya Mungu; Tourati, Zaburi na Injili vimechakachuliwa. Hili fundisho mmepata wapi! Mbona mnamuona Mungu ni dhaifu sana kiasi kwamba hawezi kulinda vitabu vyake?

Yaani Bukhari ana kitabu chake cha Hadith kipo hadi leo tangu kiandikwe ila Mungu wenu Allah hakuweza kabisa kulinda vitabu vyake. Kitabu cha kibinadamu cha Hadith kimelindwa na wanadamu ila Allah hana kabisa uwezo wa kulinda vitabu vyake....Mungu wenu mnamuonaje?

Ila huyo huyo Allah anasema wazi kabisa kwamba hakuna mtu anaweza kubadilisha maneno yake (quran6:34) lakini bado mnampinga na kusema wapo walioweza kubadilisha.

Yaani Mungu alete vitabu vinne(kwa mujibu wa uislam) Kisha aweze kutunza kimoja tu? Mungu dhaifu sana huyu. Ni sawa na una mbuzi 100 Kisha mbabe mmoja anajitokeza anakuvamia na kuchukua 75 unabaki na 25, we ni dhaifu sana umeshindwa kulinda mali yako.

Sasa nipo njiapanda, waislam mnisaidie. Tuwaamini nyie kwamba vitabu vyake vitatu vimeharibiwa kwamba yeye hana uwezo wa kuvilinda au tumuamini yeye aliposema hakuna wa kubadilisha maneno yake na kwamba sasa nyie ni waongo kusema vimebadilishwa?
 
Waislam wote duniani wanafundishana kwamba vitabu vya Mungu; Tourati, Zaburi na Injili vimechakachuliwa. Hili fundisho mmepata wapi! Mbona mnamuona Mungu ni dhaifu sana kiasi kwamba hawezi kulinda vitabu vyake?

Yaani Bukhari ana kitabu chake cha Hadith kipo hadi leo tangu kiandikwe ila Mungu wenu Allah hakuweza kabisa kulinda vitabu vyake. Kitabu cha kibinadamu cha Hadith kimelindwa na wanadamu ila Allah hana kabisa uwezo wa kulinda vitabu vyake....Mungu wenu mnamuonaje?

Ila huyo huyo Allah anasema wazi kabisa kwamba hakuna mtu anaweza kubadilisha maneno yake (quran6:34) lakini bado mnampinga na kusema wapo walioweza kubadilisha.

Yaani Mungu alete vitabu vinne(kwa mujibu wa uislam) Kisha aweze kutunza kimoja tu? Mungu dhaifu sana huyu. Ni sawa na una mbuzi 100 Kisha mbabe mmoja anajitokeza anakuvamia na kuchukua 75 unabaki na 25, we ni dhaifu sana umeshindwa kulinda mali yako.

Sasa nipo njiapanda, waislam mnisaidie. Tuwaamini nyie kwamba vitabu vyake vitatu vimeharibiwa kwamba yeye hana uwezo wa kuvilinda au tumuani yeye aliposema hakuna wa kubadilisha maneno yake na kwamba sasa nyie ni waongo kusema vimebadilishwa?


1. Je, Qur’an inathibitisha kwamba vitabu vya awali viliharibiwa?
Ndio. Qur'an inathibitisha kwamba baadhi ya watu walibadilisha maandiko kwa makusudi*:

Surah Al-Baqarah 2:79
"Ole wao wale wanaoandika kitabu kwa mikono yao kisha wakasema: Hiki ni kutoka kwa Allah..."

-Surah Al-Ma’ida 5:13
"...Wanabadilisha maneno kutoka mahali pake..."

Surah Al-Imran 3:78
"Hakika kuna kundi miongoni mwao wanapotosha maandiko kwa ndimi zao ili mpate kudhani kuwa hayo ni kutoka kwenye Kitabu..."

Hii inaonyesha kwamba baadhi ya watu wa Taurat na Injili *walibadilisha maana au maneno kwa faida zao.

