FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
WeseNa nguvu inakuwa kubwa na hata kuchanganya inakuwa chap
WeseNa nguvu inakuwa kubwa na hata kuchanganya inakuwa chap
Mtu anae waza wese, huyo bado hastahili kumiriki gari. Aendelee panda daladala au boltWese
Jeneza?Msaada kwa wanaifajamu Toyota Rumion nataka kununua ila nipo mkoani itafaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Me napenda vi gari vidogo sana na makubwa ..like unakuta nina Jimny safi sana kwa ajili ya safari za town pia ni so funny kuendesha kile kigari sikwami popote kwenye tope napasua kako na safari snorkel..at the same time unakuta kuna prado j150 1GD ftv imetulia ndaniKwenye maisha Yangu hata iweje sitaweza kununua IST,vitz na passo. Sisi wabongo ni watu wa kukariri Sana unakuta mtu ananunua Passo eti Kwa ajili ya kubana matumizi bila kujua engine yenye cc ndogo ni majanga na huwa haiwezi kuvumilia Safar ndefu.
Mbona kwenye bei hazitofautiani sana au unataka upate hasara ya mafuta ndio uwe tajiri?airwing,
IST gari ya kimaskini sana. Ni hayo tu kwa leo
Ongea na mwenye Mali