Kati ya Vodacom na Halotel upi mtandao mzuri?

Kati ya Vodacom na Halotel upi mtandao mzuri?

tundu007

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2016
Posts
260
Reaction score
136
habary wanajamvi! kutokana na kua na mitandao nyingi nchini ipi hasa mtandao ulio mzuri kwanza kwa huduma bora!na pili unafuu kwa hally yetu ya vyuma vimekaza?mie ni mteja mzury wa voda na kwangu mie nimewaona wako vizury ila kuniondolea zile vifurushi vya ofer basi naona kama itanishinda kwa kua jamaa wapo juu sana kwa bei!sasa je naweza kupata ushaury wa mtandao gani ni afadhali kwa bei ya matumizi na ipo vizury kwenye huduma?
 
Halotel napata gb 10 kwa mwezi kwa shilingi elfu kumi na dakika kibaao za airtime. Voda napata gb 10 kwa mwezi kwa sh 35,000 bila airtime. Unaweza kuona tofauti hapo.
Ukitaka internet bora basi voda wanaongoza kwa Tanzania ,network yao ipo juu na bora zaidi

Kuhusu gharama voda wana gharama kubwa hio ndio tatizo lao lakini vitu bora huwa na gharama kubwa chukulia mfano king'amuzi cha continental kina gharama ndogo na azam wana gharama kubwa lakini kwa ubora azam wapo way better

GB 2 voda natizama video 24hr bila kukata kata na kwa kasi

Factors zipo nyingi ni kwanini voda wana net bora nchini

Halotel niliikimbia mwanzoni kwa tatizo la kuscratch scratch
 
habary wanajamvi! kutokana na kua na mitandao nyingi nchini ipi hasa mtandao ulio mzuri kwanza kwa huduma bora!na pili unafuu kwa hally yetu ya vyuma vimekaza?mie ni mteja mzury wa voda na kwangu mie nimewaona wako vizury ila kuniondolea zile vifurushi vya ofer basi naona kama itanishinda kwa kua jamaa wapo juu sana kwa bei!sasa je naweza kupata ushaury wa mtandao gani ni afadhali kwa bei ya matumizi na ipo vizury kwenye huduma?
Uzuri wa mtandao unategemea na eneo ulilopo, gharama karibu wote wapo sawa japo wanatofautiana baadhi ya vifurushi kutokana na popularity ya wateza....
 
Nadhani wanaosifia voda hawajawahi kutumia halotel. Mimi tangu nianze kutumia halotel sijathubutu kutumia voda ambao Kwanza wana gharama sana pili vifurushi vyao vinaisha fasta kama ninj. Tatu 3G inapatikana mijini tu vijijini hakuna kitu
Mwanzoni halotel inatoka nilinunua kukimbia gharama za voda ikanishindwa kwa net yao ilikuwa slow sijui sababu ya location au nn ,airtel nikaenda nikawakimbia ikanibidi nirudi voda mpaka leo japo ni kwaajili ya net tu

Labda saizi halotel watakuwa wamebadilika subiri nitafute laini yao ,voda wana gharama Sana wanatukamua
 
Ukitaka internet bora basi voda wanaongoza kwa Tanzania ,network yao ipo juu na bora zaidi

Kuhusu gharama voda wana gharama kubwa hio ndio tatizo lao lakini vitu bora huwa na gharama kubwa chukulia mfano king'amuzi cha continental kina gharama ndogo na azam wana gharama kubwa lakini kwa ubora azam wapo way better

GB 2 voda natizama video 24hr bila kukata kata na kwa kasi

Factors zipo nyingi ni kwanini voda wana net bora nchini

Halotel niliikimbia mwanzoni kwa tatizo la kuscratch scratch
Fact
 
habary wanajamvi! kutokana na kua na mitandao nyingi nchini ipi hasa mtandao ulio mzuri kwanza kwa huduma bora!na pili unafuu kwa hally yetu ya vyuma vimekaza?mie ni mteja mzury wa voda na kwangu mie nimewaona wako vizury ila kuniondolea zile vifurushi vya ofer basi naona kama itanishinda kwa kua jamaa wapo juu sana kwa bei!sasa je naweza kupata ushaury wa mtandao gani ni afadhali kwa bei ya matumizi na ipo vizury kwenye huduma?
hapa ni suala la mwamba ngoma2
 
Nadhani wanaosifia voda hawajawahi kutumia halotel. Mimi tangu nianze kutumia halotel sijathubutu kutumia voda ambao Kwanza wana gharama sana pili vifurushi vyao vinaisha fasta kama ninj. Tatu 3G inapatikana mijini tu vijijini hakuna kitu
embu pembua vifurushi vya hallotel tupate hizo dondoo kidogo mkuu!!
 
Halotel iko poa sana...HALOTEL NI KAMA CHADEMA NA VODACOM NI kama CCM ukiwa hujawahi kuitumia huwez jua utamu wake.kwanza ni iko faster and easy to handle!
 
Back
Top Bottom