2. Je, Allah alishindwa kulinda vitabu vyake?
Hapana. Allah hakuahidi kulinda Taurat wala Injili – lakini aliwahimiza watu wa vitabu walinde wao wenyewe:

Surah Al-Ma’ida 5:44
"Hakika Sisi tuliwateremshia Taurat, yenye uwongozi na nuru. Manabii waliokuwa wamejisalimisha kwa Allah walihukumu kwa hiyo kwa Mayahudi..."

Lakini watu walishindwa kuilinda, wakabadilisha au wakaficha sehemu fulani.

Kwa Qur’an pekee, Allah aliahidi kuilinda Mwenyewe:

Surah Al-Hijr 15:9
 
ushahidi wa kihistoria na kisayansi unaoonyesha kuwa maandiko ya Biblia hayakuokolewa kwa moja kwa moja bila mabadiliko, bali yalipitia mchakato wa manuscript transmission (nakala na uandishi wa maandishi) unaoonyesha tofauti, marekebisho ya nakala, na tofauti kati ya matoleo ya zamani na ya baadaye .

1. Kuna tofauti kati ya maandishi ya zamani na matoleo ya baadaye
Dead Sea Scrolls ni moja ya vyanzo vya kihistoria vinavyoonyesha kuwa maandiko ya Biblia yalikuwa na tofauti za maneno na uandishi kati ya nakala za zamani na matoleo ya baadaye.
Tafiti za Dead Sea Scrolls zinaonyesha kuwa baadhi ya maandiko ya zamani yalikuwa na *tofauti katika uandishi ikilinganishwa na maandishi ya Masoretic Text ambayo Biblia ya kisasa inategemea. Hii inaonyesha kwamba *kulikuwa na mabadiliko ya nakala kwa karne nyingi.

2. Biblia haikawahi kupata maandishi asilia (autographs)
Hakuna nakala ya asili ya vitabu vya Biblia (yaani maandishi ya mwanzo yaliyoandikwa kwanza):
Wakristo wa kifalme walisubiri karne nyingi kabla ya kuandika au kukusanya maandishi yaliyokuwepo. Tangu zile za mwanzo zilipotea, yale tunayo leo ni nakala zilizokadiriwa kutoka kwa nakala nyingi mbalimbali.
 
Waislam wote duniani wanafundishana kwamba vitabu vya Mungu; Tourati, Zaburi na Injili vimechakachuliwa. Hili fundisho mmepata wapi! Mbona mnamuona Mungu ni dhaifu sana kiasi kwamba hawezi kulinda vitabu vyake?

Yaani Bukhari ana kitabu chake cha Hadith kipo hadi leo tangu kiandikwe ila Mungu wenu Allah hakuweza kabisa kulinda vitabu vyake. Kitabu cha kibinadamu cha Hadith kimelindwa na wanadamu ila Allah hana kabisa uwezo wa kulinda vitabu vyake....Mungu wenu mnamuonaje?

Ila huyo huyo Allah anasema wazi kabisa kwamba hakuna mtu anaweza kubadilisha maneno yake (quran6:34) lakini bado mnampinga na kusema wapo walioweza kubadilisha.

Yaani Mungu alete vitabu vinne(kwa mujibu wa uislam) Kisha aweze kutunza kimoja tu? Mungu dhaifu sana huyu. Ni sawa na una mbuzi 100 Kisha mbabe mmoja anajitokeza anakuvamia na kuchukua 75 unabaki na 25, we ni dhaifu sana umeshindwa kulinda mali yako.

Sasa nipo njiapanda, waislam mnisaidie. Tuwaamini nyie kwamba vitabu vyake vitatu vimeharibiwa kwamba yeye hana uwezo wa kuvilinda au tumuamini yeye aliposema hakuna wa kubadilisha maneno yake na kwamba sasa nyie ni waongo kusema vimebadilishwa?
Huyo Allah mwenyewe ni punguani, wafuasi wake si ndio wamedata zaidi?
 
MUONGO KAFIRI MKRISTO MROMAN KATOLIKI NDIO WAONGO DUNIANI
 
ushahidi wa kihistoria na kisayansi unaoonyesha kuwa maandiko ya Biblia hayakuokolewa kwa moja kwa moja bila mabadiliko, bali yalipitia mchakato wa manuscript transmission (nakala na uandishi wa maandishi) unaoonyesha tofauti, marekebisho ya nakala, na tofauti kati ya matoleo ya zamani na ya baadaye .

1. Kuna tofauti kati ya maandishi ya zamani na matoleo ya baadaye
Dead Sea Scrolls ni moja ya vyanzo vya kihistoria vinavyoonyesha kuwa maandiko ya Biblia yalikuwa na tofauti za maneno na uandishi kati ya nakala za zamani na matoleo ya baadaye.
Tafiti za Dead Sea Scrolls zinaonyesha kuwa baadhi ya maandiko ya zamani yalikuwa na *tofauti katika uandishi ikilinganishwa na maandishi ya Masoretic Text ambayo Biblia ya kisasa inategemea. Hii inaonyesha kwamba *kulikuwa na mabadiliko ya nakala kwa karne nyingi.

2. Biblia haikawahi kupata maandishi asilia (autographs)
Hakuna nakala ya asili ya vitabu vya Biblia (yaani maandishi ya mwanzo yaliyoandikwa kwanza):
Wakristo wa kifalme walisubiri karne nyingi kabla ya kuandika au kukusanya maandishi yaliyokuwepo. Tangu zile za mwanzo zilipotea, yale tunayo leo ni nakala zilizokadiriwa kutoka kwa nakala nyingi mbalimbali.
Kwa hiyo unataka kusema Allah ni dhaifu kashindwa kutunza vitabu vyake?
 
Lete majibu maamuma
Kwanza kwenye dini ya uislamu hakuna "mimi ninavyoona" hicho kitu hakipo! Au "mimi mtazamo wangu ni huu" hicho kitu hakipo! Tuambie hii tafsiri imetoka kwa Imam huyu au huyu! Hapo tutakwenda sambamba kwa sababu waliyobeba elimu ya tafsiri ya Qur'an wanafahamika.

Kuna nyenzo 3 tu za kutafsiri Qur'an:

1)Qur'an kwa Qur'an
2)Qur'an kwa sunna
3)Qur'an bi swahaba

Hivyo tafsiri ya Qur'an imeshamalizwa. Hivyo, hakuna mimi ninavyoona.

Aya uliyonukuu ni kutoka suratul An aam. Aya inasema:

وَلَقَدْ كُذِّبَتْ رُسُلٌ مِّن قَبْلِكَ فَصَبَرُوا عَلَىٰ مَا كُذِّبُوا وَأُوذُوا حَتَّىٰ أَتَاهُمْ نَصْرُنَا ۚ وَلَا مُبَدِّلَ لِكَلِمَاتِ اللَّهِ ۚ وَلَقَدْ جَاءَكَ مِن نَّبَإِ الْمُرْسَلِينَ

Subtitle yake:

“Na kwa yakini Mitume kabla yako walikanushwa; wakavumilia kwa yale waliyokanushwa na wakaudhiwa, mpaka ikawajia nusura Yetu. Na hakuna wa kubadilisha maneno ya Mwenyezi Mungu. Na kwa yakini zimekufikia khabari za Mitume.”

Haya maneno yana maana gani? Tafsiri: Mwenyezi Mungu anamwambia Mtume asihuzunike kwa kukanushwa, kwa sababu hiyo ndiyo hali iliyowapata Mitume wote waliopita. Waliudhiwa, wakateswa, lakini hawakuacha wito wao, mpaka Mwenyezi Mungu alipowapa ushindi juu ya maadui zao.

Yaani: Aya hii inafundisha kwamba subira juu ya maudhi katika njia ya da‘wah ni wajibu, na kwamba nusura haiji kwa haraka, bali huja kwa hekima ya Mwenyezi Mungu baada ya mtihani.

Kadhalika: “Na hakuna wa kubadilisha maneno ya Mwenyezi Mungu” ina maana ya hukumu na ahadi Zake, kwamba haki hatimaye hushinda.
 
Back
Top Bottom